Kupenda ni nini ?
Kwamba mtu akipenda anapenda kitu gani hasa ?
Na Je Character sio Part ya Upendo ?
Na Je ubahili hauwezi ukawa deal breaker kwamba ingawa anakupenda ila ubahili / uchoyo kwake ni turn-off
Man all i know UBAHILI KWA WANAWAKE NI DEAL BREAKER, and if you don't give them money its a turnoff.
And sikuiz kutokana na maisha kuwa magumu wanawake wamejiwekea price tag ambayo we huijui ila ye anaijua kwamba ikitokea mtu akampampa vihela vya hapa na pale na vizawadi vya uongo na ukweli, basi hapo atapewa pusay kama malipo.
Wasichokijua wanawake mwanaume akiwafata huwa tayari anajuaga huyu mwanamke kajigrade wapi, so huwa kama yupo serious anataka kumvua chupi huwa anamwekea budget yake ambayo hiyo budget ikifika mwisho hajala mzigo anapiga chini , anaona kama ni alidaka odds 3 akakandamiza stake then magwaya na vijana wake wakachana mkeka.
Na mara nyingi hapa ndio wanapokujaga dadazetu kupoteana sababu jamaa kaamua kupotezea na kakata zile pesa haziend tena wao wanaumiaga, inakuja siku anashida kweli kweli unashangaa kamvutia waya jamaa yule yule anataka asaidiwe ila saivi anakuwa anajua bila kumpa hawez nipa sababu nilishamzingua , sasa ngoja nikampe anisaidie shida zangu , then ntajifanya nampenda kweli kweli ili nimrudishe kwenye track. Kanajipeleka kwa mhuni anaenda kukakandamizwa msumari wa moto(yale majamaa yanayokaza huku yananong’oneza), demu anaelewa show na hela kapewa, akirud kwake misms kibao ya kuelewa na nini akijua anamjaza jamaa mazima, bwanamkubwa akikumbuka upuuz aliofanyiwa anaona bora aende kwa jeni yule ambae hana makuu, and the loop goes on and on.
The thing is wakati wanawake wanadhan wanajipandisha value kwa kuset standard fulan za kuendesha relationship ndio hapo hapo huwa wanajishusha value. Hii ndio sababu relationship nyingi sana zinavunjika.
Sisemi kama usimpe hela mwanamke wako hapana, wenzako watamkaza mchana kweupe kila siku utakuwa unalia, nachojaribu kusema kuna namna wanawake wanafanya wakidhan wanajibrand kumbe ndio wanajibrandua …OVA..