Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Bahati mbaya tu lakini alimtunuku jamaa jicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usaliti hausamehekiImagine na ilipotokea mashine kutoka nje akairudisha Kwa ndani
IndeedUsaliti hausameheki
Mwanamke Msaliti hasemehewi
Imagine na ilipotokea mashine kutoka nje akairudisha Kwa ndani
Unawaongelea wanawake Gani? Hao ni wale enzi za kina Martha na Magdalena. Maandiko yana sema mwanaume azinie na mwanamke Hana akili kabisa Automatic mwanaume ambaye Hana akili sio wakuwa nae. 😂😂😂 Kama tupo kwenye ndoa, Sio tutaachana hapana lakini atatafutwa mwenye akili . This is what we call Samson Oath Tufikisheni kwenye nguzo tu za hili jengo la Hawa wafilisti 😂😂 halafu mtajua kitachofata 😥😥kwa mwanamke iko tofauti sana, tena sana, mwanamke ukimsaliti na ukamuonyesha kuwa ilikuwa bahati mbaya, au yule mwanamke alikuwa anakuwinda muda mrefu kwa mitego mbali mbali, unakuwa umeshauhamisha ugomvi kutoka kwa mume kwenda kwa yule mchepuko na huku ndani kunabaki salama,
Bahati mbaya tu lakini alimtunuku jamaa jicho
Tuishi humoNecked truth
wanawake hawa hawa mkuu, kwani hujaona mwanaume amezaa nje na akamleta mleta mtoto wa nje ndani ya ndoa yake na mtoto akalelewa vizuri, na mapenzi kati ya mwanamke na mwanaume yakaendelea vizuri? vipi kwa mwanaume kuambiwa tu huyu mtoto sio wako hata kwa utani tu varangati lake utalijua, utakuta kuropoka, wanaume na wanawake tuko tofauti katika hiliUnawaongelea wanawake Gani? Hao ni wale enzi za kina Martha na Magdalena. Maandiko yana sema mwanaume azinie na mwanamke Hana akili kabisa Automatic mwanaume ambaye Hana akili sio wakuwa nae. 😂😂😂 Kama tupo kwenye ndoa, Sio tutaachana hapana lakini atatafutwa mwenye akili . This is what we call Samson Oath Tufikisheni kwenye nguzo tu za hili jengo la Hawa wafilisti 😂😂 halafu mtajua kitachofata 😥😥
Na katika hilo mwenye akili hatakuwepo maana ukitoka nje ya ndoa bado huyo atakayelala na wewe hatakuwa na akili maana anazini, na utofauti mwingine kwa mwanaume akili zake huwa zinarudi tofauti na mwanamke hisia na akili hubaki kule kule alikochepukiaUnawaongelea wanawake Gani? Hao ni wale enzi za kina Martha na Magdalena. Maandiko yana sema mwanaume azinie na mwanamke Hana akili kabisa Automatic mwanaume ambaye Hana akili sio wakuwa nae. 😂😂😂 Kama tupo kwenye ndoa, Sio tutaachana hapana lakini atatafutwa mwenye akili . This is what we call Samson Oath Tufikisheni kwenye nguzo tu za hili jengo la Hawa wafilisti 😂😂 halafu mtajua kitachofata 😥😥
Hakuna mwanaume anayesamehe na kusahau kwenye suala la kuchepuka kwa mkewe labda awe amepewa limbwata, lakini pia nayo huwa inaishaUmesahau KUNDI LA NNE.
(Hawa tuko wachache sana).
Tunasamehe na kusahau.
Wewe ndo ulifaa uwe mwenyekiti wa CHADEMA kwa busara ulizoandika.Huo ndio ukweli, sababu ni hizi hapa:-
1. mwanamke mpaka anacheat tayari hauko moyoni mwake hata ukimsugua masaa kumi hafeel chochote kwa sababu moyo wake haupo hapo. Na maandiko yanasema hazina yako iliko na ndiko moyo wako upo.
2. Mwanamke kumcheat mwanaume ni dharau kubwa kwa mwanaume kwa kiswahili kingine ni ufalme wa mwanaume unakuwa umefitinika na hapo hakuna mwanaume atakubali ufalme wake uangushwe na aendelee kukaa kimya.
