Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Yeah ila sio kumtunzaIla kuomba mzigo kwa demu fresh?
Elewa neno KUMTUNZA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah ila sio kumtunzaIla kuomba mzigo kwa demu fresh?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usisahau pia wakati huo ukiwa unamtest, sisi tutakuwa tunamla.
Angalia usianze kula utope tu... maana hao wanatoaga vyote!... hawawazagi 😅👍mijimama haiombagi hela, shoo shoo tu
Basi umedanganywaNdivyo mnavyosemaga mkuu
Fresh sana, muhimu vigezo na masharti vifikiwe. Huwa uchakavu ni muhimu ila sio kutoa huduma...vijana wanatakiwa kujitambua sana, la sivyo watadhalilika badae. Kuhonga hakujawahi kumfaidisha mwanaume yoyote duniani.Ila kuomba mzigo kwa demu fresh?
Hakika mkuu hili inabidi walitambue wanaume ni watu wa kuonjaonja ladha tofauti leo akichangiwa yeye kesho zamu ya mwingineUmemaliza mkuu, tunachangia ili utelezi uwe wa kutosha.
Tena wazijue size zao kweli kweli!Tatizo lenu mnadate na Pisi kali zinazohitaji matunzo...ila kuzihudumia mnalalamika...
Mtu anavaa wigi la laki 3/5 then hana shughuli yoyote anafanya... Au ni wale wenye maduka ya nguo/liquor..Then utegemee nini?
Ukitaka asikuombe hela komaa na size yako..
Jibu lako limenipa raha mkuu mpaka najihisi na-fly!Basi umedanganywa
Mwanamume anaweza akamhonga mwanamke ila lengo ni utelezi tu
Akimega anasepa
Kwani malaya tunavyowanunua tunawapenda?
Hizo mindset zenu ndio zinafanya mnamegwa ovyovyo tukiwapa pesa mkijua tunawapenda
NAKAZIAHuwa uchakavu ni muhimu ila sio kutoa huduma.
Nyie mna mindset kama sie wanaume tuna shida saaana na 'k' wakati utamu mnapata wote. Jinsia zote wana uhitaji wa sex.Ni kama ninyi mnavyosemaga ukiona mwanamke hakupi 'k' muda wowote unaotaka ujue hakupendi kwamba lazima kuna mwamba anampa muda wowote anaotaka, sasa na wao wanatembea mule mule kwamba ukiona mwanaume hakupi hela muda wowote unaotaka ujue hakupendi na lazima kuna mwanamke mwingine huko anampa muda wowote anaotaka, uzuri huwa mnasema wenyewe hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja so wala msiwalaumu wanawake
Natamanigi ingekuwa Vice-Versa, utamu maradufu uwe kwenye Mboro... ili nyinyi ndo muwe mnatuwinda sisi tukawakanyage mashine 😋🤤👍🏾Tena wazijue size zao kweli kweli!
Mimi wa kwangu nimempa bure mapenzi miaka na miaka sababu nilijua atakuwa wangu, kitu ambacho kweli kilitokea, now mimi ni muhasibu wake! How about that 😜
Honestly: mtu hana mpango wowote na wewe, ana demu wake, au mke wake, hajakuonesha kama anakupenda, yupo kimitego mitego mguu ndani mguu nje, ana siri kama zote halafu umpe mapenzi bure! Aaaiii subutu sio kweli! Wao wanaume wangekuwa sisi wangetoa K bure??
Kauli mbiu, haiuzwi lakini haitolewi bure.
Sijakuelewa.Tena wazijue size zao kweli kweli!
Mimi wa kwangu nimempa bure mapenzi miaka na miaka sababu nilijua atakuwa wangu, kitu ambacho kweli kilitokea, now mimi ni muhasibu wake! How about that 😜
Honestly: mtu hana mpango wowote na wewe, ana demu wake, au mke wake, hajakuonesha kama anakupenda, yupo kimitego mitego mguu ndani mguu nje, ana siri kama zote halafu umpe mapenzi bure! Aaaiii subutu sio kweli! Wao wanaume wangekuwa sisi wangetoa K bure??
Kauli mbiu, haiuzwi lakini haitolewi bure.
Na tuliagree hili kwenye uzi mmoja wa mtibeli, kama sio ndoa basi biashara iwekwe mezani. Nadhani watu watajifunza kufunga zipu na kufanya kazi kwa bidii.Fresh sana, muhimu vigezo na masharti vifikiwe. Huwa uchakavu ni muhimu ila sio kutoa huduma...vijana wanatakiwa kujitambua sana, la sivyo watadhalilika badae. Kuhonga hakujawahi kumfaidisha mwanaume yoyote duniani.
NAKAZIAvijana wanatakiwa kujitambua sana, la sivyo watadhalilika badae. Kuhonga hakujawahi kumfaidisha mwanaume yoyote duniani.
Inawezekana kabisa, waulize wanawake wanaotembea na benten, wanalipia kila kitu……………!!!!!Natamanigi ingekuwa Vice-Versa, utamu maradufu uwe kwenye Mboro... ili nyinyi ndo muwe mnatuwinda sisi tukawakanyage mashine 😋🤤👍🏾
tuishi nao kwa akili.Kupigwa kupo nakubali, ila sio kwa uzembe.
Yani haiwezekani ukawa umeona dalili zote za kupigwa na bado ukaendelea kutoa ushirikianao kwa mpigaji
Ni kwasababu wao ndio wanataka sisi tuwaonhopee.
Na hata mimi nakushauri badala ya kufungua wallet ukampa hela ni bora utumie hiyo mbinu hapo juu.
Pamoja mkuuJibu lako limenipa raha mkuu mpaka najihisi na-fly!
Mishangazi ni my passion pia 😋🤤🤩Na tuliagree hili kwenye uzi mmoja wa mtibeli, kama sio ndoa basi biashara iwekwe mezani. Nadhani watu watajifunza kufunga zipu na kufanya kazi kwa bidii.
Ila wana wa farao wanataka wapewe bure bin bure katika ulimwengu huu ambao kila kitu kinalipiwa.
Anyways ni vile tu nishakuwa shangazi sipo huko tena 😅🤓😎
Nilifikiri ni mimi peke yangu ndio sijamuelewa.Sijakuelewa.