Mwanaume tajiri anafaidika vipi na ndoa zaidi ya ngono tu?

Mwanaume tajiri anafaidika vipi na ndoa zaidi ya ngono tu?

Habari kwenu, nyote

Nilikuwa najiuliza kwa mfano ww ni mwanaume tajiri au una hela za kutosha,, na umri wako ni 35+ huko

Lets say kwa mwezi unaingiza 87M, ila hujaoa lakini wazazi wako, na ndugu wanakulazimisha uoe,

Lakini pia ukiangalia vitu vyote wanavyopata wanaume wenzako kwenye ndoa, wewe unavipata na zaidi yaani unapata in excess kabisa kupitia hela zako,

Kama:
1. Mwanamke MWENYE AKILI wa kukushauri.
2. Mwanamke MCHESHI wa kutaniana naye.
3. Mwanamke wa kubebishana nae na kukubembeleza.
4. Mwanamke MZURI wa kufanya naye tendo.

Hivi vyote hapo juu unapata sababu ya hela zako tu ulizonazo wala hutumii nguvu yoyote ile ni kugusa tu imo, ndani

Sasa mwanaume kama huyu anafaidika vipi na ndoa ndugu zangu wakati vyote hivi anavipata nje ya ndoa yake, tena kwa bashasha nyingi mno.

Na hata huo utajiri alipata bila uwepo wa mwanamke yeyote yule ni ku hustle tu kivyake for 15+ years huko, 🤔

Na hata mwanaume huyo akiumwa ana bima nzuri tu ya hela nyingi na anaweza tibiwa VIZURI TU,

Na mwanaume huyo hajatulia bado ana njaa ya mafanikio zaidi kama nini ingali ana hela ila ni mtafutaji sana tu,

Naombeni ushauri, na majibu nyie wanaume matajiri mliopata utajiri kwa nguvu zenu BILA MWANAMKE ila mkaja mkafunga ndoa baadae , je kuna faida, yoyote ile mliopata kwenye hizo ndoa zenu mpaka sasa

N.B: HUU UZI NIMEUWEKA ILI NIPATE USHAURI MZURI TU MAANA NIMEJIULZA SANA HILI SWALI ILA SIJAPATA JIBU SAHIHI, NINI FAIDA YA NDOA KWA MWANAUME TAJIRI 🤔🤔

Ndoa is all about Company.
Pesa hai-apply kwenye Ndoa, usije ukadanganywa. Ukiona mwanaume anatafuta Mwanamke wa kuoa Kwa sababu anadai anapesa na sio Kwa sababu ya upweke. Basi jua bado hajafikia kuingia ndoani.

Pesa haina uwezo wa kuondoa upweke. Bali MKE/Mume unayempenda na anayekupenda automatically anaweza kuondoa upweke
 
Habari kwenu, nyote

Nilikuwa najiuliza kwa mfano ww ni mwanaume tajiri au una hela za kutosha,, na umri wako ni 35+ huko

Lets say kwa mwezi unaingiza 87M, ila hujaoa lakini wazazi wako, na ndugu wanakulazimisha uoe,

Lakini pia ukiangalia vitu vyote wanavyopata wanaume wenzako kwenye ndoa, wewe unavipata na zaidi yaani unapata in excess kabisa kupitia hela zako,

Kama:
1. Mwanamke MWENYE AKILI wa kukushauri.
2. Mwanamke MCHESHI wa kutaniana naye.
3. Mwanamke wa kubebishana nae na kukubembeleza.
4. Mwanamke MZURI wa kufanya naye tendo.

Hivi vyote hapo juu unapata sababu ya hela zako tu ulizonazo wala hutumii nguvu yoyote ile ni kugusa tu imo, ndani

Sasa mwanaume kama huyu anafaidika vipi na ndoa ndugu zangu wakati vyote hivi anavipata nje ya ndoa yake, tena kwa bashasha nyingi mno.

Na hata huo utajiri alipata bila uwepo wa mwanamke yeyote yule ni ku hustle tu kivyake for 15+ years huko, [emoji848]

Na hata mwanaume huyo akiumwa ana bima nzuri tu ya hela nyingi na anaweza tibiwa VIZURI TU,

Na mwanaume huyo hajatulia bado ana njaa ya mafanikio zaidi kama nini ingali ana hela ila ni mtafutaji sana tu,

Naombeni ushauri, na majibu nyie wanaume matajiri mliopata utajiri kwa nguvu zenu BILA MWANAMKE ila mkaja mkafunga ndoa baadae , je kuna faida, yoyote ile mliopata kwenye hizo ndoa zenu mpaka sasa

N.B: HUU UZI NIMEUWEKA ILI NIPATE USHAURI MZURI TU MAANA NIMEJIULZA SANA HILI SWALI ILA SIJAPATA JIBU SAHIHI, NINI FAIDA YA NDOA KWA MWANAUME TAJIRI [emoji848][emoji848]
subiri upate na ukimwi kwa huo utajiri wako
 
 
Ndoa is all about Company.
Pesa hai-apply kwenye Ndoa, usije ukadanganywa. Ukiona mwanaume anatafuta Mwanamke wa kuoa Kwa sababu anadai anapesa na sio Kwa sababu ya upweke. Basi jua bado hajafikia kuingia ndoani.

Pesa haina uwezo wa kuondoa upweke. Bali MKE/Mume unayempenda na anayekupenda automatically anaweza kuondoa upweke
Umeongea point ya msingi sana.

Kisaikolojia mtu ambaye ana rafiki wa karibu ambae anapata kupiga nae stori na kupeana moyo kwenye mambo mbalimbali basi mtu huyu anakuwa hana upweke tofauti na mtu ambaye hana rafiki wa karibu.

