Phobia
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,156
- 1,819
Hivi mwanaume mzima halafu ukiwa kwa masela unajiita wewe ni mwanaume shababu halafu kutwa mapenzi yanakuendesha balaa huo si umbumbu? na ujinga? na ukichaa wa hali ya juu yaani mimi nikiona wanaume wa type hiyo natamani hata kuwapiga makofi hivi unaacha kuwaza pesa unawaza hawa ma slay queen halafu mbaya zaidi huyo demu anayekuendesha ni demu wa 2000 huo ni utoto?
Kama yule zungu mpaka ikafika akazima huo upuuzi yaani mijitu mingine bwana au yule tajiri aliyerest in peace 2017 na yeye hivyo hivyo na juzi huyu mchungaji comedian na yeye hafui dafu kwa yule binti wa kisukuma au mheshimiwa kijana na yeye kutokana na uzwazwa wake amechapiwa! Inakera!idiot
Kama yule zungu mpaka ikafika akazima huo upuuzi yaani mijitu mingine bwana au yule tajiri aliyerest in peace 2017 na yeye hivyo hivyo na juzi huyu mchungaji comedian na yeye hafui dafu kwa yule binti wa kisukuma au mheshimiwa kijana na yeye kutokana na uzwazwa wake amechapiwa! Inakera!idiot