FROZEN HEART
Member
- Sep 8, 2024
- 94
- 130
Oya we mwamba Mimi nimekutangulia miaka elfu mbili hapo yaani kupenda ni swala ambalo haiwezekani Kwa upande wanguKumbe watu bado mnapendana. Leo nme amini me ni time traveller nipo mwaka 3024
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya we mwamba Mimi nimekutangulia miaka elfu mbili hapo yaani kupenda ni swala ambalo haiwezekani Kwa upande wanguKumbe watu bado mnapendana. Leo nme amini me ni time traveller nipo mwaka 3024
dume iloMshangazi kama mshangaziiiii una maneno ya kutiana ny*g*
Kiumbe anaitwa binadamu,ngumu sana kumtafsiri!
Mkikua mtaachana na hizi nadharia mnazoaminishana humu kila kukicha.
Miaka 10 ijayo utasoma hizi nyuzi zako utajiona vile ulivyokuwa unatumia nguvu nyingi kujiaminisha, kuaminisha , kuamini vitu ambavyo when it comes to ubinadamu wala hata havipo na wala hata havifanyiki hivyo unavyotamani iwe wala hata havina mashiko ya utendekaji.
Kwa sasa, keep on writing Champ!
Huo ni kwamujibu wakoTafuta pesa hakuna mwanamke wa kwako peke Yako we sio baba yake📌
Huu ndio ukweliHakuna mwanaume anayesamehe na kusahau kwenye suala la kuchepuka
Kama kiasi gani cha pesa?Tafuta pesa hakuna mwanamke wa kwako peke Yako we sio baba yake📌
Kuna wale tegemezi kwa wake zao au kwa lugha nyingine mwanamke ana uchumi mkubwa kumzidi mwanaume na unakaa kwake na hapo tunasemaje kitalaam!.
Yeah huo ndio ukweli kama amejua hilo ni doa ambalo halitafutika katika akili yakeKwaio kumbe lijamaa hapa halijanisamehe,,wacha nitoke zangu nduki usiku wa leo akilala.
AsanteYeah huo ndio ukweli kama amejua hilo ni doa ambalo halitafutika katika akili yake
Mwanamke ukiona umesamehewa ni bora tu usepe, hakunaga msamaha jua unaandaliwa maumivu X2.
Binafsi kuna mwanamke nilimkamata with evidence, aliniomba msamaha hadi ndugu zake walimuombea msamaha. Kiukweli nilipretend maisha ndani ya miezi mi3 kiasi kwamba alijisahau kabisa. Nilivyoona kajaa kwenye mfumo. 😁😁😁 If God counts, ninakesi ya kujibu huko majuu
Mwanamke anayekusaliti, kwa 80% anaweza kukuua. Ndio maana ni risk kuishi na mwanamke anayekusaliti.
kwa mwanamke iko tofauti sana, tena sana, mwanamke ukimsaliti na ukamuonyesha kuwa ilikuwa bahati mbaya, au yule mwanamke alikuwa anakuwinda muda mrefu kwa mitego mbali mbali, unakuwa umeshauhamisha ugomvi kutoka kwa mume kwenda kwa yule mchepuko na huku ndani kunabaki salama,
Wanawake wanafosi usawa kwenye kila kitu😃
Ila kiuhalisia hakunaga usawa kwenye mapenzi au mahusiano au ndoa