Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Hapo nakuelewa...Adventist
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo nakuelewa...Adventist
We pumbavu soma kwanza uelewe usiharisheharishe hapa jukwaaniUnataka umuache mkeo kwa sababu anachepuka, wakati huo na wewe unakiri unachepuka…. pumbavu sana.
Mkuu bado talaka ndo inazingua na mi nataka kumuoa binti mwenye imani ya kiroho kweli kweli sa nawaza bomani hatokubali mpaka ni clear ili swala ambalo church inaniwekea usikuHujaamua tu kuoa mkuu...hizi ni dini tu mkuu
Sawa mkuuMkuu bado talaka ndo inazingua na mi nataka kumuoa binti mwenye imani ya kiroho kweli kweli sa nawaza bomani hatokubali mpaka ni clear ili swala ambalo church inaniwekea usiku
Ha haa kweli kabisa. Staki nataka huyumapfrofesa wa saikolojia tunaona baba jay anampenda mke bado, sema tu ana machungu 😁
Shikilia hapo hapo kwenye huyo gia, fukuza kabisa.....kama angekuwa nania ya dhati angeomba msamaha kanisani at first place....sio hadi uende na ushahidi. Kuna ndoa za serikalini pia ,na zinatambulika kisheria.Kuna mahali umeni quote vibaya... Kuhusu Mimi kumfukuza sababu ya ndugu... Ni yeye alipohojiwa akasingizia huyo sababu wakati in ya uongo.
Kuhusu kushirikisha dini Mimi ni muumini wa mda mrefu pia nilishawahi kua kiongozi wakati Fulani, zaidi ndoa tulifunga kanisani ivo kufuata taratibu za kanisa sioni tatizo kwakua ndivo nnavyo amino.
Kuhusu maamuzi yangu najua kabisa simtaki na ndio msimamo wangu na vielelezo nnavyo tatizo linakuja sikutegemea kama ntalazimishwa kiasi cha kutishiwa ili nirudiane nae kwa kigezo cha msamaha.
Kuhusu kuzini ni dhambi kama zilivyozingine ila kipindi hichi inanigharimu zaidi kwa sababu ya upweke na stress na ndo mana nataka nimalizane nae ilinipate fursa ya kuoa muda ujao
Church hawakuwekei usiku ni wewe hujaamua. Ondoka hapo church nenda ngazi ya juu yake...ukifika huko utarudishwa kanisani kwako na itakuwa rahisi. Ila jiandae inaweza chukua hata 4 yrs kumaliza hiyo process.Mkuu bado talaka ndo inazingua na mi nataka kumuoa binti mwenye imani ya kiroho kweli kweli sa nawaza bomani hatokubali mpaka ni clear ili swala ambalo church inaniwekea usiku
Hebu ngoja nikujie pm wewe unaniangusha sanaMaajabu ni kwamba mwanamke amekiri mbele yao sema wao wanaforce ni samehe.. Anyway nia yangu ni kubaki na ushirika ikishindikana basi
Hamna uliapa mwenyeweUnazingua ujue
Mimi kwa dhambi ya uzinzi siwezi kusamehe aisee, yaani kosa moja tuu mimi natoa RED CARD,Kuna wakati dini imeeleweka vibaya sababu ya viongozi wa hovyo.
Yesu anasema usimuache mke kama hajafanya dhambi ya uzinzi. Mathayo 5:32.
Hakuna haja ya kupatanisha mke na mume kama mmoja wapo ni mzinzi na yule ambaye ni mwaminifu anataka kuachana naye.
Msamaha ni kanuni ya mbingu, ila nihatari zaidi kulazimisha mme mwaminifu Aishi na mke mzinzi, matokeo yake ni mabaya.
bwana weeee we endelea na maisha yako talaka itakujaga tu mbele ya safari kwani bila talaka haugegedi??Sister nna namba D Nazi saana sema nn mambo ya talaka ndo yananirudisha kumzungumzia mama jay.... Ukicheki tuu apo church namba D zinaningoja kinoma zishaweka hadi booking kabisa
mnapendana nyie kamata mkeo hamieni kwingine kukimbia nzi maisha yaendelee....maisha ndio haya hayaHa ha ha sure nilikua nampenda saana kiasi namchukia sasa.... Pia tuna watoto so haiwezekani kumsahau kabisa na lastly najua nae ananipenda sema umalaya tuu ndo unamsumbua
Kwenye ndoa wakristo tunateseka saana inabidi waumini tuandamane aseeehChurch hawakuwekei usiku ni wewe hujaamua. Ondoka hapo church nenda ngazi ya juu yake...ukifika huko utarudishwa kanisani kwako na itakuwa rahisi. Ila jiandae inaweza chukua hata 4 yrs kumaliza hiyo process.
Roho haitaki ndugu yangumnapendana nyie kamata mkeo hamieni kwingine kukimbia nzi maisha yaendelee....maisha ndio haya haya
Unajua yakikufika ndo unaona kwenye ndoa uisilamu unagusa maisha halisiNdo mana naupenda Uislamu 4 wives m.ke mmoja ni mama ako mzazi tuu ayo mengine mnadanganywa
Tukisema Uislamu ni dini ya haki eleweni kua ni kweli .ona sasa unaingia kwenye dhambi za zinaa
Mkui huyu hajaamua tu kuacha!Watu wa dini wanawashika sana akili sasa huruhusiwi kuoa kwani wenyewe ndo waowaji..?
[emoji23]
Upuuzi kama huu haufai mambo mengine yaajabu tu!,kuna maamuzi mengine hutakiwi hata kushirikisha watu amua kwa usahihi unaouona atakaekuja kuhoji alistahiri mwambie asipoelewa shauli yake!.
Uislamu unaendana na maumbile ya mwanadamu katika kila nyanjaUnajua yakikufika ndo unaona kwenye ndoa uisilamu unagusa maisha halisi