Mwanaume fanya hivi ili kupima kiwango cha upendo wa mwanamke wako

πŸ˜‚πŸ˜‚ Eti watageuza vibubu vya kutunzia coins, umetisha Sana mkuu
 
Boss umemaliza πŸ™Œ
Hao wanaosema tusipewe pesa ni kwamba hizo pesa zenyewe hawana wasizunguke 🀣🀣🀣🀣
Halafu shem wewe sio kakaangu Vunja kweli? Mapembelo
 
Ajengewe sanamu lake la kipekee kuliko hata la baba wa taifa![emoji1783]
Huwa ananikera lakini, huwa namlazimisha sana nimtumie kuna muda nataka hata nimlipie kitu flani hataki anazuga zuga alafu anapotezea hata nikimlazimisha hataki

Mbinu niliyobuni ni kununua vitu then nampatia kama zawadi hapo anapokea
 
Ulianza kuwa ulitoa mapenzi Bure baadae sijui k haigaiwi bure, mkanganyiko, natoka.
Usitoke,

mimi nikisema bure namaanisha kuwa sikuomba, willingly nilitoa bure….. ila nilipewa. Na alinipa kulingana na uwezo wake wa kipindi hiko.

Ndio unakuja msemo wa haiuzwi wala haitolewi bure! Unadhani angekuwa hanipi ningebaki? Thubutu we! Huu usemi ukiufikiria vizuri utaelewa maana yake. Na ndio kauli mbiu.

Hey, Unawafikiria wanawake ambao hawaombi hela masikini ya Mungu, wako loyal, wanabehave lakini mwisho wa siku wanaachwa anaolewa yule yule muomba hela, hehehe Kwahiyo kipi bora? Bora angeomba zake akiachwa anajua nimeachwa kihalali.
 
Wawaoe sasa hao wakata viuno waone kasheshe. Hivi viumbe pasua kichwa sana
 
Boss huna baya ukifa huozi....waambiwe hawa na wasikie
 
Huwa ananikera lakini, huwa namlazimisha sana nimtumie kuna muda nataka hata nimlipie kitu flani hataki anazuga zuga alafu anapotezea hata nikimlazimisha hataki

Mbinu niliyobuni ni kununua vitu then nampatia kama zawadi hapo anapokea
Huyo malaika anapatikana wapi? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mweeeeh[emoji6]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…