Mwanaume akikukamata umemcheat bora uachane naye tu. Wanaume huwa hatujui kusamehe mwanamke msaliti. Usijidanganye!

Mwanaume akikukamata umemcheat bora uachane naye tu. Wanaume huwa hatujui kusamehe mwanamke msaliti. Usijidanganye!

Ukisikia mtu anaongelea "wanaume ni..." au "qanawake ni..." bila ya kuwa very finely granulated in biological terms, ambazo hata hizo nazo bado zina utata mwingi, mara nyingi mwisho wake ni kufanya hasty generalization logical fallacy.

Wanaume wote hawako sawa. Kuna wanaume mpaka walio "gender fluid" wanao challenge definition ya uanaume.

Sasa hapo utawezaje kusema kirahisi rahisi tu "wanaume ni..."?

Yani hata ukienda kwa hormones ukasema wanaume hawana estrogen utakuta kuna wanaume wana estrogen.

Ukisema wanaume hawana matiti utakuta kuna wanaume wana matiti.

Yani hata ukisema uanaume ni kuwa na mshedede, kuna wanaume hawana mshedede wana condition inaitqa aphalia.

Duh!

Haya ndo mambo ya they/ them, ze/zir, ey/em, n.k.

Ndo mambo ya ‘wanaume’ wanaokaa au kuchuchumaa wakiwa wanakojoa.

Itakuwa ni dalili ya ugonjwa wa akili tu.
 
Duh!

Haya ndo mambo ya they/ them, ze/zir, ey/em, n.k.

Ndo mambo ya ‘wanaume’ wanaokaa au kuchuchumaa wakiwa wanakojoa.

Itakuwa ni dalili ya ugonjwa wa akili tu.
Hata ugonjwa wa akili mbona kila mtu anao wake, tunapishana viwango tu.
 
kwa mwanamke iko tofauti sana, tena sana, mwanamke ukimsaliti na ukamuonyesha kuwa ilikuwa bahati mbaya, au yule mwanamke alikuwa anakuwinda muda mrefu kwa mitego mbali mbali, unakuwa umeshauhamisha ugomvi kutoka kwa mume kwenda kwa yule mchepuko na huku ndani kunabaki salama,
yani nyie mnajiongelea fresh.
tukijiongelea sisi, mnakanusha mnataka mtusemee kinachoendelea akilini mwetu!

HAYENI!
 
Kiumbe anaitwa binadamu,ngumu sana kumtafsiri!

Mkikua mtaachana na hizi nadharia mnazoaminishana humu kila kukicha.
Miaka 10 ijayo utasoma hizi nyuzi zako utajiona vile ulivyokuwa unatumia nguvu nyingi kujiaminisha, kuaminisha , kuamini vitu ambavyo when it comes to ubinadamu wala hata havipo na wala hata havifanyiki hivyo unavyotamani iwe wala hata havina mashiko ya utendekaji.

Kwa sasa, keep on writing Champ!
 
Hakuna mwanaume anayesamehe na kusahau kwenye suala la kuchepuka kwa mkewe labda awe amepewa limbwata, lakini pia nayo huwa inaisha
Kuna wale tegemezi kwa wake zao au kwa lugha nyingine mwanamke ana uchumi mkubwa kumzidi mwanaume na unakaa kwake na hapo tunasemaje kitalaam!.
 
Ukweli ni kwamba mwanaume hata ajitahidi vipi kukusamehe haitatokea kamwe, huwa tunadhani tunaweza lakini hatuwezi.

Tutazungumzia hili kwa kutumia makundi matatu ya wanaume

KUNDI LA KWANZA
Hawa ni wanaume ambao tukijua tu wapenzi wetu wametusaliti huwa hatuna mjadala hata ulie, uombe msamaha sisi ni moja kwa moja tunapiga chini. Hatukupi muda hata wa kuzungumza.

KUNDI LA PILI
Hili ni kundi ambalo atajifanya kukusamehe lakini lazima kuna punishment utaipata mbele ya safari. Mojawapo ni kutoaminiwa. Kutakuwa na trust issues. Kwa mfano ukichelewa tu lazima atakumbushia, kwenye matumizi ya simu lazima atakufuatilia sana n.k Kidume anakuwa yupoyupo tu upendo sio kama zamani, hakuna msamaha hapo.

Kutokuaminiwa kwenye mahusiano huwa kunaondoa hisia za mahaba na upendo sana kwa mwanamke. Badala ya kufurahia ndoa utakuwa unavumilia ndoa. Shida yote ya nini kusanya virago ondoka.
  • Kwenye hili kundi kuna wale ambao wanawasamehe wake zao kwa ajili tu ya malezi ya watoto. Usijidanganye kuwa ni wewe umesamehewa, hapo mwanaume anachofikiria ni watoto tu sio wewe msaliti.

KUNDI LA TATU
Hawa ni wanaume ambao anakuacha muendelee kwa sababu akutumie tu hasa kwa sex na akipata option ya mwanamke mwingine utaona tu unaachwa anafanya hivyo ili kulipiza kisasi au kama punishment.

