Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna, hujawahi kusema kwamba haupo single, hii ni jf nani akufatile sasa😂🤣🤣🤣🤣....tuishie hapo.
Ngoja kwanza , sema userious wangu unawafanya watu wanione single?
Ushawahi kuona tapeli anashika kisu ili apate anachotaka?Utapeli na ni maamuzi yako? Kwani kuna mtu anafosiwa kufanya hivyo?
Haha dada, acha tuwaeleweshe hawa Watoto wa mama wakwe zetu maana wanajitoa fahamu, uje tusaidiane tu [emoji3][emoji3]Baby girl is here....Mambo yako haya...
Nakuachia hii battle... ukichoka niite tena[emoji1]
Nani alikwambia kupewa K au pesa kipimo cha upendo?Ni kama ninyi mnavyosemaga ukiona mwanamke hakupi 'k' muda wowote unaotaka ujue hakupendi kwamba lazima kuna mwamba anampa muda wowote anaotaka, sasa na wao wanatembea mule mule kwamba ukiona mwanaume hakupi hela muda wowote unaotaka ujue hakupendi na lazima kuna mwanamke mwingine huko anampa muda wowote anaotaka, uzuri huwa mnasema wenyewe hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja so wala msiwalaumu wanawake
Wengi watakataa ila uhalisia ndio huo, una Ke hujigusi kwa chochote na unategemea awe wife?Uko sahihi
Ni asilimia chache ya wanaume atakwenda kwa mwanamke kwa sababu za kutatua kero na changamoto za kiuchumi, lakini kwa mwanamke yupo radhi atembee na kiumbe cha ajabu, au mzee wa miaka 90 na anamuita baby kisa tu wallet inasoma.Sahihi....
Ila sasa kwanini mtu anataka kuwa na Mwanamke ambaye hana uwezo naye...
Mwanamke hata kama ana hela yake.. ..hela ya Mwanaume wake anaitaka pia....
Ila kuomba mzigo kwa demu fresh?Kumtunza demu ni kupoteza hela zako
Ila wapo wavulana na wanaume wajinga wajinga wanawatunza mademu zao
Hakuna wa kunifatilia aisee.hamna, hujawahi kusema kwamba haupo single, hii ni jf nani akufatile sasa😂
Kupigwa kupo ndio maana ulieanza nae safari sio utakaemaliza nae, ndio mahusiano yalivyo kwa asilimia kubwa na kwa wengi.Ushawahi kuona tapeli anashika kisu ili apate anachotaka?
Tapeli anatumia hisia kujipatia anachotaka.
Means unakuwa fooled na kuamini alichokianbia ni kweli na kujikuta unafanya maamuzi kwa hiari yako.
Then mwisho wa siku boooom! Umepigwa
Ndivyo mnavyosemaga mkuuNani alikwambia kupewa K au pesa kipimo cha upendo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ombaomba wamekushambulia kweli
Hii ni ngumu. Kumuomba mwanamke hela?Ni asilimia chache ya wanaume atakwenda kwa mwanamke kwa sababu za kutatua kero na changamoto za kiuchumi, lakini kwa mwanamke yupo radhi atembee na kiumbe cha ajabu, au mzee wa miaka 90 na anamuita baby kisa tu wallet inasoma.
Sasa hizo kutaka pesa ya mwenzio ndio tamaa zenyewe mlizonazo, yaani hamridhiki.
nakwambia ombaomba wamemcharukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Demu siko committed naye ni kupita tu na kusepa yanini nijivike majukumu.Anayesubiri kuombwa ndiyo Mjinga wa mwisho...Acheni kujificha kwenye udhaifu.
Uanaume kamili ni kisimamisha na kuweza ingiza, hizi analysis zako sio maana ya mwanaume kamili.Kwa mwanaume kamili haombwi anatoa mwenyewe...Sasa ukiona unaombwa ujue hujiongezi....au basi unataka nikuombe nini??
Umemaliza mkuu, tunachangia ili utelezi uwe wa kutosha.Mke pekee ndiye anayetunzwa wengine tunachangia tu kupata utelezi kubadilisha ladha
Wewe unajiongeza kwenye niniMwanaume anayejielewa kuna namna anajiongeza tu(Speaking from my experience)
Kupigwa kupo nakubali, ila sio kwa uzembe.Kupigwa kupo ndio maana ulieanza nae safari sio utakaemaliza nae, ndio mahusiano yalivyo kwa asilimia kubwa na kwa wengi.
Ulishawahi kujiuliza ni kwanini wanaume tunapenda kuongopa ili tuwapate KE?