binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Uliza!Sijakuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliza!Sijakuelewa.
Kwa kweli bro sijamuelewa kabisa.Nilifikiri ni mimi peke yangu ndio sijamuelewa.
Kimeumana[emoji3]nakwambia ombaomba wamemcharukia
Tena hii kampeni naiendesha hata huku uraiani, vijana wawe makini sana. Habari ya kutoa huduma kwa mtu wa leo na kesho ife. Nikitoka na demu out, tutakula na kunywa, nitalipia lodge na usafiri, tukimaliza mambo yetu niakupa asante, that's it. Hapo katikati asinitafute kwa issues zake za kiuchumi coz tulishamalizana.NAKAZIA
Kinachotokewa ni ya uchakavu hatuweki kambi hapo
Sipo soko sasa, siburi nikiachwa 🤣😂Mishangazi ni my passion pia 😋🤤🤩
Sasa kwa ulichokiandika wewe pale ni dhahiri kuwa wameku-out smart au umefanya trolling kuwafurahisha.tuishi nao kwa akili.
Wacha bana... USINIAMBIE 😳🤔Inawezekana kabisa, waulize wanawake wanaotembea na benten, wanalipia kila kitu……………!!!!!
mamboKimeumana[emoji3]
Ulianza kuwa ulitoa mapenzi Bure baadae sijui k haigaiwi bure, mkanganyiko, natoka.Uliza!
Zama P.M nimekuachia namba yangu... kwani mko hatua za mwishoni kufaili talaka? 🤔🤔🤔Sipo soko sasa, siburi nikiachwa 🤣😂
Sahihi, wanawake hata punda akiwa na pesa anatembea nayo, ni noma na nusu.Hii ni ngumu. Kumuomba mwanamke hela?
Hapo ni kutafuta masela wakusaidie, ndo maana marafiki wa kiume ni muhimu sana.
Upendo wa mtu utauona, sio mpaka mpimane.Waslaam wakuu!
Kwa kawaida penzi likiwa jipya huwaga linanoga Sana Yaani full kubebishana tu. Hapo hamkauki kupigiana Simu mixer kutumiana message za mahaba.
Basi mwanaume ukitaka kujua kama huyo mpenzi wako anakupenda kiukweli bila kujali mapungufu yako basi subiri akuombe msaada wako hususan wa kipesa.
Hapo kwenye kuombwa pesa ndo njia pekee ambayo unaweza kuitumia kupima kiwango cha upendo wake kwako.
Kwa hiyo fanya hivi, akikuomba pesa jifanye huna hata Mia mbovu yaani upo chini kabisa ( wakati mwenyewe unajua kbsa una hizo pesa) ili kutest reaction yake. Ukishamwambia huna pesa za kumpa then kaa kimya kwa muda wa wiki moja. Yaani fanya mambo yako kabisa wala usishughulike naye huku unamsikilizia uone kama ataendelea kukutafuta ama atakausha mazima.
Brother, ukiona huyo mwanamke wako ameanza kupunguza mawasiliano yaani hakutafuti tena mpaka wewe umtafute, message zako anajibu kwa ufupi basi jua hapo huna mtu. Mpaka pale utakapomtimizia alichokuomba ndipo atakapoanza kukuchangamkia.
Sasa mwanaume unayejielewa umeona hizo dalili hapo juu kwa mwanamke wako afu bado unakaza fuvu unataka kuendelea kuwa wakati mwenyewe kaonyesha yeye ni gold digger kbsa🤔
Oyaa bro, ukiona mwanamke wako amekubadilikia ghafla eti kisa hujampa pesa aliyokuomba piga china haraka tafuta pisi nyingine.
Tuendelee kuishi na hawa viumbe kwa akili ndugu zangu.
Uliza, toka lini unanikwepa?? 😀Nilifikiri ni mimi peke yangu ndio sijamuelewa.
Biashara gani sasa hiyo wakati bidhaa una baki nayo wewe muuzaji?Na tuliagree hili kwenye uzi mmoja wa mtibeli, kama sio ndoa basi biashara iwekwe mezani. Nadhani watu watajifunza kufunga zipu na kufanya kazi kwa bidii.
Ila wana wa farao wanataka wapewe bure bin bure katika ulimwengu huu ambao kila kitu kinalipiwa.
Anyways ni vile tu nishakuwa shangazi sipo huko tena 😅🤓😎
No way!!!!!!!Zama P.M nimekuachia namba yangu... kwani mko hatua za mwishoni kufaili talaka? 🤔🤔🤔
Wala sikukwepi,nitakupigia simu kwenye ile namba yako ya TTCLUliza, toka lini unanikwepa?? 😀
Bure haipo, haijawahi kuwepo ila huduma kwa mtu hamna lolote kesho ni upotevu wa mali na akili.Na tuliagree hili kwenye uzi mmoja wa mtibeli, kama sio ndoa basi biashara iwekwe mezani. Nadhani watu watajifunza kufunga zipu na kufanya kazi kwa bidii.
Ila wana wa farao wanataka wapewe bure bin bure katika ulimwengu huu ambao kila kitu kinalipiwa.
Anyways ni vile tu nishakuwa shangazi sipo huko tena 😅🤓😎
Product or service = business!Biashara gani sasa hiyo wakati bidhaa una baki nayo wewe muuzaji?
😀 😀