Mwanaume: Ukiwa mkristo kabla ya kuoa tafakari sana usikurupuke

Mwanaume: Ukiwa mkristo kabla ya kuoa tafakari sana usikurupuke

Hiyo Dini ya kikuristo paka leo sielewi utanilazimisha je ni ishi na mwanamke mzinifu, ataukiwa wewe ni Yesu mwenyewe katika hilo swala nta kugomea tu.
Hawalazimishi ila wanataka usamehe. Ukikomaa nao talaka inatoka.

Mind you..katoliki hawatoi talaka bali hubatilisha ndoa, wakishabatilisha talaka utaipata mahakama ya serikali.
 
Na ushahidi ushawaonesha kuwa huyo mwanamke ni mzinzi. Bado wanataka urudiane nae?

Aisee mwanamke alishakuwa mzinzi hakuna ndoa utakayoendelea hapo...chukua maamuzii magumu kimbia kabisa Hilo bomu litakuja kukulipukia huko mbele mara mia zaidi ya hapo...!
 
Let's be real!!!


PART 1: UHALISIA WAKO MTOA MADA.


Mkuu una shida paala!

"nilimfukuza nyumbani baada ya kushawishiwa na ndugu zangu"

Inakuaje mahusiano yako unaruhusu watu wa nje ndiyo wakushawishi kufanya maamuzi??

Wewe kama mwanaume kichwa cha familia na mtu mzima mwenye akili timamu, pamoja na kuelewa hali halisi ya Mkeo, hujui nini Ufanye mpaka ndugu zako ndiyo wakushinikize kufanya maamuzi ??

Anaeishi na mwanamke ni nani? Kanisa, Ndugu zako au wewe?

Anayepitia magumu kutokana na tabia za Mkeo ni nani? Wewe, Kanisa au ndugu zako?


Mwanamke anatoka nje ya ndoa mpaka ushaidi unao, bado huelewi nini ufanye kutatua tatizo??


Kuna kitu hakipo Sawa....

Njoo part 2.


PART 2: IMANI YAKO KATIKA DINI.

Hapa napo una shida boss.

Unapeleka matatizo yako kanisani ili yatatuliwe ili hali mwenyewe unakiri kuchepuka kwasababu ya UPWEKE.

Mkeo awe chanzo cha wewe kuishi maisha hayo halafu matatizo hayo badala ukae uone nini cha kufanya, unayabeba na kupeleka kanisani kisa kufuata taratibu za Kanisa ili hali UNAVUNJA SHERIA ZA MUNGU kwa kufanya uzinzi, huoni kuna sehemu haupo Sawa??


Halafu inakuaje unaruhusu kushikiwa akili na Dini. (Binafsi ni mkristo pia na ninaye amini katika Mungu, hivyo siongei haya kwasababu ni mpagani, HAPANA).


Kila kitu na kiwe na KIASI katika maisha, Mungu ana sehemu yake ya kufanya na wewe pia una sehemu yako ya kufanya. Inapofikia hatua kuruhusu KILA KITU maamuzi yafanywe na Kanisa ili hali wewe ndiye unayeona na kuelewa undani wa tatizo, hii inaonyesha dhahiri unakabidhi nafasi yako kama mwanaume upande wa pili.


JAMANI MAMBO KAMA HAYA NI MFANO HALISI WA KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WAKRISTO WANAISHI MAISHA YA SHIDA NA WENGI HUWA HAWAFANIKIWI KATIKA MAISHA.

Dini kuruhusu Itawale maisha yako kila ENEO pasipo kushirikisha upeo binafsi ni UTUMWA.


Ulishawahi kushirikisha kanisa kuhusu KUCHEPUKA KWASABABU YA UPWEKE??

Nina Imani hilo bado hujalifanya.

Nina mengi ya kuandika, ila Kiufupi ZINDUKA!! Maisha yako yasimamie WEWE na uwe na utashi wa kufanya maamuzi wewe mwenyewe na lile linaloshindikana kabisa Shirikisha watu ukiwa tayari una maamuzi yako binafsi bila kujali washauri watasema nini.

Sasa angalia kwasasa unataka kulazimishwa kusamehe ilihali mwenyewe unakiri nafsi yako inagoma, ila kwa vile ni DINI inataka hivyo unajilazimisha iwe hivyo.

