Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

NAKAZIA

Kinachotokewa ni ya uchakavu hatuweki kambi hapo
Tena hii kampeni naiendesha hata huku uraiani, vijana wawe makini sana. Habari ya kutoa huduma kwa mtu wa leo na kesho ife. Nikitoka na demu out, tutakula na kunywa, nitalipia lodge na usafiri, tukimaliza mambo yetu niakupa asante, that's it. Hapo katikati asinitafute kwa issues zake za kiuchumi coz tulishamalizana.
 
Waslaam wakuu!

Kwa kawaida penzi likiwa jipya huwaga linanoga Sana Yaani full kubebishana tu. Hapo hamkauki kupigiana Simu mixer kutumiana message za mahaba.

Basi mwanaume ukitaka kujua kama huyo mpenzi wako anakupenda kiukweli bila kujali mapungufu yako basi subiri akuombe msaada wako hususan wa kipesa.

Hapo kwenye kuombwa pesa ndo njia pekee ambayo unaweza kuitumia kupima kiwango cha upendo wake kwako.

Kwa hiyo fanya hivi, akikuomba pesa jifanye huna hata Mia mbovu yaani upo chini kabisa ( wakati mwenyewe unajua kbsa una hizo pesa) ili kutest reaction yake. Ukishamwambia huna pesa za kumpa then kaa kimya kwa muda wa wiki moja. Yaani fanya mambo yako kabisa wala usishughulike naye huku unamsikilizia uone kama ataendelea kukutafuta ama atakausha mazima.

Brother, ukiona huyo mwanamke wako ameanza kupunguza mawasiliano yaani hakutafuti tena mpaka wewe umtafute, message zako anajibu kwa ufupi basi jua hapo huna mtu. Mpaka pale utakapomtimizia alichokuomba ndipo atakapoanza kukuchangamkia.

Sasa mwanaume unayejielewa umeona hizo dalili hapo juu kwa mwanamke wako afu bado unakaza fuvu unataka kuendelea kuwa wakati mwenyewe kaonyesha yeye ni gold digger kbsa🤔

Oyaa bro, ukiona mwanamke wako amekubadilikia ghafla eti kisa hujampa pesa aliyokuomba piga china haraka tafuta pisi nyingine.

Tuendelee kuishi na hawa viumbe kwa akili ndugu zangu.
Upendo wa mtu utauona, sio mpaka mpimane.

Ukiona umefikia hatua ya kutaka kupima upendo wa mwenzako, basi tambua haupo sehemu sahihi.

Upendo sio Siri, kusema ni mpaka uweke mitego ili uuone.
 
Na tuliagree hili kwenye uzi mmoja wa mtibeli, kama sio ndoa basi biashara iwekwe mezani. Nadhani watu watajifunza kufunga zipu na kufanya kazi kwa bidii.

Ila wana wa farao wanataka wapewe bure bin bure katika ulimwengu huu ambao kila kitu kinalipiwa.

Anyways ni vile tu nishakuwa shangazi sipo huko tena 😅🤓😎
Biashara gani sasa hiyo wakati bidhaa una baki nayo wewe muuzaji?

😀 😀
 
Na tuliagree hili kwenye uzi mmoja wa mtibeli, kama sio ndoa basi biashara iwekwe mezani. Nadhani watu watajifunza kufunga zipu na kufanya kazi kwa bidii.

Ila wana wa farao wanataka wapewe bure bin bure katika ulimwengu huu ambao kila kitu kinalipiwa.

Anyways ni vile tu nishakuwa shangazi sipo huko tena 😅🤓😎
Bure haipo, haijawahi kuwepo ila huduma kwa mtu hamna lolote kesho ni upotevu wa mali na akili.

Hayupo aliyetajirika kwa kuhonga wanawake, zaidi sana ni kuhesabu hasara tu, ila asante baada ya kupata "haki ya msingi" ni muhimu sana, kufanya utelezi uwe wa kutosha.
 
Back
Top Bottom