Dhana ya ndoa inatupa watu ambao ni zaidi ya marafiki ambao tutalala nao usiku pamoja,tutaamka pamoja.

So mke akiwa rafiki na muelewa,na akiwa mnapeana moyo kwenye changamoto na mkawa watu wa kushukuru hata kama kuna magumu mnapitia basi utakuta wiooa wanakuwa sio wapweke.

Shida ni kwamba wengi wameoa wanawake ambao hawawezi kuwafanya marafiki.
Wameoa wanawake ambao hawawezi kupiga stori zingine za maisha.
Wameoa wanawake ambao hawawezi kushea nao mambo mbalimbali.
 
Mimi sio mwanaume lakini
Familia ni jambo la Msingi sana kama likijengwa katika misingi ya baba kusimamia nafasi yake ipasavyo na mama kusimamia yake.
1. Mnaendeleza kizazi, watoto ni baraka na faraja
2. Unapata mshauri wako, msiri wako, rafiki yako, mafariji wako, mtani wako, mwandani wako na mambo mengine mengi ndani ya mtu mmoja
3. Hakuna raha kama kula maisha na mtu mnaeongea lugha moja UKIWA MALAYA MALAYA huwezi kuelewa.
 
Uzuri ni kwamba Mtu mwenye pesa kama hizo ulizotaja huwa hana mawazo ya kijinga kama haya.
Usibishe mkuu...sema hujawahi ona ila wapo. Mimi yupo mwamba namfahamu, kipato chake chaweza kuwa 100ml+ kwa mwezi. Yuko kwenye 35+. Hajaoa, na amezalisha wanawake tofauti....saivi anatoka na ma super star kina mobeto nk. Yaani kiufupi wapo sana tu.
 
Usibishe mkuu...sema hujawahi ona ila wapo. Mimi yupo mwamba namfahamu, kipato chake chaweza kuwa 100ml+ kwa mwezi. Yuko kwenye 35+. Hajaoa, na amezalisha wanawake tofauti....saivi anatoka na ma super star kina mobeto nk. Yaani kiufupi wapo sana tu.
Kumbe unazungumzia Diamond? Nilijuanninwewe mwenyewe😅😅
 
Mimi sio mwanaume lakini
Familia ni jambo la Msingi sana kama likijengwa katika misingi ya baba kusimamia nafasi yake ipasavyo na mama kusimamia yake.
1. Mnaendeleza kizazi, watoto ni baraka na faraja
2. Unapata mshauri wako, msiri wako, rafiki yako, mafariji wako, mtani wako, mwandani wako na mambo mengine mengi ndani ya mtu mmoja
3. Hakuna raha kama kula maisha na mtu mnaeongea lugha moja UKIWA MALAYA MALAYA huwezi kuelewa.
Perfect
 
Habari kwenu, nyote

Nilikuwa najiuliza kwa mfano ww ni mwanaume tajiri au una hela za kutosha,, na umri wako ni 35+ huko

Lets say kwa mwezi unaingiza 87M, ila hujaoa lakini wazazi wako, na ndugu wanakulazimisha uoe,

Lakini pia ukiangalia vitu vyote wanavyopata wanaume wenzako kwenye ndoa, wewe unavipata na zaidi yaani unapata in excess kabisa kupitia hela zako,

Kama:
1. Mwanamke MWENYE AKILI wa kukushauri.
2. Mwanamke MCHESHI wa kutaniana naye.
3. Mwanamke wa kubebishana nae na kukubembeleza.
4. Mwanamke MZURI wa kufanya naye tendo.

Hivi vyote hapo juu unapata sababu ya hela zako tu ulizonazo wala hutumii nguvu yoyote ile ni kugusa tu imo, ndani

Sasa mwanaume kama huyu anafaidika vipi na ndoa ndugu zangu wakati vyote hivi anavipata nje ya ndoa yake, tena kwa bashasha nyingi mno.

Na hata huo utajiri alipata bila uwepo wa mwanamke yeyote yule ni ku hustle tu kivyake for 15+ years huko, 🤔

Na hata mwanaume huyo akiumwa ana bima nzuri tu ya hela nyingi na anaweza tibiwa VIZURI TU,

Na mwanaume huyo hajatulia bado ana njaa ya mafanikio zaidi kama nini ingali ana hela ila ni mtafutaji sana tu,

Naombeni ushauri, na majibu nyie wanaume matajiri mliopata utajiri kwa nguvu zenu BILA MWANAMKE ila mkaja mkafunga ndoa baadae , je kuna faida, yoyote ile mliopata kwenye hizo ndoa zenu mpaka sasa

N.B: HUU UZI NIMEUWEKA ILI NIPATE USHAURI MZURI TU MAANA NIMEJIULZA SANA HILI SWALI ILA SIJAPATA JIBU SAHIHI, NINI FAIDA YA NDOA KWA MWANAUME TAJIRI 🤔🤔
Kwanza lipia tangazo, halafu ndoa ni heshima, unatakiwa uishi na familia yako, watoto wapate malezi ya wazazi wawili, ili wawe na maadili kama wewe, wacha kuishi kihuni huni.
 
Shida ni kwamba wengi wameoa wanawake ambao hawawezi kuwafanya marafiki.
Wameoa wanawake ambao hawawezi kupiga stori zingine za maisha.
Wameoa wanawake ambao hawawezi kushea nao mambo mbalimbali.
Wameoa kina nani sasa ?....au wameoa 'wanyapara' ?
 
Back
Top Bottom