Haya, baada ya kufuata ushauri wa kidini wa KUSAMEHE ili hali wewe bado una kinyongo moyoni, humo ndani mtaishi kwa AMANI au ni mwendo wa KUWA MNAFKI KWA MWENZIO, kuonyesha yameisha ilihali bado una machungu moyoni??

Na kwa hali hiyo unadhani UTAACHA kuchepuka zaidi kuitafuta furaha uko nje??

Maisha wengi huwa wana fake kwasababu ya kuogopa JAMII ITANIONAJE, ili hali magumu unapitia wewe, shida ni zako, na jamii inakutazama ukiteseka, halafu bado unaionea HAYA katika kufanya maamuzi!! Hii kitu naiona kwa wengi sana, hasa kwa hawa watu wanaojifanya kuamini Katika Dini.


Aisee maisha ni mafupi sana kuruhusu kila ushauri wa mtu kuendesha maisha yako.


FANYA VILE MOYO WAKO UNAPENDA, ACHANA NA MENGINE.


Be a man Bro!
 
Nenda kawasomee hiki kifungu waambie huyu amezini na Yesu amesema naweza kumpa talaka:

Mathayo 19:9″ Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, ISIPOKUWA NI KWASABABU YA UASHERATI, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini. “.
 
Let's be real!!!


PART 1: UHALISIA WAKO MTOA MADA.


Mkuu una shida paala!

"nilimfukuza nyumbani baada ya kushawishiwa na ndugu zangu"

Inakuaje mahusiano yako unaruhusu watu wa nje ndiyo wakushawishi kufanya maamuzi??

Wewe kama mwanaume kichwa cha familia na mtu mzima mwenye akili timamu, pamoja na kuelewa hali halisi ya Mkeo, hujui nini Ufanye mpaka ndugu zako ndiyo wakushinikize kufanya maamuzi ??

Anaeishi na mwanamke ni nani? Kanisa, Ndugu zako au wewe?

Anayepitia magumu kutokana na tabia za Mkeo ni nani? Wewe, Kanisa au ndugu zako?


Mwanamke anatoka nje ya ndoa mpaka ushaidi unao, bado huelewi nini ufanye kutatua tatizo??


Kuna kitu hakipo Sawa....

Njoo part 2.


PART 2: IMANI YAKO KATIKA DINI.

Hapa napo una shida boss.

Unapeleka matatizo yako kanisani ili yatatuliwe ili hali mwenyewe unakiri kuchepuka kwasababu ya UPWEKE.

Mkeo awe chanzo cha wewe kuishi maisha hayo halafu matatizo hayo badala ukae uone nini cha kufanya, unayabeba na kupeleka kanisani kisa kufuata taratibu za Kanisa ili hali UNAVUNJA SHERIA ZA MUNGU kwa kufanya uzinzi, huoni kuna sehemu haupo Sawa??


Halafu inakuaje unaruhusu kushikiwa akili na Dini. (Binafsi ni mkristo pia na ninaye amini katika Mungu, hivyo siongei haya kwasababu ni mpagani, HAPANA).


Kila kitu na kiwe na KIASI katika maisha, Mungu ana sehemu yake ya kufanya na wewe pia una sehemu yako ya kufanya. Inapofikia hatua kuruhusu KILA KITU maamuzi yafanywe na Kanisa ili hali wewe ndiye unayeona na kuelewa undani wa tatizo, hii inaonyesha dhahiri unakabidhi nafasi yako kama mwanaume upande wa pili.


JAMANI MAMBO KAMA HAYA NI MFANO HALISI WA KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WAKRISTO WANAISHI MAISHA YA SHIDA NA WENGI HUWA HAWAFANIKIWI KATIKA MAISHA.

Dini kuruhusu Itawale maisha yako kila ENEO pasipo kushirikisha upeo binafsi ni UTUMWA.


Ulishawahi kushirikisha kanisa kuhusu KUCHEPUKA KWASABABU YA UPWEKE??

Nina Imani hilo bado hujalifanya.

Nina mengi ya kuandika, ila Kiufupi ZINDUKA!! Maisha yako yasimamie WEWE na uwe na utashi wa kufanya maamuzi wewe mwenyewe na lile linaloshindikana kabisa Shirikisha watu ukiwa tayari una maamuzi yako binafsi bila kujali washauri watasema nini.

