Ewaaaa...Si ndo hapo, ikichomoka nani atairudishia na yeye gari limewaka? πππ
Wao watoe pesa hizo kupimana imani hatupo kanisani
ππ Eti watageuza vibubu vya kutunzia coins, umetisha Sana mkuuEeeh!! naona mnaringia vidudu vyenu, kwani iliumbwa ili ifanywe nini? si ili ikunwe, sasa mnaringia ili iweje? kwani ukinibariki niikune kisawa sawa utapata hasara gani as long as ni safe sex? unakitunza mwisho kitapata kutu.
Ngoja tusubiri tesla bot na zikija 'k' mtageuza vibubu vya kutunzia coin.. π€£
πKiuno sio muhimu sana kwa lifetime partner. Loving, Visionary and ambitious partner ndio anatakiwa.Wake zenu ni hawahawa mnaowalalamikia hawakati viuno au Kuna wengine???
Boss umemaliza πNasema hivii
Mwanamke apewe pesa......
Narudia tena "MWANAMKE APEWE PESA"
Ni wajibu wa mwaume kumhonga mwanamke
Akina mama kuna ka feeling flani tunapata sisi wanaume tunapo wahonga nadhani kanakua mara mbili ya kale ka feeling mnapata tukiwahonga....
Huwa ananikera lakini, huwa namlazimisha sana nimtumie kuna muda nataka hata nimlipie kitu flani hataki anazuga zuga alafu anapotezea hata nikimlazimisha hatakiAjengewe sanamu lake la kipekee kuliko hata la baba wa taifa![emoji1783]
Usitoke,Ulianza kuwa ulitoa mapenzi Bure baadae sijui k haigaiwi bure, mkanganyiko, natoka.
Kuna siri nataka nitoboe[emoji23]Kantry unataka kusema nini? [emoji23][emoji23][emoji23]
π€£π€£π€£π€£π€£ khaaaaaaa!!!We nae kuna mtu unajaribu kum-seduce hapa, tushakusoma
We mbwa we msaliti πππ
Basi msiwe mnakuja humu kulalamika mnanyimwa unyumba huko majumbani mwenuπKiuno sio muhimu sana kwa lifetime partner. Loving, Visionary and ambitious partner ndio anatakiwa.
Wawaoe sasa hao wakata viuno waone kasheshe. Hivi viumbe pasua kichwa sanaBora na wewe umeliona hilo mkuu ila humu wanajifanya wanasema eti anayehudumiwa ni mke tu na siyo demu, hapo sana sana utaambiwa sababu ni kwamba wake zao ni wavivu kukata viuno na kwamba wanawabania sana utamu wakidai wamechoka hivyo michepuko ndio iko vizuri, ila huyo huyo mke ndiye anayemsaidia kutafuta pesa, kulipa bili, kumlelea watoto na bado akiumwa mchepuko anaingia mitini mke ndio anabaki kuhangaika na mzigo wake
Boss huna baya ukifa huozi....waambiwe hawa na wasikieNasema hivii
Mwanamke apewe pesa......
Narudia tena "MWANAMKE APEWE PESA"
Ni wajibu wa mwaume kumhonga mwanamke
Akina mama kuna ka feeling flani tunapata sisi wanaume tunapo wahonga nadhani kanakua mara mbili ya kale ka feeling mnapata tukiwahonga....
Kausha mwanangu πππKuna siri nataka nitoboe[emoji23]
Serious, hivi kwa nn huombagi pesa? [emoji23]Kausha mwanangu [emoji23][emoji23][emoji23]
Utelezi tutaomba tu sababu hamna namna ingine ila swala la kutapanya hela hovyo sahauni. Posho baada ya kudinywa mtapewa.Basi msiwe mnakuja humu kulalamika mnanyimwa unyumba huko majumbani mwenu
Na msije nje kuomba utelezi mkae humo mkivumilia...shenzi nyie π
Bff watoe pesa πππEwaaaa...
No commentSerious, hivi kwa nn huombagi pesa? [emoji23]
Huyo malaika anapatikana wapi? πππHuwa ananikera lakini, huwa namlazimisha sana nimtumie kuna muda nataka hata nimlipie kitu flani hataki anazuga zuga alafu anapotezea hata nikimlazimisha hataki
Mbinu niliyobuni ni kununua vitu then nampatia kama zawadi hapo anapokea
Mweeeeh[emoji6]Nasema hivii
Mwanamke apewe pesa......
Narudia tena "MWANAMKE APEWE PESA"
Ni wajibu wa mwaume kumhonga mwanamke
Akina mama kuna ka feeling flani tunapata sisi wanaume tunapo wahonga nadhani kanakua mara mbili ya kale ka feeling mnapata tukiwahonga....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]No comment
[emoji23][emoji23] ngoja kwanza nitakutajia baadaeHuyo malaika anapatikana wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]