Mwanaume Maskini ana Enjoy wake zake hadi watano, wewe na PhD yako , vyeo kibao, pesa zakumwaga, Mke mmoja tu. Huu sio Ujinga?

Mwanaume Maskini ana Enjoy wake zake hadi watano, wewe na PhD yako , vyeo kibao, pesa zakumwaga, Mke mmoja tu. Huu sio Ujinga?

Tena huyo mmoja presha juu.

Hulali, huhemi, hukohoi🤣🤣🤣

Mke mmoja anakulinda balaa nafuu ya Bodigadi.

Una akili kweli?

Na bado anaweza kuzaa nje ya ndoa na akakubambikia.

Tusiposhtuka tutabaki kama Zamwamwa. Turudi kwenye Asili yetu mazee.
Hii mada utasababisha matahira ya kiyaudi kuwaporomoshea wenzao matusi ya nguoni
 
Karibu katika chama Cha kataa ndoa, chama chenye kupambania na kulinda haki na mali za mwanaume.

raisi wa chama chetu ni Liverpool VPN, katibu mwenezi ni Mimi Intelligent businessman, mwanasheria wa chama ni Xi Jinping, makamu mwenyekiti ni Natafuta Ajira.

Baraza la chama min -me, Loading failed.

KATAA NDOA LINDA UHURU WAKO
KATAA NDOA LINDA UCHUMI WAKO
KATAA NDOA LINDA MAISHA YAKO
KATAA NDOA MKATABA WA KITAPELI
View attachment 3235696
Una hoja sana jinsi ulivyo harafu noma sana🙂
 
Tena huyo mmoja presha juu.

Hulali, huhemi, hukohoi🤣🤣🤣

Mke mmoja anakulinda balaa nafuu ya Bodigadi.

Una akili kweli?

Na bado anaweza kuzaa nje ya ndoa na akakubambikia.

Tusiposhtuka tutabaki kama Zamwamwa. Turudi kwenye Asili yetu mazee.
🙌🏼
 
Tena huyo mmoja presha juu.

Hulali, huhemi, hukohoi🤣🤣🤣

Mke mmoja anakulinda balaa nafuu ya Bodigadi.

Una akili kweli?

Na bado anaweza kuzaa nje ya ndoa na akakubambikia.

Tusiposhtuka tutabaki kama Zamwamwa. Turudi kwenye Asili yetu mazee.
Hili ni jambo binafsi, kama kuna mtu anaenjoy wake watano, kuna mwingine anaenjoy kuishi bila mke.

Kwa hiyo ni namna tu ya kila mtu anavyoamua kuishi.
 
Ndo maana tunaogopa kustaafu ndani ya chama

IMG_0612.jpeg
 
Baba zao wako mimi niwahudumie? Nyinyi wengine hamjaoa sema mmeadopt watoto yatima ili muwakojolee
 
Back
Top Bottom