3. Mwanaume ambaye mke wake anaisaliti ndoa huwa anadharaulika sana katika jamii, ataitwa majina ya kila namna, hata humu ndani mnaona wanaokula wake za watu wanavyojisifia kuonekana ni vidume, sasa mwanaume akigundua ndio maana kuna roho ya kinyama inaingia kwa mwanaume tunaona na kusikia familia nzima imeangamizwa, mara mtu kaungulizwa na mkaa hiyo ni impact ya dharau anayokutana nayo mwanaume pale anaposalitiwa.
Nahitimisha mwanamke ukimcheat mumeo/mpenzi wako na amegundua jiongeze uchape Lapa kwa usalama wako
Mkuu hauko serious HahahaWewe ndo ulifaa uwe mwenyekiti wa CHADEMA kwa busara ulizoandika.
Ukisikia mtu anaongelea "wanaume ni..." au "qanawake ni..." bila ya kuwa very finely granulated in biological terms, ambazo hata hizo nazo bado zina utata mwingi, mara nyingi mwisho wake ni kufanya hasty generalization logical fallacy.Ukweli ni kwamba mwanaume hata ajitahidi vipi kukusamehe haitatokea kamwe, huwa tunadhani tunaweza lakini hatuwezi.
Tutazungumzia hili kwa kutumia makundi matatu ya wanaume
KUNDI LA KWANZA
Hawa ni wanaume ambao tukijua tu wapenzi wetu wametusaliti huwa hatuna mjadala hata ulie, uombe msamaha sisi ni moja kwa moja tunapiga chini. Hatukupi muda hata wa kuzungumza.
KUNDI LA PILI
Hili ni kundi ambalo atajifanya kukusamehe lakini lazima kuna punishment utaipata mbele ya safari. Mojawapo ni kutoaminiwa. Kutakuwa na trust issues. Kwa mfano ukichelewa tu lazima atakumbushia, kwenye matumizi ya simu lazima atakufuatilia sana n.k Kidume anakuwa yupoyupo tu upendo sio kama zamani, hakuna msamaha hapo.
Kutokuaminiwa kwenye mahusiano huwa kunaondoa hisia za mahaba na upendo sana kwa mwanamke. Badala ya kufurahia ndoa utakuwa unavumilia ndoa. Shida yote ya nini kusanya virago ondoka.
Kwenye hili kundi kuna wale ambao wanawasamehe wake zao kwa ajili tu ya malezi ya watoto. Usijidanganye kuwa ni wewe umesamehewa, hapo mwanaume anachofikiria ni watoto tu sio wewe msaliti.
KUNDI LA TATU
Hawa ni wanaume ambao anakuacha muendelee kwa sababu akutumie tu hasa kwa sex na akipata option ya mwanamke mwingine utaona tu unaachwa anafanya hivyo ili kulipiza kisasi au kama punishment.
Hapa nitawapa mfano; kuna demu alinipa stori walikuwa kwenye serious relationship penzi motomoto akamcheat jamaa yake akajua. Jamaa akafanya kama amemsamehe aendelee tu kumla, siku ya siku miezi imeenda alisikia jamaa anafunga ndoa, siku 3 alijifungia ndani analia. Angefanya maamuzi mapema hii trauma isingemkuta.Binti unaingia kwenye serious relationship unacheat unaachwa unarudia tena kosa hilohilo kwa mwanaume mwingine na mwingine unaachwa. Unafikiri umri unakusubiri tukutane 30s.
Kila mwanamke msaliti akiulizwa ilikuwaje ukamsaliti mpenzi wako? Utamsikia anasema ilikuwa bahati mbaya. Sasa kama bahati mbaya ilikuwaje ukanyoa hadi mavuzi?
Learn or perish
Wanawake wanafosi usawa kwenye kila kitu😃Na wanawake
Pale umeandika Mwanaume weka neno Mwanamke.
Ngoma drooooooo.
🤗
Umesahau KUNDI LA NNE.
(Hawa tuko wachache sana).
Tunasamehe na kusahau.