Mwanaume: Ukiwa mkristo kabla ya kuoa tafakari sana usikurupuke

Mwanaume: Ukiwa mkristo kabla ya kuoa tafakari sana usikurupuke

Hiyo Dini ya kikuristo paka leo sielewi utanilazimisha je ni ishi na mwanamke mzinifu, ataukiwa wewe ni Yesu mwenyewe katika hilo swala nta kugomea tu.
Huyu ameshindwa kujenga hoja zake vizuri ktk imani ya Kikristo hakuna kulazimishwa kuishi na mwanamke aliyeshakiri uzinifu na anasema kabisa alim-recod huyo mkewe akikiri huo ujinga na akawasikilizisha hao viongozi.

Huyu jamaa anampenda bado huyo mwanamke that's why anashindwa kusimama kiume kumkataa.
 
Wasalam!

Hii habari ni mwendelezo wa matukio yangu halisi.

Ni muda sasa kama mwaka tangu nitengane na make wangu kutokana na swala LA uzinzi ambapo aliamua kuondoka kuishi maisha yake na hawara wake.
Pole mkuu. Kikanuni za kiroho kulingana na biblia agano la ndoa yenu tayari limeshavunjika baada ya aliekuwa mkeo kuzini. Taasisi zetu za kiimani zimeweka utaratibu wa kutovunja ndoa ili kuepusha madhara ambayo hutokea na kuathiri sana wahusika na watoto plus kuwafanya watu wawe atleast na hofu ya kutomess up kwa sababu ya hicho kifungo cha kutoruhusiwa kuoa unless mke au mume amefariki.

Biblically uko huru toka kwenye agano la ndoa ila kitaratibu za taasisi zetu za kiimani na sheria za nchi bado mko bounded.

Again, pole sana mkuu. Ndoa is meant to be such a precious thing and beautiful journey to experience the gift of love given to mankind. Sadly, We just misuse it.
 
Watu wa dini wanawashika sana akili sasa huruhusiwi kuoa kwani wenyewe ndo waowaji..?

😂
Upuuzi kama huu haufai mambo mengine yaajabu tu!,kuna maamuzi mengine hutakiwi hata kushirikisha watu amua kwa usahihi unaouona atakaekuja kuhoji alistahiri mwambie asipoelewa shauli yake!.
Haya mambo ndio maana vatican inajaribu kufanya marekebisho ya ibara ikiwezekana hata padre aweze kuoa

Hilo swala kwa unyeti wake halafu kwa namna lilivyochukuliwa kimzaha na watu ambao wamepewa heshima katika jamii naona kabisa kanisani sio sehemu sahihi ambayo utapata ushauri mzuri kwenye matatizo kama haya

Kufungwa na dhana ya "mpaka kifo kiwatenganishe" ndio moja ya jela inayowafanya viongozi wa dini washindwe kufanya maamuzi sahihi kwa kufikiria suluhu yeyote ni lazima isihusishe utenganifu
 
Ingenitokea mimi mbona ningeenda piga kiberiti hilo kanisa nione kiwango cha mchungaji kuhimili maumivi ni cha level gani

Yapo makosa ya kusamehe ila sio kwa swala hilo, yaani point ya kuanza kufikiria tu kuweka kikao kutafuta suluhu ni one of the wrong move
Jamaa he sounds like bado anampenda bado huyo mwanamama,nimepita ktk JF profile yake ana thread kama nne ameshusha mashairi ya kutosha kwa mkewe kuhusiana na hili jambo.

Ana mahaba mazito bado na huyo mzinzi acha akenue kenue meno ampige tena tukio lingine akili imkae sawa.
 
Jamaa he sounds like bado anampenda bado huyo mwanamama,nimepita ktk JF profile yake ana thread kama nne ameshusha mashairi ya kutosha kwa mkewe kuhusiana na hili jambo.

Ana mahaba mazito bado na huyo mzinzi acha akenue kenue meno ampige tena tukio lingine akili imkae sawa.
Itakuwa kweli kwasababu kosa alilofanya mke wake lipo katika standard za juu na ni ngumu kuvumilika

Ni jambo ambalo kila nikisoma maelezo naona kabisa kwa situation hiyo mwanaume huwezi kuweka vikao kanisani kujadili yani kila kitu kilitakiwa kuishia pale pale siku ambayo ume confirm kuwa ana cheat
 
Mbona kuna mwana ameoa juzi tu.kanisani kwa ndoa ya pili baada ya kwanza kupata misukosuko kama yako.
Mi nadhani inategemea nawachungaji watakaohusika na hilo jambo
Mchungaji aliyekua amani shughuli kua swala langu alikua ashalimaliza shida amehamishwa
 
Hapa ndio naelewa msemo, "akili za kuambiwa changanya na zako"
Mkuu yao ni maisha yako na Mungu wako. Si maisha yenu na Mungu wenu. Maamuzi ni sasa au hakuna kabisa.
Utaumia maishani mwako mwote kama umeamua kumpokea eti kwa sababu tu viongozi wa kanisa wamesema.
Pole sana. Ila fanya maamuzi magumu hata kama kuna mali mlisha tafuta pamoja, wewe mwachie ili isiwe sababu yake kukufuata tena.
 
Sijaelewa!

Kibiblia mke akiwa mzinzi unamuacha sasa wewe alishakiri kuwa ni mzinzi na sauti ukazinasa akikiri ukawasikilizisha hao unaowaita viongozi nashindwa kuelewa unakwama wapi kujenga hoja zako mbele ya hiko kikao chenu cha usuluhishi?

Unless useme bado huyo mal.aya unampenda wewe mwenyewe!
Jamaa una hasira saana... Kumpenda hapana mkuu... Sio kama nimefeli mchakato bado unaendelea
 
Wakati wengine wakipata shida hii wengine hawapewi unyumba na mwanamke kisa kachoka ndoa chanzo Cha magonjwa na umaskini
 
Pole mkuu. Kikanuni za kiroho kulingana na biblia agano la ndoa yenu tayari limeshavunjika baada ya aliekuwa mkeo kuzini. Taasisi zetu za kiimani zimeweka utaratibu wa kutovunja ndoa ili kuepusha madhara ambayo hutokea na kuathiri sana wahusika na watoto plus kuwafanya watu wawe atleast na hofu ya kutomess up kwa sababu ya hicho kifungo cha kutoruhusiwa kuoa unless mke au mume amefariki.

Biblically uko huru toka kwenye agano la ndoa ila kitaratibu za taasisi zetu za kiimani na sheria za nchi bado mko bounded.

Again, pole sana mkuu. Ndoa is meant to be such a precious thing and beautiful journey to experience the gift of love given to mankind. Sadly, We just misuse it.
Sure we misuse it....haswa kwa wasio na hofu ya Mungu
 
Back
Top Bottom