Makari hodari
JF-Expert Member
- May 17, 2022
- 3,339
- 6,666
Kufunga P.M ni dalili za uchoyo 😒😔No way!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufunga P.M ni dalili za uchoyo 😒😔No way!!!!!!!
Hivi Itigi TTCL inakamata?Wala sikukwepi,nitakupigia simu kwenye ile namba yako ya TTCL
Habari ya kutoa huduma kwa mtu wa leo na kesho ifeTena hii kampeni naiendesha hata huku uraiani, vijana wawe makini sana. Habari ya kutoa huduma kwa mtu wa leo na kesho ife. Nikitoka na demu out, tutakula na kunywa, nitalipia lodge na usafiri, tukimaliza mambo yetu niakupa asante, that's it. Hapo katikati asinitafute kwa issues zake za kiuchumi coz tulishamalizana.
Bro wanawake ni actress wa hatari.Upendo wa mtu utauona, sio mpaka mpimane.
Ukiona umefikia hatua ya kutaka kupima upendo wa mwenzako, basi tambua haupo sehemu sahihi.
Upendo sio Siri, kusema ni mpaka uweke mitego ili uuone.
😂 mkuu n maoni yangu alafu nmeagiza bia ya 6, kwahiyo ugharamiki kwa chochote kwa Ke wako hata kwa vitu vidogo vidogo? Kama umeoa hili swali achana naloSasa kwa ulichokiandika wewe pale ni dhahiri kuwa wameku-out smart au umefanya trolling kuwafurahisha.
I'll go with second opinion
Kumbe wavulana sio wanaume acha wakazaneWavulana wa Dar ndio maana mpo busy kujifananisha na wasichana wenu,
Ujinga ujinga tu.
Kuhudumia libaki jukumu la wazazi wao hadi wakiolewa, vijana acheni ujinga wa kutoa pesa hovyo, soon tunakuwa nchi ya kibepari kweli kweli, maliza rasilimali zako uone kama yupo wa kukushika mkono kesho.Habari ya kutoa huduma kwa mtu wa leo na kesho ife
Bro unaongea ukweli mtupu
Hii kampeni muhimu sana kuwafungua macho vijana
Mademu sio wa kuwatunza au kuwahudumia ni kulipia ya uchakavu tu
Sasa kama kapata anayekuzidi kwanini abakie na wewe eti jamani?Kama anapenda pesa hata kama utajitahidi kumhudumia akipata aliyekuzidi atakuacha😂
hoja yako ina mapungufu
😳😳😳😳😳😳Kuhudumia libaki jukumu la wazazi wao hadi wakiolewa, vijana acheni ujinga wa kutoa pesa hovyo, soon tunakuwa nchi ya kibepari kweli kweli, maliza rasilimali zako uone kama yupo wa kukushika mkono kesho.
Aaaah!! sasa si unaona...nitaka nishangae yale maneno hayawezi kutolewa na mtu ambaye hajatumia kilevi.😂 mkuu n maoni yangu alafu nmeagiza bia ya 6, kwahiyo ugharamiki kwa chochote kwa Ke wako hata kwa vitu vidogo vidogo? Kama umeoa hili swali achana nalo
washamba tu hawa, nipo hapa nawachekaSasa kama kapata anayekuzidi kwanini abakie na wewe eti jamani?
NakaziaaUpendo wa mtu utauona, sio mpaka mpimane.
Ukiona umefikia hatua ya kutaka kupima upendo wa mwenzako, basi tambua haupo sehemu sahihi.
Upendo sio Siri, kusema ni mpaka uweke mitego ili uuone.
Napanda juu ya Jabali ndio napata Network.Hivi Itigi TTCL inakamata?
Bila shaka namba ni ile ile! 😊
Sahihi....
Ila sasa kwanini mtu anataka kuwa na Mwanamke ambaye hana uwezo naye...
Mwanamke hata kama ana hela yake.. ..hela ya Mwanaume wake anaitaka pia....
Nitarudi baadae japo watoto na walevi hawajawahi kuongopa, ukweli ni jadi yetu hasa balimi zikishapanda kichwani.Aaaah!! sasa si unaona...nitaka nishangae yale maneno hayawezi kutolewa na mtu ambaye hajatumia kilevi.
Msisahau kutupatia hela jamani. Amen.washamba tu hawa, nipo hapa nawacheka
NAKAZIAKuhudumia libaki jukumu la wazazi wao hadi wakiolewa
Sasa ww mleta mada una tofauti gani na mwanamke tena singo maza. Acha ujinga mambo mengne sio lazima uyatoe kwenye fikra zako fikiri alafu vunga ni ujinga ulio andika hapo juuWaslaam wakuu!
Kwa kawaida penzi likiwa jipya huwaga linanoga Sana Yaani full kubebishana tu. Hapo hamkauki kupigiana Simu mixer kutumiana message za mahaba.
Basi mwanaume ukitaka kujua kama huyo mpenzi wako anakupenda kiukweli bila kujali mapungufu yako basi subiri akuombe msaada wako hususan wa kipesa.
Hapo kwenye kuombwa pesa ndo njia pekee ambayo unaweza kuitumia kupima kiwango cha upendo wake kwako.
Kwa hiyo fanya hivi, akikuomba pesa jifanye huna hata Mia mbovu yaani upo chini kabisa ( wakati mwenyewe unajua kbsa una hizo pesa) ili kutest reaction yake. Ukishamwambia huna pesa za kumpa then kaa kimya kwa muda wa wiki moja. Yaani fanya mambo yako kabisa wala usishughulike naye huku unamsikilizia uone kama ataendelea kukutafuta ama atakausha mazima.
Brother, ukiona huyo mwanamke wako ameanza kupunguza mawasiliano yaani hakutafuti tena mpaka wewe umtafute, message zako anajibu kwa ufupi basi jua hapo huna mtu. Mpaka pale utakapomtimizia alichokuomba ndipo atakapoanza kukuchangamkia.
Sasa mwanaume unayejielewa umeona hizo dalili hapo juu kwa mwanamke wako afu bado unakaza fuvu unataka kuendelea kuwa wakati mwenyewe kaonyesha yeye ni gold digger kbsa🤔
Oyaa bro, ukiona mwanamke wako amekubadilikia ghafla eti kisa hujampa pesa aliyokuomba piga china haraka tafuta pisi nyingine.
Tuendelee kuishi na hawa viumbe kwa akili ndugu zangu.
Msigome kuirukia jamani. Amen.Msisahau kutupatia hela jamani. Amen.