Acha kuharibu vijana ili wasuse nyie wazee mjipakulie minyama kwa kuwahonga pembeni, nyie wazee waongo 😂😂😂Tunataka kizazi cha vijana wanaojitambua, hakuna mwanaume aliyetajirika au kinufaika kwa kuhonga. Zaidi sana ni majuto tu baada ya round mbili au kimoko🤣
Hao ndio waongo humu sijapata kuona, pembeni wana wanawake jukwaani wanadanganya wenzao waharibikiwe.😂😂😂Kina dronedrake hao wahamasishaji kushtua kwa mkono alafu hawafanyi 😂
Kitu cha kufurahisha misimamo mnaweka na kichwa cha juu, ila ukifika utekelezaji kichwa cha chini hakiwezi kukuelewa na lazima ukisikilize la sivyo madhara unayajua 😂😂😂😂At the end of the day nyie ndo mtaumia.Mtabaki na vipochi manyoya vyenu sisi tubaki na hela zetu afu tuone Sasa😂
Hii uwape wauzaji sasaUtelezi tutaomba tu sababu hamna namna ingine ila swala la kutapanya hela hovyo sahauni. Posho baada ya kudinywa mtapewa.
Sasa mfumo si huo huo mnajitengaje na mfumoHii uwape wauzaji sasa
Mie sitaki posho maana siuzi
Ukiwa serious Sana na mwanamke utawehuka , kazi ya mwanaume is-to- fu-ck na kulea , basi ..kama pesa unayo mpe , kama huna huna tuu , akizingua yes hapo go for another one ... Don't be serious na hawa watu utakuwa chizi , mwanamke anaongozwa na hsia na reaction zake huwa ni kulingana na current issue , mwanamke hanaga kitu kinaitwa future , mwanaume ana kitu kwenye mindset kinaitwa future na uwezo wa ku-foreseen na ndo mana ana stahimili na kuvumilia magumu ili aweze kuyakabili mazingira , mwanamke yeye ameumbwa just to spend ready made environment, unaweza jifanya unampima kumbe mwenzako akareact badly we Kwa akili yako mbovu ukamwacha ukaenda Kwa mwingine...!! Usiichukulie akili ya mwanamke same to akili ya mwanaume kwenye kumake judgement.. hawanaga busara na hekima pia hawanaWaslaam wakuu!
Kwa kawaida penzi likiwa jipya huwaga linanoga Sana Yaani full kubebishana tu. Hapo hamkauki kupigiana Simu mixer kutumiana message za mahaba.
Basi mwanaume ukitaka kujua kama huyo mpenzi wako anakupenda kiukweli bila kujali mapungufu yako basi subiri akuombe msaada wako hususan wa kipesa.
Hapo kwenye kuombwa pesa ndo njia pekee ambayo unaweza kuitumia kupima kiwango cha upendo wake kwako.
Kwa hiyo fanya hivi, akikuomba pesa jifanye huna hata Mia mbovu yaani upo chini kabisa ( wakati mwenyewe unajua kbsa una hizo pesa) ili kutest reaction yake. Ukishamwambia huna pesa za kumpa then kaa kimya kwa muda wa wiki moja. Yaani fanya mambo yako kabisa wala usishughulike naye huku unamsikilizia uone kama ataendelea kukutafuta ama atakausha mazima.
Brother, ukiona huyo mwanamke wako ameanza kupunguza mawasiliano yaani hakutafuti tena mpaka wewe umtafute, message zako anajibu kwa ufupi basi jua hapo huna mtu. Mpaka pale utakapomtimizia alichokuomba ndipo atakapoanza kukuchangamkia.
Sasa mwanaume unayejielewa umeona hizo dalili hapo juu kwa mwanamke wako afu bado unakaza fuvu unataka kuendelea kuwa wakati mwenyewe kaonyesha yeye ni gold digger kbsa🤔
Oyaa bro, ukiona mwanamke wako amekubadilikia ghafla eti kisa hujampa pesa aliyokuomba piga china haraka tafuta pisi nyingine.
Tuendelee kuishi na hawa viumbe kwa akili ndugu zangu.
Na Mwanamke anayejielewa hasubiri kuombwa nini na mwanaume wake?Kwanza Mwanaume anayejielewa hasubiri kuombwa ombwa hela na Mwanamke wake...
Then bamia itawafaaNani kasema nyie mna utamu? Huo utamu sisi wanaume wenyewe ndo tunao kwenu huwa tufuata tu utelezi
Na sabuni juu.Then bamia itawafaa
mawardat nipe jibu....kama lugha tatizo nitakutafsiriaHuu uzi utapata mashambulizi makubwa sana toka kwa kina dada maana wanahisi ni haki yao kupewa pesa kwenye mahusiano.