Sasa angalia kwasasa unataka kulazimishwa kusamehe ilihali mwenyewe unakiri nafsi yako inagoma, ila kwa vile ni DINI inataka hivyo unajilazimisha iwe hivyo.

Haya, baada ya kufuata ushauri wa kidini wa KUSAMEHE ili hali wewe bado una kinyongo moyoni, humo ndani mtaishi kwa AMANI au ni mwendo wa KUWA MNAFKI KWA MWENZIO, kuonyesha yameisha ilihali bado una machungu moyoni??

Na kwa hali hiyo unadhani UTAACHA kuchepuka zaidi kuitafuta furaha uko nje??

Maisha wengi huwa wana fake kwasababu ya kuogopa JAMII ITANIONAJE, ili hali magumu unapitia wewe, shida ni zako, na jamii inakutazama ukiteseka, halafu bado unaionea HAYA katika kufanya maamuzi!! Hii kitu naiona kwa wengi sana, hasa kwa hawa watu wanaojifanya kuamini Katika Dini.


Aisee maisha ni mafupi sana kuruhusu kila ushauri wa mtu kuendesha maisha yako.


FANYA VILE MOYO WAKO UNAPENDA, ACHANA NA MENGINE.


Be a man Bro!
 
Na ushahidi ushawaonesha kuwa huyo mwanamke ni mzinzi. Bado wanataka urudiane nae ?

Aisee mwanamke alishakuwa mzinzi hakuna ndoa utakayoendelea hapo ...chukua maamuzii magumu kimbia kabisa Hilo bomu litakuja kukulipukia huko mbele mara mia zaidi ya hapo ...!
Nashangaa saana wanavyojitoa ufahamu.
 
Nenda kawasomee hiki kifungu waambie huyu amezini na Yesu amesema naweza kumpa talaka:

Mathayo 19:9″ Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, ISIPOKUWA NI KWASABABU YA UASHERATI, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini. “.
Ahsante nitajitahidi kuwaelewesha kwa hili pia.
 
Let's be real!!!


PART 1: UHALISIA WAKO MTOA MADA.


Mkuu una shida paala!

"nilimfukuza nyumbani baada ya kushawishiwa na ndugu zangu"

Inakuaje mahusiano yako unaruhusu watu wa nje ndiyo wakushawishi kufanya maamuzi??

Wewe kama mwanaume kichwa cha familia na mtu mzima mwenye akili timamu, pamoja na kuelewa hali halisi ya Mkeo, hujui nini Ufanye mpaka ndugu zako ndiyo wakushinikize kufanya maamuzi ??

Anaeishi na mwanamke ni nani? Kanisa, Ndugu zako au wewe?

Anayepitia magumu kutokana na tabia za Mkeo ni nani? Wewe, Kanisa au ndugu zako?


Mwanamke anatoka nje ya ndoa mpaka ushaidi unao, bado huelewi nini ufanye kutatua tatizo??


Kuna kitu hakipo Sawa....

Njoo part 2.


PART 2: IMANI YAKO KATIKA DINI.

Hapa napo una shida boss.

Unapeleka matatizo yako kanisani ili yatatuliwe ili hali mwenyewe unakiri kuchepuka kwasababu ya UPWEKE.

Mkeo awe chanzo cha wewe kuishi maisha hayo halafu matatizo hayo badala ukae uone nini cha kufanya, unayabeba na kupeleka kanisani kisa kufuata taratibu za Kanisa ili hali UNAVUNJA SHERIA ZA MUNGU kwa kufanya uzinzi, huoni kuna sehemu haupo Sawa??


Halafu inakuaje unaruhusu kushikiwa akili na Dini. (Binafsi ni mkristo pia na ninaye amini katika Mungu, hivyo siongei haya kwasababu ni mpagani, HAPANA).


Kila kitu na kiwe na KIASI katika maisha, Mungu ana sehemu yake ya kufanya na wewe pia una sehemu yako ya kufanya. Inapofikia hatua kuruhusu KILA KITU maamuzi yafanywe na Kanisa ili hali wewe ndiye unayeona na kuelewa undani wa tatizo, hii inaonyesha dhahiri unakabidhi nafasi yako kama mwanaume upande wa pili.


