Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Ke akipishana nami kiimani na akizini nnje ya ndoa, ni halali kabisa kumpa talaka kulingana na Maandiko Matakatifu.
Hakikisha wewe hujawahi kuzini nje ya ndoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ke akipishana nami kiimani na akizini nnje ya ndoa, ni halali kabisa kumpa talaka kulingana na Maandiko Matakatifu.
Nimekuelewa boss, na tayari nimepata picha ya uhalisia juu ya uhusiano ulio nao kati ya Kanisa na maisha yako halisi.Kuna mahali umeni quote vibaya... Kuhusu Mimi kumfukuza sababu ya ndugu... Ni yeye alipohojiwa akasingizia huyo sababu wakati in ya uongo.
Kuhusu kushirikisha dini Mimi ni muumini wa mda mrefu pia nilishawahi kua kiongozi wakati Fulani, zaidi ndoa tulifunga kanisani ivo kufuata taratibu za kanisa sioni tatizo kwakua ndivo nnavyo amino.
Kuhusu maamuzi yangu najua kabisa simtaki na ndio msimamo wangu na vielelezo nnavyo tatizo linakuja sikutegemea kama ntalazimishwa kiasi cha kutishiwa ili nirudiane nae kwa kigezo cha msamaha.
Kuhusu kuzini ni dhambi kama zilivyozingine ila kipindi hichi inanigharimu zaidi kwa sababu ya upweke na stress na ndo mana nataka nimalizane nae ilinipate fursa ya kuoa muda ujao
Maamuzi ni yao kwasababu wewe mwenyewe bila kulazimishwa ulienda kufunga ndoa kwenye kanisa lao zenye sheria zao.Why all that fuss .......maumivu nipate mimi maamuzi anipe mtu mgine, idont entertain such religious foolery
mapfrofesa wa saikolojia tunaona baba jay anampenda mke bado, sema tu ana machungu 😁Wanakulazimisha tu lakini ukikomaa unataka muachane inawezekana na inakuwa rahisi zaidi kama ushahidi unao.
Process ni ndefu ila ukiamua unaweza. Hawawezi lazimisha ndoa iwepo kama mmeseparate muda mrefu na hakuna dalili ya kurudiana.
Kama una nia ya kuvunja ndoa pambana, ila tu uzijue sababu zinazofanya ndoa kubatilishwa. Tafuta kitabu cha misingi ya sheria ya ndoa katoliki, kitakupa muongozo.
Mahakama ya ndoa ipo kule kurasini kwa askofu karibu na uhamiaji. Nenda huko ukapate muongozo..uachane na huyo mwanamke kama unataka.
Inahitaji uvumilivu na usiwe na haraka. Hakuna kisichowezekana. Ila kama vipi mrudie tu.
Hata biblia inasema uzinzi unavunja ndoa, sababu unayo.
Maajabu ni kwamba mwanamke amekiri mbele yao sema wao wanaforce ni samehe.. Anyway nia yangu ni kubaki na ushirika ikishindikana basiWanakulazimisha tu lakini ukikomaa unataka muachane inawezekana na inakuwa rahisi zaidi kama ushahidi unao.
Process ni ndefu ila ukiamua unaweza. Hawawezi lazimisha ndoa iwepo kama mmeseparate muda mrefu na hakuna dalili ya kurudiana.
Kama una nia ya kuvunja ndoa pambana, ila tu uzijue sababu zinazofanya ndoa kubatilishwa. Tafuta kitabu cha misingi ya sheria ya ndoa katoliki, kitakupa muongozo.
Mahakama ya ndoa ipo kule kurasini kwa askofu karibu na uhamiaji. Nenda huko ukapate muongozo..uachane na huyo mwanamke kama unataka.
Inahitaji uvumilivu na usiwe na haraka. Hakuna kisichowezekana. Ila kama vipi mrudie tu.
Hata biblia inasema uzinzi unavunja ndoa, sababu unayo.
