Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
Mwenye hela hachachagi dada.Not only pesa. Na moyo ukukubali.
Moyo ukikataa, wewe na hela zako mtachacha.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye hela hachachagi dada.Not only pesa. Na moyo ukukubali.
Moyo ukikataa, wewe na hela zako mtachacha.
Jamaa anataka kuwa matawi ya juu kama east zuu ni mshamba.Anatafuta kuwa highest reaction score Member amkimbize Numbisa na Shimba ya Buyenze.... ndio adhima yake. Wenzie wanamchango wa maana ye anajinadi kwa ujinga ...kweli vipaji ni vingi. Ana force umaarufu.🤣
Hahahahah jamaa natamani mno kumjua. Umri wake nk!Yule mchawi ye34nbe mwenye maisha magumu kishapiga dislike za kutosha
True90% ya wanawake huwa wanakuwa single mwanaume akiwa na mtonyo.
Taarifa fupi ni hii.
Hapa pana ukakasi kidogo. Sio kwamba wanawake ni very cheap kiasi kwamba wamkubali yeyote hata kama mchafumchafu kisa pesa. Wako very selective. Labda malaya wanaojiuza hao ndio wanakula kichwa chochote kinachokuja mbele yao ilimradi mkwanja upo. Ingawa na wao kuna sehemu hawaendi hata kama mpunga upoSisi tunajua pesa ndiyo kila kitu ili tule mbususu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jiulize kwan nini mtu ni smart na msafi ananyimwa mbususu ila jamaa wa kolomije from interior anapewa mbususu kisa burungutu.
Selection yao kumbe iko hivo, aisee pia nadhani mwanaume mwenye burungutu hata milioni 200 akiwa amejiweka hovyo huwa mademu wachache tena wachafu wenzake ndiyo humpaparikia.Hapa pana ukakasi kidogo. Sio kwamba wanawake ni very cheap kiasi kwamba wamkubali yeyote hata kama mchafumchafu kisa pesa. Wako very selective. Labda malaya wanaojiuza hao ndio wanakula kichwa chochote kinachokuja mbele yao ilimradi mkwanja upo. Ingawa na wao kuna sehemu hawaendi hata kama mpunga upo
Money is not everything mkuu. Kumbuka hata wao wanatamani kuwa na mtu ambaye licha ya kuwa na pesa atakuwa huru kumtambulisha kwa rafiki zake vinginevyo utaishia kumla mafichoni. Ukimuita sehemu ya wazi mkae mpate chakula anatoa udhuru ila room kwa hotel anakuja kwa kuwa anajua atakunja mkwanja atakupa unachotaka atasepa.Selection yao kumbe iko hivo, aisee pia nadhani mwanaume mwenye burungutu hata milioni 200 akiwa amejiweka hovyo huwa mademu wachache tena wachafu wenzake ndiyo humpaparikia.
Hii kitu uliyosema nimeiona kwa wenye fedha na wanapata ugumu kula mbususu kama vile hawana kitu kabisa.
Nafikiri kama wewe, siku zote for a man must be smart kila kona appearance na maongezi pia na ustaarabu mwingine.Money is not everything mkuu. Kumbuka hata wao wanatamani kuwa na mtu ambaye licha ya kuwa na pesa atakuwa huru kumtambulisha kwa rafiki zake vinginevyo utaishia kumla mafichoni. Ukimuita sehemu ya wazi mkae mpate chakula anatoa udhuru ila room kwa hotel anakuja kwa kuwa anajua atakunja mkwanja atakupa unachotaka atasepa.
Kuwa na pesa and be smart
Kumbe unaelewa.Selection yao kumbe iko hivo, aisee pia nadhani mwanaume mwenye burungutu hata milioni 200 akiwa amejiweka hovyo huwa mademu wachache tena wachafu wenzake ndiyo humpaparikia.
Hii kitu uliyosema nimeiona kwa wenye fedha na wanapata ugumu kula mbususu kama vile hawana kitu kabisa.
Sasa huyo si ni malaya? Yaani kila baada ya sex akunje mkwanja? Sasa si bora ulale malaya tu.Money is not everything mkuu. Kumbuka hata wao wanatamani kuwa na mtu ambaye licha ya kuwa na pesa atakuwa huru kumtambulisha kwa rafiki zake vinginevyo utaishia kumla mafichoni. Ukimuita sehemu ya wazi mkae mpate chakula anatoa udhuru ila room kwa hotel anakuja kwa kuwa anajua atakunja mkwanja atakupa unachotaka atasepa.
Kuwa na pesa and be smart
Uko sahihi. Ukiwa smart usiwe pangu pakavu kabisa kiasi kwamba unahitaji kutunzwa. Hata kama ana pesa kukuzidi ila make sure una zako za kukujengea confidence kiasi kwamba humtegemeiNafikiri kama wewe, siku zote for a man must be smart kila kona appearance na maongezi pia na ustaarabu mwingine.
Huna huo msuli! Wanawake wengi mna njaa SANA. Huo ndio ukweli dada Depal!Kumbe unaelewa.
Sasa huko juu ulitaka kubisha nini? Anaweza kuwa na hela ila mvutoless. Anachomolewa nje vizuri kabisa.
Haha pole sana kwa hiyo Mindset uliyo nayo.Huna huo msuli! Wanawake wengi mna njaa SANA. Huo ndio ukweli dada Depal!
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Kweli demu anatakiwa akukute hata kwako sio everyday lodge.Uko sahihi. Ukiwa smart usiwe pangu pakavu kabisa kiasi kwamba unahitaji kutunzwa. Hata kama ana pesa kukuzidi ila make sure una zako za kukujengea confidence kiasi kwamba humtegemei
Kuna wanawake wameridhika na afu3 zao.Sio miaka hii pesa ngumu hivi, japo bado una point.
Kwa kiasi fulani pesa nyingi inang'oa malaya sana wale macho kumchuzi jaribu kufuatilia. Uzuri siku hizi hata malaya wako very smart na strategic siku hizi, hivyo kuwajua unahitaji uwe smart sana. Unaweza usitoe kila siku ila siku ukitoa umemnunulia gari na kumhamishia kwenye apartment kali. Next move inakuwa kumjengea nyumba halafu ukisafiri kuna jamaa presentable anamla bure kwa pesa yako. Unaanza kutembea na mguu wa kuku unamtafuta hohehahe anayekutafunia mrembo wakoSasa huyo si ni malaya? Yaani kila baada ya sex akunje mkwanja? Sasa si bora ulale malaya tu.
Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
Hii umeongea kwa wadada walio smart tu ila hawa mwajuma ndala ndefu na wale kina manka mtonyo hawawezi kukuelewa, pia wale pisi za kwenda sasa kama kina poshi haziwezi kuelewa mwanaume mwenye staha na maridadi.Kuna wanawake wameridhika na afu3 zao.
Wanaishi ndani ya bajeti… hao usitegemee kumfanya utakavyo eti kisa una M kadhaa kwa acc.
Na wapo wanaume ambao moyo ukimuelekea tu, hata free atapewa. Tena mapendo ya hapa yanakuwa mazuri haswa.
Tunapenda hela, ila hatuli za kila mtu. Mkibisha bisheni. Ila waulizeni mabro wenu, kama wanapataga kila wanachokitamani.