JAMANI MAMBO KAMA HAYA NI MFANO HALISI WA KWANINI ASILIMIA KUBWA YA WAKRISTO WANAISHI MAISHA YA SHIDA NA WENGI HUWA HAWAFANIKIWI KATIKA MAISHA.

Dini kuruhusu Itawale maisha yako kila ENEO pasipo kushirikisha upeo binafsi ni UTUMWA.


Ulishawahi kushirikisha kanisa kuhusu KUCHEPUKA KWASABABU YA UPWEKE??

Nina Imani hilo bado hujalifanya.

Nina mengi ya kuandika, ila Kiufupi ZINDUKA!! Maisha yako yasimamie WEWE na uwe na utashi wa kufanya maamuzi wewe mwenyewe na lile linaloshindikana kabisa Shirikisha watu ukiwa tayari una maamuzi yako binafsi bila kujali washauri watasema nini.

Sasa angalia kwasasa unataka kulazimishwa kusamehe ilihali mwenyewe unakiri nafsi yako inagoma, ila kwa vile ni DINI inataka hivyo unajilazimisha iwe hivyo.

Haya, baada ya kufuata ushauri wa kidini wa KUSAMEHE ili hali wewe bado una kinyongo moyoni, humo ndani mtaishi kwa AMANI au ni mwendo wa KUWA MNAFKI KWA MWENZIO, kuonyesha yameisha ilihali bado una machungu moyoni??

Na kwa hali hiyo unadhani UTAACHA kuchepuka zaidi kuitafuta furaha uko nje??

Maisha wengi huwa wana fake kwasababu ya kuogopa JAMII ITANIONAJE, ili hali magumu unapitia wewe, shida ni zako, na jamii inakutazama ukiteseka, halafu bado unaionea HAYA katika kufanya maamuzi!! Hii kitu naiona kwa wengi sana, hasa kwa hawa watu wanaojifanya kuamini Katika Dini.


Aisee maisha ni mafupi sana kuruhusu kila ushauri wa mtu kuendesha maisha yako.


FANYA VILE MOYO WAKO UNAPENDA, ACHANA NA MENGINE.


Be a man Bro!
Kuna mahali umeni quote vibaya... Kuhusu Mimi kumfukuza sababu ya ndugu... Ni yeye alipohojiwa akasingizia huyo sababu wakati in ya uongo.

Kuhusu kushirikisha dini Mimi ni muumini wa muda mrefu pia nilishawahi kuwa kiongozi wakati Fulani, zaidi ndoa tulifunga kanisani hivyo kufuata taratibu za kanisa sioni tatizo kwakuwa ndivo nnavyo amini.

Kuhusu maamuzi yangu najua kabisa simtaki na ndio msimamo wangu na vielelezo nnavyo tatizo linakuja sikutegemea kama ntalazimishwa kiasi cha kutishiwa ili nirudiane nae kwa kigezo cha msamaha.

Kuhusu kuzini ni dhambi kama zilivyo zingine ila kipindi hiki inanigharimu zaidi kwa sababu ya upweke na stress na ndo maana nataka nimalizane nae ilinipate fursa ya kuoa muda ujao.
 
Yani ujinga wako binafsi ndio unataka kuamini kila mtu ni mjinga sawa na wewe?

Vyeti vya ndoa vinatoka serikalini, sasa nani anakuzuia kuowa bomani?

Na huyo mwanamke kama humtaki kafile divorce mahakamani na siyo kupeleka mambo yako kanisani.
Ndugu najua mahakama ndio inayotoa talaka ila nilichokua nataka ni kupata uhalali kikanisa ili niweze kufunga ndoa tena kanisani hapo baadae.... Ila last option utakua hiyo
 
Kuna falsafa moja huwa naikubali sana! " Ukishapata mchumba kabla hujamuoa,kwanza muoe mama yake" hapo umemaliza kila kitu.Kitakachoendelea ni wewe mwenyewe kusuka au kunyoa.
Ni kweli kabisa coz huyu mwanamke anafanya Yale mama yake amemfanyia baba yake na wametengana mpaka sasa pamoja uzee wake bado anatafuta mabwana
 
Kuna mstari kwenye maisha yangu ambao sio dini tu hata Mungu hawezi kuuvuka, naishi mimi.
 
Back
Top Bottom