Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

@
Nimezungumzia mwanamke anaye omba pesa ya pad, huyo kuanzia breakfast hadi dinner ni jukumu lako, nguo, house/room rent hadi vocha, hata kama pesa ipo inachosha.

Kikubwa wanawake wapambane, vijana sasa hivi hawataki mizigo. Suala la mahitaji madogo madogo hata mwanamke anapaswa kumletea mwenzake walau mara moja moja. Dunia imewapa kipaumbele sana wanawake kwa sasa tumieni nafasi.
Upo sahihi mkuu
 
Ni kama ninyi mnavyosemaga ukiona mwanamke hakupi k muda wowote unaotaka ujue hakupendi kwamba lazima kuna mwamba anampa muda wowote anaotaka, sasa na wao wanatembea mule mule kwamba ukiona mwanaume hakupi hela muda wowote unaotaka ujue lazima kuna mwanamke mwingine huko anampa muda wowote anaotaka, maana huwa mnasema wenyewe hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja so wala msilaumu wanawake
Baby girl is here....Mambo yako haya...
Nakuachia hii battle... ukichoka niite tena[emoji1]
 
Upo sahihi kbsa mkuu,kumbe unawaelewa Hawa viumbe
Mimi ni mlezi wa vijana kitaa, huwa nakutana nao kudodosa changamoto wanazokutana nazo kimaisha na namna ya kukabiliana nazo na hasa mahusiano wananiambia mambo mengi sana mpaka hata watu wazimaa wanavyowapa tips ili watembee nao
 
Kukimbia majukumu.....mnapenda kula msipopeleka mboga
Hata hela ya pad tu unashindwa kumpa demu wako
Uchoyo tu ....hizi ni tabia za kivulana hakuna mwanaume kamili anayeweza kuweza hivi....grow up..be a man
Mzazi ndio ana jukumu la kuhakikisha binti yake anapata mahitaji ya msingi, bf anaweza ku-top up kila anapojisikia, ila sio jukumu lake kuhudumia mtu asiyekuwa na uhakika na future nae. Tatizo mnawapa vijana wa watu majukumu yasiyowahusu.
 
kupata mke ni process inayohusisha hatua za awali ikiwamo hiyo ya kuhudumia kwa kiasi. Sidhani kama wanaohudumiwa wote wameolewa.
Narudia tena, kuhudumia mwanamke ambaye hamjafungamana kwa lolote ni upotevu wa rasilimali, jukumu la kuhudumia ni la baba yake tu, wewe unaweza kumsaidia kidogo, tena kidogo mkuu. Resources zako zielekeze mahali sahihi, hutajuta uzeeni
 
Mwanaume kamili VS mwanamume sio kamili

hii category imewekwa kumpima mwanamume anaetoa pesa ndiyo kamili na asietoa anaitwa sio kamili[emoji847] ingawa wote ni wanaume

Haya ni makosa sana maana kila mmoja wetu katika jamii amebarikiwa tofauti,mnawapa stress vijana ambao hawajabarikiwa vipato vya kujikimu, nacho amini mwanaume ni provider kama anacho hawezi kukunyima mwanamke
 
Narudia tena, kuhudumia mwanamke ambaye hamjafungamana kwa lolote ni upotevu wa rasilimali, jukumu la kuhudumia ni la baba yake tu, wewe unaweza kumsaidia kidogo, tena kidogo mkuu. Resources zako zielekeze mahali sahihi, hutajuta uzeeni
Huko kumsaidia kitaalamu kimahusiano ndio kumhudumia mkuu
 
Narudia tena, kuhudumia mwanamke ambaye hamjafungamana kwa lolote ni upotevu wa rasilimali, jukumu la kuhudumia ni la baba yake tu, wewe unaweza kumsaidia kidogo, tena kidogo mkuu. Resources zako zielekeze mahali sahihi, hutajuta uzeeni
Sijasikia unasemaje mkuu 🦻
 
Mzazi ndio ana jukumu la kuhakikisha binti yake anapata mahitaji ya msingi, bf anaweza ku-top up kila anapojisikia, ila sio jukumu lake kuhudumia mtu asiyekuwa na uhakika na future nae. Tatizo mnawapa vijana wa watu majukumu yasiyowahusu.
Hapo kwenye kutop up hapo ndyo mada ya leo mkuu...vijana wanakwepa kabisa suala la top up
 
Vijana msidanganyike hata kidogo, swala la kuhudumia mwanamke asiye wako ni kujipa majukumu yasiyo yako, unalipa rent ya baby wako, hujui kuna wangapi wanafanya hivyo, unampa ukpeek weekly au monthly, huwezi jua mnafanya hivyo wangapi. Ni sawa na wale jamaa zangu washamba wanaosomesha wanawake.

Usitumie resources zako vibaya, hutapata shukrani siku mkimwagana zaidi ya kuambiwa huna lolote..
 
Back
Top Bottom