Mwanaume mzima unaendeshwa kihisia na mwanamke? Huo ni ujinga wa kiwango cha lami.

Mwanaume mzima unaendeshwa kihisia na mwanamke? Huo ni ujinga wa kiwango cha lami.

Phobia

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2021
Posts
1,156
Reaction score
1,819
Hivi mwanaume mzima halafu ukiwa kwa masela unajiita wewe ni mwanaume shababu halafu kutwa mapenzi yanakuendesha balaa huo si umbumbu? na ujinga? na ukichaa wa hali ya juu yaani mimi nikiona wanaume wa type hiyo natamani hata kuwapiga makofi hivi unaacha kuwaza pesa unawaza hawa ma slay queen halafu mbaya zaidi huyo demu anayekuendesha ni demu wa 2000 huo ni utoto?

Kama yule zungu mpaka ikafika akazima huo upuuzi yaani mijitu mingine bwana au yule tajiri aliyerest in peace 2017 na yeye hivyo hivyo na juzi huyu mchungaji comedian na yeye hafui dafu kwa yule binti wa kisukuma au mheshimiwa kijana na yeye kutokana na uzwazwa wake amechapiwa! Inakera!idiot
 
Hivi mwanaume mzima halafu ukiwa kwa masela unajiita wewe ni mwanaume shababu halafu kutwa mapenzi yanakuendesha balaa huo si umbumbu? na ujinga? na ukichaa wa hali ya juu yaani mimi nikiona wanaume wa type hiyo natamani hata kuwapiga makofi hivi unaacha kuwaza pesa unawaza hawa ma slay queen halafu mbaya zaidi huyo demu anayekuendesha ni demu wa 2000 huo ni utoto?

Kama yule zungu mpaka ikafika akazima huo upuuzi yaani mijitu mingine bwana au yule tajiri aliyerest in peace 2017 na yeye hivyo hivyo na juzi huyu mchungaji comedian na yeye hafui dafu kwa yule binti wa kisukuma au mheshimiwa kijana na yeye kutokana na uzwazwa wake amechapiwa! Inakera!idiot
Mkuu mbona umeandika kwa hisia sana🤣🤣🤣😂😂😂.Afu unamnanga YELLOW MAN hadharani kua alizimia😂🤣🤣
 
Hivi mwanaume mzima halafu ukiwa kwa masela unajiita wewe ni mwanaume shababu halafu kutwa mapenzi yanakuendesha balaa huo si umbumbu? na ujinga? na ukichaa wa hali ya juu yaani mimi nikiona wanaume wa type hiyo natamani hata kuwapiga makofi hivi unaacha kuwaza pesa unawaza hawa ma slay queen halafu mbaya zaidi huyo demu anayekuendesha ni demu wa 2000 huo ni utoto?

Kama yule zungu mpaka ikafika akazima huo upuuzi yaani mijitu mingine bwana au yule tajiri aliyerest in peace 2017 na yeye hivyo hivyo na juzi huyu mchungaji comedian na yeye hafui dafu kwa yule binti wa kisukuma au mheshimiwa kijana na yeye kutokana na uzwazwa wake amechapiwa! Inakera!idiot
Unasumbuliwa na sonona, kuona mapungufu ya wengine hayo ndio mapungufu zaidi.
 
Unasumbuliwa na sonona, kuona mapungufu ya wengine hayo ndio mapungufu zaidi.
Umenikumbusha mbali mkuu🤣🤣🤣🤣.Kuna mzee wangu mmoja humu JF tulipokua tunajadili mambo ya zanzbar,nilipomwambia ana ugonjwa wa sonona alinimaindi huyo🤣🤣🤣🤣 mpaka leo hatuongei🤣🤣
 
Mackin' ain't for everyone. And we need suckas too to balance this world.
 
Back
Top Bottom