Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
[emoji23][emoji23][emoji23]Hebu ngoja nikujie pm wewe unaniangusha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hebu ngoja nikujie pm wewe unaniangusha sana
Sio ndogo!Kazi anayo
[emoji23][emoji23]bwana weeee we endelea na maisha yako talaka itakujaga tu mbele ya safari kwani bila talaka haugegedi??
roho haitaki, mwili na moyo je 😁Roho haitaki ndugu yangu
Hapana mkuu, sikuhizi watu hata hawaumizi akili km zamaniKwenye ndoa wakristo tunateseka saana inabidi waumini tuandamane aseeeh
Aah hata hivyo nilidhani we ni Rc kumbe sio,sorry!Hamjanielewa tatizo si talaka maana najua inatoka mahakamani tatizo ni ushirika na kutokutambulika ndoa yangu mpya baadae
Yaani nilidhani we ni Rc,so sorry!Nakufahamisha ndoa sikufunga kwa mjomba ako nilifunga kanisani so hata ukianza mahakamani lazima wakurudishe kanisani kwanza
Hata sijaingia huko chamani mkuu[emoji23]Kwa uzoefu huu ushavunja ngapi dada..?[emoji23]
Sawasawa mdada mwenye experience zake..😂Hata sijaingia huko chamani mkuu[emoji23]
Ila naona yanayoendelea huku mtaani!
Watu wanaingia na kutoka!
Usisingizie dini mkuu..Nilipofanikiwa kunasa sauti zinazothibitisha mahusiano yao ndo ikabidi akubali mbele ya viongozi wa kanisa, lakini sasa anadai anahitaji ndoa yake na si kuachana.
Maajabu ya utaratibu wetu sisi wakristo ni kulazimishana kurudiana watu tulioumizana kiasi kikubwa kwa kigezo cha kusameheana.... Yaan nilazima nimsamehe turudiane vinginevyo sitoruhusiwa kuoa maisha yangu yoote labda mpaka huyo mwanamke aolewe.
Kwa hio unataka kusema watu wavulimilie kugongewa auUsisingizie dini mkuu..
Andiko la Biblia linasema kuna sababu moja tu inayoweza kuhalalisha talaka, UZINZI. Wewe umekwama vipi?
Mathayo 19:9
Mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa sababu ya uasherati naye akaoa mke mwingine, anazini. Naye amwoaye yule mwanamke aliyeachwa pia anazini.
Mathayo 5:32
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
Ndugu najua mahakama ndio inayotoa talaka ila nilichokua nataka ni kupata uhalali kikanisa ili niweze kufunga ndoa tena kanisani hapo baadae.... Ila last option utakua hiyo
HAPANA..Kwa hio unataka kusema watu wavulimilie kugongewa au
Mkui huyu hajaamua tu kuacha!
Aliyemwabi kanisa linavunja ndoa nani? Hakuna ambae anaitaka hiyo dhambi wote wanakwepa,ndo maana ndoa zinavunjwa mahakamani sio kanisani!
Na maisha yanaendelea, na unafunga nyingine kanisani vzr ,baadhi ya ma kanisa hawana mambo mengi[emoji23]
Ninachojua, mahakamani lazima watakurudiaha Kwa viongozi wa dini, wajiridhishe ndipo wataandika talaka.Yaani viongozi wa kanisa wakupangie? Wakulazimishe? Wanajua unapopitia? Kwanza ktk hali ya kawaida kanisani watakuzingua tu nenda mahakamani basi,huko utapata divorce!
Unafikiri kwann ndoa nyingi za kikiristo zina divorce ya mahakamani sio kanisani?
Ndo mambo km haya hawataki wao wawe ndo waliovunja ndoa!
kila mmoja analikwepa hilo hivyo utahangaika sana na hawatavunja!
Hilo linawezekana makanisa mengine tofauti na Rc,Lutheran, Anglican,Moravian. Lkn na yenyewe inategemea zipo zilizovunjwa ila process ni ndefu sn.
Kavunje mahakamani achana na mambo ya kanisani ww utapoteza muda!
Ooh kumbe, haya atajua mwenyewe😃😃Dear huyu ni msabato sio Rc!
[emoji23][emoji23][emoji23]Ooh kumbe, haya atajua mwenyewe[emoji2][emoji2]