Mwanaume: Ukiwa mkristo kabla ya kuoa tafakari sana usikurupuke

Mwanaume: Ukiwa mkristo kabla ya kuoa tafakari sana usikurupuke

Kuishi mke/mme ni taaluma kubwa asikwambie mtu, huende huyo mkuu hanaga muda wakukaa na mkewe akijaza vyakula ndani basi kamaliza sasa mchepuko unapata nafasi ya kum care mkewe ha ha ha!
Unachosema ni sahihi sema kitu kimoja uelewa wa MTU asipoamua kuthamini kile unachompa usidhani ni rahisi akatulia kwenye ndoa.

Ndoa ni maelewano, mwenzako akiamua kukuelewa hata sh 100 ataona ni milioni
 
Pole Kwa changamoto unayopitia.Kuhusu hizo amri nafikiri ni za kanisa lenu hivyo usijumwishe mashirika yote ya kikristo,Kwa upande niliopo mtu ambae hajafanya Uzinzi ana haki ya kuamua kumtaliki mwenza wake au amsamehe na hii ni kulingana na maandiko kwamba uasherati/Uzinzi ndio msingi wa talaka
Yaani hajafanya uzinzi apewe talaka?
 
Pole sana ndoa inatakiwa kuvunjwa sabb wamethibitisha mke amekua akitoka nje ya ndoa sio kitu kirahisi kusema samehe muendelee kuishi

Padre wakati wa mafundisho ya ndoa aliniambia endapo utatoka nje ya ndoa yako na mumeo akajua na kupata uhakika nisiende kwake kutafuta suluhu sabb hana cha kumwambia huyo mwanaume anisamehe.Anasema amehudumu miaka 25 ila hajawahi kufanikiwa kurejesha ndoa ikawa imara ya mwanamke aliyetoka nje ya ndoa zaidi sana ukilazimisha wapatane baada ya siku chache utasikia mmoja wapo amekufa either kwa kuuliwa na mwenzie au kujiua
Ni kweli hili swala wanawake wanatakiwa wajue usaliti unagharama kuubwa
 
Narudia, never trust watu wa makanisani au msikitini. Mzinzi kamwe hawezi kutatua suala la ndoa, sana sana watakushawishi usimwache mkeo ili uishi naye na mwisho wa siku wampige miti wao kwa jina la dini.
Ha ha ha we jamaa umewaza mbali saana
 
Yaani hajafanya uzinzi apewe talaka?
Hapana mkuu, namaanisha ili mtu apewe talaka ni mpaka awe amefanya Uzinzi,lakini pia mtu anaweza akafanya Uzinzi halafu mwenza wake akamsamehe asimpe talaka,na endapo ameamua kumpa talaka basi watu wengine hawapaswi kumshinikiza asamehe
 
Hapana mkuu, namaanisha ili mtu apewe talaka ni mpaka awe amefanya Uzinzi,lakini pia mtu anaweza akafanya Uzinzi halafu mwenza wake akamsamehe asimpe talaka,na endapo ameamua kumpa talaka basi watu wengine hawapaswi kumshinikiza asamehe
Hats nnapo amino mm ni hivo sema wanashinikiza msamaha kwanza
 
Kwa tabia hii make wangu ni bora kuliko wewe.... Alafu wachaga atupo na attitudes ka zako
Malaya wote mkeo na wewe kazi kugawa dudu kaeni tu hadi mmoja azeeke asepe zake . Nyie mmezeeka ila mnataka raha za vijana tulieni ridhikeni na mlicho nacho acheni mashindano .

Na mdomo na hasira ila najua kukaa mwenyewe ni mbaya sana so naheshimu yule niliyenaye
 
Unachosema ni sahihi sema kitu kimoja uelewa wa MTU asipoamua kuthamini kile unachompa usidhani ni rahisi akatulia kwenye ndoa.

Ndoa ni maelewano, mwenzako akiamua kukuelewa hata sh 100 ataona ni milioni
Ndivyo ilivyo halafu unaweza kuta nikitu kidogo tu kinachomfanya mtu achepuke na kutokuwa na hofu ya Mungu nayo inachangia sana kuharibu India.
 
YESU anakujibu hapa...,Yeye ndo final say

Mathayo 19:9
[9]Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
 
Pia wanaume mnakuwa chanzo cha wake zenu kucheat, Wengi wenu mnazururisha sana kwa makahaba huko mpaka wake zenu wanazoea tabia zenu, sass wakichoka wao huingia wazima wazima kwenye cheaters ha ha ha .
 
YESU anakujibu hapa...,Yeye ndo final say

Mathayo 19:9
[9]Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
Lakini kabla ya kuwambia hivyo aliwambia Musa ni sababu ya ugumu wa mioyo yenu aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu, lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
 
Boss wangu soma biblia vizuri soma sana vitabu vya mitume nadhani Paulo ameeleza wazi ukimuoa mwanamke usimpe talaka isipokuwa kwa sababu ya uzinzi na mkeo kaenda kufanya uzinifu kwa kuishi na mwanaume mwingine cha kufanya we msamehe AF kila mtu achukue hamsini zake
 
Hawa watu ni wasanii mno. We angalia karibia mashoga walio wengi hapa nchini wanatokea Tanga na Zanzibar. Ukiwachunguza undani wao utakuta wengi walianza kuchezewa na walimu wao wa dini toka madrasat.
Wanatumia Din kuficha madhaifu yao
 
Nimekuelewa mkuu kidogo umenifundisha nilitaka kuoa kwa kukurupuka kutokana na kupigiwa kelele na jamii kuwa mbona si oi wakati napiga kazi naingiza kipato, imefika hatua kelele zao zinaniumiza mpaka wameamua kunitenga yaani kuishi mikoani kuna tabu yake
Kweli mke ni catalyst ambayo ukikosea tuu imekula kwako.
Acha wapige kelele ila wewe omba Mungu na ufanye utafiti wa kutosha has a kwakuchunguza familia ya mwanamke utakaye muoa
 
Back
Top Bottom