Mpe pesa huyo,Wewe si umesema Mimi mwanamke ndio nataka uone km ukilala na mwanamke unapata ujauzito sawa tulale alafu baada ya hapo km hujapata mrejesho wowote ndani ya Mwezi hujapata kitumbo Niite mwanamke
Nimekuambia mpe pesaWewe umeniquote mboni Nani amekulazimisha nimekwambia inabidi uthibitishe kauli yako kua Mimi ni mwanamke nikupe ujauzito Ila uprove kua Mimi ni mwanaume sio mwanamke au hilo la kupewa ujauzito linakuchanganya kidogo kwamba toka lini mwanamke akampa ujauzito Mwanamke mwenzie au sio ?
Kweli kabisa wameandika ujinga mtupu ndio maana nimeacha kusoma komenti naangalia tu vidole vya miguu yakoUjinga mtupu!
Mimi niliacha kutumia pesa kuanzisha mahusiano baada ya kuona pamoja na kutumia pesa hakuna nachokipata..Pamoja kua na pesa sio free ticket ya kupata kila mwanamke,,,i agree with youHawajui heka heka wanazokutana nazo mabro wao wenye hela ππ
Ukute tunajadiliana na vijana wa 27/28 yrs. Hawana case study za maana , zaidi ya vitoto vyezao vya shule.
Kuna muda mtu anakuwa na hoja uchwara unabaki unaishangaa tu. Maana haiko applicable kabisa. Kwanza wao wenyewe sio K zote wanapita nazo, lazima waselect.
Depal kapata mtetezi, mwamba huyu hapa.Mimi niliacha kutumia pesa kuanzisha mahusiano baada ya kuona pamoja na kutumia pesa hakuna nachokipata..Pamoja kua na pesa sio free ticket ya kupata kila mwanamke,,,i agree with you
Babu yangu alikuwa na nyumba kijijini na Vyumba vichache vya kupangisha dar, income yake kwa mwaka ni k.v tsh million 12, ila alikuwa anakula vibinti vya shule ya msingi, vibinti vya sekondari, wamama, hadi wadada wa chuo, alioa na kumzalisha binti wa miaka 26 yeye akiwa na miaka 54..nikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..Kumbe unaelewa.
Sasa huko juu ulitaka kubisha nini? Anaweza kuwa na hela ila mvutoless. Anachomolewa nje vizuri kabisa.
Pesa ilihusika.Babu yangu alikuwa na nyumba kijijini na Vyumba vichache vya kupangisha dar, income yake kwa mwaka ni k.v tsh million 12, ila alikuwa anakula vibinti vya shule ya msingi, vibinti vya sekondari, wamama, hadi wadada wa chuo, alioa na kumzalisha binti wa miaka 26 yeye akiwa na miaka 54..nikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..
Hii scenario nyie wanawake mnaielezea vipi, mtasema hao wanawake mioyo yao ilimkubali mwanaume mzee mwenye miaka 77, huyu mzee aliwavutia nini mbali na pesa? Leejay49 To yeye Depal
Aina ipi iyo ntazana ntazanaKuna aina ya wanaume hata awe na pesa namna gani hanipati.
Kumbe ni kijijini.Babu yangu alikuwa na nyumba kijijini na Vyumba vichache vya kupangisha dar, income yake kwa mwaka ni k.v tsh million 12, ila alikuwa anakula vibinti vya shule ya msingi, vibinti vya sekondari, wamama, hadi wadada wa chuo, alioa na kumzalisha binti wa miaka 26 yeye akiwa na miaka 54..nikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..
Hii scenario nyie wanawake mnaielezea vipi, mtasema hao wanawake mioyo yao ilimkubali mwanaume mzee mwenye miaka 77, huyu mzee aliwavutia nini mbali na pesa? Leejay49 To yeye Depal
Hata mjini dar, kuna vibinti vya shule ya msingi vilikuwa vinaenda nyumbani kwa babu yangu kumtukana huyo mke aliemuoa..huyo mke aliemuoa saa ingine anatoka safarini anapigwa kikumbo mlangoni na mwanamke mwingine aliyekuwa ndani, kwa macho yangu mawili kuna binti wa chuo alikuwa anasafiri km 600 kutoka dar, kumfuata babu yangu kijijini, na huyo babu yangu hata gari la kuendesha alikuwa hanaKumbe ni kijijini.
Wa mjini hawadanganyiki kirahisi
π€Babu yangu alikuwa na nyumba kijijini na Vyumba vichache vya kupangisha dar, income yake kwa mwaka ni k.v tsh million 12, ila alikuwa anakula vibinti vya shule ya msingi, vibinti vya sekondari, wamama, hadi wadada wa chuo, alioa na kumzalisha binti wa miaka 26 yeye akiwa na miaka 54..nikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..
Hii scenario nyie wanawake mnaielezea vipi, mtasema hao wanawake mioyo yao ilimkubali mwanaume mzee mwenye miaka 77, huyu mzee aliwavutia nini mbali na pesa? Leejay49 To yeye Depal
π π π ππππ, itoshe tu kukili sisi ni majasiri na hatujui tunataka nini ππnikionesha sura yake hapa mtakimbia, mweusi kama tairi na ni mzee wa miaka 77 mwembamba na ana kipara na mvi..
Hivi wewe Depal unaweza kumkataa mtu mwenye pesa na ukamfata mtu asiye na pesa eti kisa moyo??? Acheni unafiki jamani.Not only pesa. Na moyo ukukubali.
Moyo ukikataa, wewe na hela zako mtachacha.
Kugegeda ni jambo la asili kwa mwanaume .Ila sii unagegeda. Basi inatosha kusema kuwa kugegeda oyeeeeee
Sawa
Huwezi kuwa na pesa afu unuke mdomo at the same time, hii haiwezekaniUnahela alafu unanuka mdomo, utabaki na hela zako.
Money isn't everything
Kwangu mie sio ngumu.Hata si wewe mwenyewe unaona Ni vigumu