Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Hajakataa kutimiza wajibu wake ila anahakiki je anatimiza wajibu wake sehemu sahihiTimiza wajibu wako kama mwanaume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajakataa kutimiza wajibu wake ila anahakiki je anatimiza wajibu wake sehemu sahihiTimiza wajibu wako kama mwanaume
Hii mijimama unayoitafunaga humu wewe inakuombaga pesa au ndo mpewa hapokonyeki? 🤔🤔🤔Kama anapenda pesa hata kama utajitahidi kumhudumia akipata aliyekuzidi atakuacha😂
hoja yako ina mapungufu
Wajibu gani?Timiza wajibu wako kama mwanaume
Kila ukiombwa pesa Sina,!!we ni john cenaWaslaam wakuu!
Kwa kawaida penzi likiwa jipya huwaga linanoga Sana Yaani full kubebishana tu. Hapo hamkauki kupigiana Simu mixer kutumiana message za mahaba.
Basi mwanaume ukitaka kujua kama huyo mpenzi wako anakupenda kiukweli bila kujali mapungufu yako basi subiri akuombe msaada wako hususan wa kipesa.
Hapo kwenye kuombwa pesa ndo njia pekee ambayo unaweza kuitumia kupima kiwango cha upendo wake kwako.
Kwa hiyo fanya hivi, akikuomba pesa jifanye huna hata Mia mbovu yaani upo chini kabisa ( wakati mwenyewe unajua kbsa una hizo pesa) ili kutest reaction yake. Ukishamwambia huna pesa za kumpa then kaa kimya kwa muda wa wiki moja. Yaani fanya mambo yako kabisa wala usishughulike naye huku unamsikilizia uone kama ataendelea kukutafuta ama atakausha mazima.
Brother, ukiona huyo mwanamke wako ameanza kupunguza mawasiliano yaani hakutafuti tena mpaka wewe umtafute, message zako anajibu kwa ufupi basi jua hapo huna mtu. Mpaka pale utakapomtimizia alichokuomba ndipo atakapoanza kukuchangamkia.
Sasa mwanaume unayejielewa umeona hizo dalili hapo juu kwa mwanamke wako afu bado unakaza fuvu unataka kuendelea kuwa wakati mwenyewe kaonyesha yeye ni gold digger kbsa🤔
Oyaa bro, ukiona mwanamke wako amekubadilikia ghafla eti kisa hujampa pesa aliyokuomba piga china haraka tafuta pisi nyingine.
Tuendelee kuishi na hawa viumbe kwa akili ndugu zangu.
Kupanga ni kuchagua, nimechangia kutokana na madaWajibu gani?
Unaelewa kutoa hela kwa Gold digger ni soft robbery?
Kwanini unasema hivyo?umepata mwenza kumbe
mijimama haiombagi hela, shoo shoo tuHii mijimama unayoitafunaga humu wewe inakuombaga pesa au ndo mpewa hapokonyeki? 🤔🤔🤔
Nyie mnataka mlishwe, mvishwe, mlipiwe kodi. Hivi kijana ameanza tu ajira yake, badala ya kujiwekeza atoe kwa mtu hana future nae kweli?Hapo kwenye kutop up hapo ndyo mada ya leo mkuu...vijana wanakwepa kabisa suala la top up
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hadi nimeogopa kumuita mtoto wa mtu dear[emoji16]
- Ukiona anaanza na maneno kama dear, baba, my sweet, baby and the like ujue waenda kamuliwa upepo
- Ukimwambia huna akakaa kimya then ukimuuliza akakujibu sina hela ya kujiunga nikujibu msg jua hilo tego
umemsifia kwenye ile commentKwanini unasema hivyo?
Anakudanganya huyoUzi ufungwe hapa...
Mkuu kipindi cha kampeni uongo ni mwingi, kufake ni kwingi mtu anaweza kukuvumilia ili tu aipate ndoa, akishaipata ndio utajua hujui.Hajakataa kutimiza wajibu wake ila anahakiki je anatimiza wajibu wake sehemu sahihi
Nilikuwa narudia mkuu, that's my principle..japo imekuja kwa kuchelewa kidogo.Sijasikia unasemaje mkuu 🦻
Mkuu hakuna wanaume wanaohudumia vizuri kama nyie mnaokataaga ila ndio uhalisia.Anakudanganya huyo
Wanaume sio wazembe hivyo.
Kua makini dada, JF kuna huyo jamaa na Twitter kuna Vunjabei
Unabidi uwe makini hao watu wanawaponza sana dada zetu siku hizi.
Kupanga kupi kunako halalisha utapeli?Kupanga ni kuchagua, nimechangia kutokana na mada
Utapeli na ni maamuzi yako? Kwani kuna mtu anafosiwa kufanya hivyo?Kupanga kupi kunako halalisha utapeli?
🤣🤣🤣🤣....tuishie hapo.umemsifia kwenye ile comment
Mke pekee ndiye anayetunzwa wengine tunachangia tu kupata utelezi kubadilisha ladhaHela ya kutunza unayo basi au unachangia tu
Usipokuwa makini utailipia hiyo dear[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hadi nimeogopa kumuita mtoto wa mtu dear[emoji16]
Uko sahihiMkuu kipindi cha kampeni uongo ni mwingi, kufake ni kwingi mtu anaweza kukuvumilia ili tu aipate ndoa, akishaipata ndio utajua hujui.