Sister nna namba D Nazi saana sema nn mambo ya talaka ndo yananirudisha kumzungumzia mama jay.... Ukicheki tuu apo church namba D zinaningoja kinoma zishaweka hadi booking kabisakeeping up with baba na mama jay!!! kwa hii series ya kumuongelea mama jay daily ni wazi kuwa moyo wako bado upo kwake ni vile tu una machungu ya kugongewa otherwise ungekua umeanza kutupa story za madem zako wapya wapya watoto namba D.
kama unampenda mrudie mlee watoto kama kweli ushaamua kumove basi achana na mawazo yake tupe vitu vipyaaaa
Kwa upuuzi wa aina hii, hata mungu hua anayakataa maombiNi kumuomba tu Mungu.
Ndo utaratibu wa kanisa naweza ndoa kuivunja ila kanisa halitoshiriki swala langu lolote baadae kama nitaoa nje na kanisaSio kweli kwamba hutoruhusiwa kuoa tatizo kubwa kwa wakristo ni kutojua sheria za ndoa maana cheti chako cha ndoa ni mali ya serekali kanisa linatoa sakrament ya ndoa kwahiyo kama unataka kuvunja ndoa tafuta ushaid nende mahakamani
Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
Ha ha ha sure nilikua nampenda saana kiasi namchukia sasa.... Pia tuna watoto so haiwezekani kumsahau kabisa na lastly najua nae ananipenda sema umalaya tuu ndo unamsumbuamapfrofesa wa saikolojia tunaona baba jay anampenda mke bado, sema tu ana machungu 😁
Hapa umenielewa na Mimi nimekuelewa maana Amani yangu ndio usalama wangu na ni mm binafsi wakuuzingatiaNimekuelewa boss, na tayari nimepata picha ya uhalisia juu ya uhusiano ulio nao kati ya Kanisa na maisha yako halisi.
Ukifika hii stage ni ngumu hakika na inahitaji uwe na moyo mgumu ili kufanya maamuzi yatakayorudisha amani ya moyo wako.
Na maamuzi hayo magumu lazima ukubali kulipa gharama, ikiwemo kuonekana mbaya na mtu asiyetii sheria za Mungu (Kwa mtazamo wao).
Kama umeweza kuitafsiri dhambi ya uzinzi kama dhambi zingine, nina IMANI hayo maamuzi mengine unaweza kuyafanya bila shida yoyote.
Maisha ni yako, uchaguzi ni wako hivyo jitahidi kufanya kitu ambacho unaona ndicho kitaleta AMANI YA MOYO WAKO na kukufanya uishi maisha utakayo bila kujali utaonekana vipi.
Mpaka mwanamke inafikia hatua ya kuchekupa mpaka mwanaume kupata ushahidi siyo ishara salama sana kwako kama MWANAUME.
Kuhusu kulegeza na kuweka ukiasi wa uhusiano wako na kanisa ni jambo gumu, inaonekana dhahiri kwasababu tayari umeshazama.
Unazingua ujue🤣🤣🤣ila SI uliapa kifo ndo kitawatenganisha
Tatizo ni imani uliyoizoea ila nimeamua ntasali hapo hapo kibishi hata wakinitengaKwani lazima usali kanisa hilihilo?hamia zako Pentecostal hawanaga noma wale Tena wanasema ndoa ya kwanza ulikuwa batili unaoa vizuri unaendelea na Maisha yako.
Wewe Ni RC au Adventist?Tatizo ni imani uliyoizoea ila nimeamua ntasali hapo hapo kibishi hata wakinitenga
Kwaio uanaume ni kuuamua bila kufikiri sio au serikali ni sikujui??Wee jamaa vipi? Utafikili sio mwanaume? Kwani mdoa mpaka kanisani? Tafuta umpendaye funga ndoa ya serikali na vyeti vyote vinatolewa na serikali!
AdventistWewe Ni RC au Adventist?