Asilimia kubwa ya wanawake wa kitanzania (sio wote) wanaamini kuwa mahusiano ni sehemu ya kutatuliwa dhiki zao zote. Kipimo cha upendo wa mwanamke wa kibongo ni kupewa pesa.View attachment 2785771
At the end Mimi na wewe wote wanawakeNa sabuni juu.
Sipo hapa kwa ajili ya hilo 😂Hao ndio waongo humu sijapata kuona, pembeni wana wanawake jukwaani wanadanganya wenzao waharibikiwe.😂😂😂
Mkuu habari yako? Vipi kuna miduara ipo sehemu uko vizuri? TuyajengeBoss umemaliza 🙌
Hao wanaosema tusipewe pesa ni kwamba hizo pesa zenyewe hawana wasizunguke 🤣🤣🤣🤣
Halafu shem wewe sio kakaangu Vunja kweli? Mapembelo
Hayo mapenzi ya kweli unayatafuta ili uyapeleke wapi chiefWaslaam wakuu!
Kwa kawaida penzi likiwa jipya huwaga linanoga Sana Yaani full kubebishana tu. Hapo hamkauki kupigiana Simu mixer kutumiana message za mahaba.
Basi mwanaume ukitaka kujua kama huyo mpenzi wako anakupenda kiukweli bila kujali mapungufu yako basi subiri akuombe msaada wako hususan wa kipesa.
Hapo kwenye kuombwa pesa ndo njia pekee ambayo unaweza kuitumia kupima kiwango cha upendo wake kwako.
Kwa hiyo fanya hivi, akikuomba pesa jifanye huna hata Mia mbovu yaani upo chini kabisa ( wakati mwenyewe unajua kbsa una hizo pesa) ili kutest reaction yake. Ukishamwambia huna pesa za kumpa then kaa kimya kwa muda wa wiki moja. Yaani fanya mambo yako kabisa wala usishughulike naye huku unamsikilizia uone kama ataendelea kukutafuta ama atakausha mazima.
Brother, ukiona huyo mwanamke wako ameanza kupunguza mawasiliano yaani hakutafuti tena mpaka wewe umtafute, message zako anajibu kwa ufupi basi jua hapo huna mtu. Mpaka pale utakapomtimizia alichokuomba ndipo atakapoanza kukuchangamkia.
Sasa mwanaume unayejielewa umeona hizo dalili hapo juu kwa mwanamke wako afu bado unakaza fuvu unataka kuendelea kuwa wakati mwenyewe kaonyesha yeye ni gold digger kbsa🤔
Oyaa bro, ukiona mwanamke wako amekubadilikia ghafla eti kisa hujampa pesa aliyokuomba piga china haraka tafuta pisi nyingine.
Tuendelee kuishi na hawa viumbe kwa akili ndugu zangu.
Jamaa yupo sahihi sana..na ukitaka mwanamke wa kibongo akuache kwa haraka we mnyime pesa tuHuu uzi utapata mashambulizi makubwa sana toka kwa kina dada maana wanahisi ni haki yao kupewa pesa kwenye mahusiano.
Asilimia kubwa ya wanawake wa kitanzania (sio wote) wanaamini kuwa mahusiano ni sehemu ya kutatuliwa dhiki zao zote. Kipimo cha upendo wa mwanamke wa kibongo ni kupewa pesa.View attachment 2785771
Kwa post hii utawala sana humu, mbinu hii inafanya kazi.Nasema hivii
Mwanamke apewe pesa......
Narudia tena "MWANAMKE APEWE PESA"
Ni wajibu wa mwaume kumhonga mwanamke
Akina mama kuna ka feeling flani tunapata sisi wanaume tunapo wahonga nadhani kanakua mara mbili ya kale ka feeling mnapata tukiwahonga....
Man all i know UBAHILI KWA WANAWAKE NI DEAL BREAKER, and if you don't give them money its a turnoff.Kupenda ni nini ?
Kwamba mtu akipenda anapenda kitu gani hasa ?
Na Je Character sio Part ya Upendo ?
Na Je ubahili hauwezi ukawa deal breaker kwamba ingawa anakupenda ila ubahili / uchoyo kwake ni turn-off
This is true. Kuna mwanamke katika mipango yetu nlimwambiaga ntampa 5m afanye biashara sasa akawa akiomba hela nampa mara mbili yan kama elfu hamsini nampa laki hiyo nyingine asave aniwekee nna shida nayo. Zoezi likaenda vizuri na liliambatana na record matata kwenye excel moja kwenye pc yangu, baada ya mwaka zikafika zile hela excel si ilikuwa inajumlisha nikamwomba ile hela naona analeta M1, nikaichukua nikamwambia ukweli ilitakiwa iwe 5M na hii ndio hela nilitaka kukupa, nikaigawa ile hela nusu kwa nusu tukagawana hasara na stori ikaishia hapo.Jamaa yupo sahihi sana..na ukitaka mwanamke wa kibongo akuache kwa haraka we mnyime pesa tu