Usisahau hata appearance inatakiwa iwe angalau. Sio unapiga suruali size ya tambala la mashine ya kusaga, umenyoa kibwenzi, uko rafu unanuka kama bebebru, Kisa una pesa unaamini utabeba yeyote kwa kweli utapigwa vibuti utashangaa na hatimaye utahamia kwa walioshindikana.Kweli demu anatakiwa akukute hata kwako sio everyday lodge.
Akija kwako aone hapo kwako kuna hadhi ya kuishi mtu.
Hapa nakuelewa mwonekano ni key.Usisahau hata appearance inatakiwa iwe angalau. Sio unapiga suruali size ya tambala la mashine ya kusaga, umenyoa kibwenzi, uko rafu unanuka kama bebebru, Kisa una pesa unaamini utabeba yeyote kwa kweli utapigwa vibuti utashangaa na hatimaye utahamia kwa walioshindikana.
[emoji120]Pesa za kuanzia milioni 30 afsa
Hapa inategemea unataka mwanamke wa aina gani?Pesa kuanzia kiasi Gan afsa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pesa za kuanzia milioni 30 afsa
Hapo ni salio la kuanzia maisha mil30 unabaki na funza.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna wanawake wanakula pesa kama mchwa. Hiyo pesa haizidishi hata siku mbili imeteketea wamekumaliza unabaki na 1200
Si unapiga halafu unaachaKuna mademu wengine ukiingia Kwa Gia ya pesa moja Kwa moja utachunwa Sana Mzee, uwe na Pesa Ila pia uwe na tactics....
Akili zao si zinawaza pesa TU na kupigwa paipu90% ya wanawake huwa wanakuwa single mwanaume akiwa na mtonyo.
Atakupata tu siku shida zikikubana tena chupi utamvulia mwenyewe umpemzigo akupe PesaKuna aina ya wanaume hata awe na pesa namna gani hanipati.
Maskini hudharauliwa hata na ndugu zake!Tupambane kuzitafuta wakuu.Pesa Sabuni ya Roho, Mtu mwenye pesa andika sio Mwenzio. Aliimba Rich One.
Mwanaume Ukiwa na Pesa na una familia Hata ukijieleza unaeleweka na unaonekana ni singoboi kabisa na Unapewa unachotaka.
Kosa Pesa hata Kwenye Ukoo hushirikishwi unapewa tu taarifa na ukihudhuria vikao wanakuletea kinywaji mirinda nyeusi hata bila kukuuliza utakunywa nini.
Kama wewe shida zikikupata unavulia chupi kila mwanaume ni wewe na upumbavu wako.Atakupata tu siku shida zikikubana tena chupi utamvulia mwenyewe umpemzigo akupe Pesa
Ni ile inayotosheleza kutimiza mahitaji ya yeyote utakayempata.Nimesoma toka uzi ulikoanzishwa mpaka Leo sijaona, kwanii hela yenyewe ni sh. ngapi ili tuwe single
Kwenye kikao Cha familia na Ukoo masikini hata angekua mkubwa vipi au ana mawazo mazuri kiasi gani akitaka kuchangia maneno anaambiwa subiri kwanza fulani achangie wewe zamu yako utafika, yule mwanafamilia mwenye Pesa kila analosema ndio linaonekana la maana sababu Pesa inaongea akisema leo mtakula, kunywa na kusaza inakua hivyo Ila masikini yake maneno tu na mkono mtupu haulambwiMaskini hudharauliwa hata na ndugu zake!Tupambane kuzitafuta wakuu.
MIMI mwanaume elewa wapo wanaovua chupi shida zikiwabanaKama wewe shida zikikupata unavulia chupi kila mwanaume ni wewe na upumbavu wako.