Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #81
Sawa P.diddyNakazia, Toa Penzi bure kama umependa kum@ ni kidonda tu.
Ubaki singo usisumbue wadada wa watuNatoa hela kama ninayo sasa kama sina hela nitoe nini ?
We unaleta ngojera kwenye vitu serious?lakini si inakua kama hisani tu right?
yaani kama vile tu unavyoweza kutoa hela ya kununua kitu unachokipenda, right?
gharama ikikushinda au kama huilewi kulingana na aina ya bidhaa unatembea mbele mwendo wa ngiri..🐒
Wadanganye upendeze wengine wapite Bure tushaacha hizo pigo now 50/50Nasemaje Nasemaje!
1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi
2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana
3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine
Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie
Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi
Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!
Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Hivi unajua kuna upendo na tamaa?Ubaki singo usisumbue wadada wa watu
Hivi Mwanamke au Mwanaume wa ndoto yako yupoje? Ulishawahi kumpata au ulishakata tamaa kumpata?
Kama ilivyoandikwa Mwanamke au mwanaume wa ndoto yako Bado yupo? Ana exist Ha- exist Unae? Huna? Anafananaje? Au ushakata tamaa?www.jamiiforums.com
Nije na mafuta au unayo???
Kizazi cha 2000 wabishi sana mtabaki milia ivyo ivyoWadanganye upendeze wengine wapite Bure tushaacha hizo pigo now 50/50
Habari ndio hio lknKuna vitu vinachanganywa ilivionekane sawa😂😂😂
Kama mama yako hakuolewa bikra huyo ndio wa kwanza wako kwa umalaya usituletee afya ya akili kwenye mitandao hapaUmalaya tu
Watu wanaomba hela na bado wako na wanaume zao, kwanini vitoto vya 2000 mnapenda kukwepa majukumu yenu lkn.Hivi unajua kuna upendo na tamaa?
Mwanaume huukinai uchi wa mwanamke ndani ya miezi mitatu tu.
Kinachomfanya Mwanaume kuendelea na huyo Mwanamke ni tabia zake tu. Jifanye unajua sana kuomba omba vitu, hela ndio ukajua kwamba eti unapendwa? Nakupa code hiyooo.
Miezi mitatu tu Uchi wa Mwanamke unakuwa umeshamkinai Mwanaume
Ni jukumu lako kama mwanaumeKwann nikupe hela
🤣🤣🤣Watu wanaomba hela na bado wako na wanaume zao, kwanini vitoto vya 2000 mnapenda kukwepa majukumu yenu lkn.
Unakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje?
Nimekumbushwa mbali Nimeulizwa kama nakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje? Eti na wewe ulivyokuwaga bikra ulikuwaje? Je unamiss kurudi kuwa bikra au ukae hapo hapo?www.jamiiforums.com
Nikipata Mwanamke sahihi nitampa hela kama nitakuwa nayo, Halafu sijui kama unalenga kuwasaidia vijana au kuwatia stress tu. Kwanza elewa upendo ni kitu cha asili sio ni kitu kinachochochewa na material things, Kama unadhani kupewa pesa na Mpenzi wako ndio kuonyesha anakupenda hapo unajidanganya. Kila kitu huja na kuondoka.Watu wanaomba hela na bado wako na wanaume zao, kwanini vitoto vya 2000 mnapenda kukwepa majukumu yenu lkn.
Unakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje?
Nimekumbushwa mbali Nimeulizwa kama nakumbuka ulivyokuwa bikra ulikuwaje? Eti na wewe ulivyokuwaga bikra ulikuwaje? Je unamiss kurudi kuwa bikra au ukae hapo hapo?www.jamiiforums.com
Utamu tunakupa afu kukulisha kukunywesha na kukusugua nyegez zako bado utufilisi na kutupa UTI suguKama no rahisi mbona hautoi basi hio hela?
Pesa makaratasi unabania ya nini?
Itabid uje geto tulizungumzie hilo huku tukiwatch movie.Sawa P.diddy
Michael jackson unamtoa lini eti?
Hivi Mwanamke au Mwanaume wa ndoto yako yupoje? Ulishawahi kumpata au ulishakata tamaa kumpata?
Kama ilivyoandikwa Mwanamke au mwanaume wa ndoto yako Bado yupo? Ana exist Ha- exist Unae? Huna? Anafananaje? Au ushakata tamaa?www.jamiiforums.com
Kudate na demu maskini&omba omba ni uzwazwa.We mwenzetu ulizakuwa kwenye utajiri au? Usitukane maskini, wakati Huna uhakika babako ni mlinzi au chokoraa
Hivi Mwanamke au Mwanaume wa ndoto yako yupoje? Ulishawahi kumpata au ulishakata tamaa kumpata?
Kama ilivyoandikwa Mwanamke au mwanaume wa ndoto yako Bado yupo? Ana exist Ha- exist Unae? Huna? Anafananaje? Au ushakata tamaa?www.jamiiforums.com