  • Hapa nitawapa mfano; kuna demu alinipa stori walikuwa kwenye serious relationship penzi motomoto akamcheat jamaa yake akajua. Jamaa akafanya kama amemsamehe aendelee tu kumla, siku ya siku miezi imeenda alisikia jamaa anafunga ndoa, siku 3 alijifungia ndani analia. Angefanya maamuzi mapema hii trauma isingemkuta.
Binti unaingia kwenye serious relationship unacheat unaachwa unarudia tena kosa hilohilo kwa mwanaume mwingine na mwingine unaachwa. Unafikiri umri unakusubiri tukutane 30s.

Kila mwanamke msaliti akiulizwa ilikuwaje ukamsaliti mpenzi wako? Utamsikia anasema ilikuwa bahati mbaya. Sasa kama bahati mbaya ilikuwaje ukanyoa hadi mavuzi?

Learn or perish
Kwa taarifa yako hata wanawake hatusamehi is ipo kuwa tunavumilia ili tulee watt lakin moyoni tunakaa na uchungu usiopimika yaani maumivu ya kusalitiwa ni makali sana ni vile wanaume mnahisi mko sahihi kuchepuka ukiona mkeo unamchepukia anajua haumii jua nae ana wakumchokonoa vizuuuri kwa hiyo hana cha kupoteza......maumivu ya usaliti ni makali sana kaka, ni vile wanaume wengi wanahisi wake zao hawana moyo, unanisaliti mara moja?,mbili, tatu, nne na kuendelea bado unahisi nna uwezo wa kusamehe??? Unahisi sina hisia?
 
Kwa taarifa yako hata wanawake hatusamehi is ipo kuwa tunavumilia ili tulee watt lakin moyoni tunakaa na uchungu usiopimika yaani maumivu ya kusalitiwa ni makali sana ni vile wanaume mnahisi mko sahihi kuchepuka ukiona mkeo unamchepukia anajua haumii jua nae ana wakumchokonoa vizuuuri kwa hiyo hana cha kupoteza......maumivu ya usaliti ni makali sana kaka, ni vile wanaume wengi wanahisi wake zao hawana moyo, unanisaliti mara moja?,mbili, tatu, nne na kuendelea bado unahisi nna uwezo wa kusamehe??? Unahisi sina hisia?
waache waamini wanawake wana mawe vifuani
 
Kwa taarifa yako hata wanawake hatusamehi is ipo kuwa tunavumilia ili tulee watt lakin moyoni tunakaa na uchungu usiopimika yaani maumivu ya kusalitiwa ni makali sana ni vile wanaume mnahisi mko sahihi kuchepuka ukiona mkeo unamchepukia anajua haumii jua nae ana wakumchokonoa vizuuuri kwa hiyo hana cha kupoteza......maumivu ya usaliti ni makali sana kaka, ni vile wanaume wengi wanahisi wake zao hawana moyo, unanisaliti mara moja?,mbili, tatu, nne na kuendelea bado unahisi nna uwezo wa kusamehe??? Unahisi sina hisia?
Umeongea kwa uchungu sana.

Hapo umesema; jua nae (mwanamke) ana wakumchokonoa vizuuuri

Unafikiri mwanamke akichepuka ndio atakuwa anamkomoa mwanaume msaliti?
 
Shida wanawake wakikusaliti hiyo ndio imetoka wanaamisha kila kitu kwa mwanaume mwingine.
Hata bible imesema mwanamke msaliti hasameheki
 
Mwanaume ukicheat lazima utachitiwa. Ipo hivyo hata mlalamike na kuwaita wake/wapenzi wenu wasaliti.
Mtenda hutendwa.
 
Nafikiri inategemea mna miaka mingapi kwenye ndoa, na mmeishije....assume unaover 50s utamuacha ?? Ngumu sana nakwambia
Kupata mke wa kufanana nawe namaanisha wa kukuvumilia madhaifu Yako ni ngumu, na kuzoeana pia ni ishu usifikiri ni rahisi kihivyo...it takes time...

Usifikiri hizi nyumba watu hawafumaniani, ingekua hivyo nyumba nyingi ndoa zingekua zimevunjika...!
Watu Wana mute tu, na ninakwambia hakuna binadamu perfect wote shida tupu SEMA tunavumiliana iwe kwenye kucheat au mengine..

Juzi Kuna ndugu Yako Yuko mkoan kamfumania mkewe meseji za mapenzi kabisa kuwa ana uhusiano Kila kitu lakini wamegombana wee mke karudi kwao then akaanza Kutafuta frem aanze biashara zake, baada ya wiki mbili mume akamfuata mkewe, mume uwezo anao mkubwa sana tu na madem wengine anao, hapa ninapoandika wanaendelea na maisha...

So usifikiri ni rahisi kiasi hicho....
 
Mimi haiko kwa mwanamke kucheat tu. Hat mimi nikifumaniwa nimecheat, Mahusiano ndo yanaishia hapo.

Hakuna kuomba msamaha, hakuna Kukubali msamaha, ni lazima tujifunze kulipa gharama za matenda & maamuzi yetu.

Yaani jitu lina cheat huko ili lije lianze kujiliza liza na kutoa kamasi kisenge senge ili ulisamehe, not from me.
 
Kihalisi wanawake wasaliti hufanya mambo ya ajabu sana ya kingono na wanaume wanaochepuka nao ambayo hawawezi kuyafanya na waume au wapenzi zao

Kama wangekuwa wanarekodi uone usingeruhusu hata akanyage ndani kwako
Kwa hili nakubaliana na wewe 100%.
 
Back
Top Bottom