Mwanaume ukiwa na pesa wanawake wote ni single

Mwanaume ukiwa na pesa wanawake wote ni single

Nimepitia baadhi ya comment za kina dada nimebaki najiuliza kumbe kuna watu huwa hawajielewi wanataka nini
 
Kupenda pesa hakuna uhusiano wa kulala na kila boya like your.
Uhusiano upo haujataitiwa tu hujawahi kubanwa na mkojo/mavi ukiwa ndani ya chombo Cha usafiri yaan lazima uombe usaidiwe chombo kisimamishwe ili uvue nguo kisha alafu ujisaidie, ukitoka hapo mwepesiii hio ndio sawa na mwanamke mwenye uhitaji wa Pesa yupo tayari kuvua ili atatue matatizo yake kwani kuvua Mara 1/2 Kuna hasara gani wakati unaingiza Pesa ?

Nishashuhudia mwanamke yupo kwenye usafiri wa Noah kabanwa na haja ndogo akaomba isimamishwe ilivyosimama hakujali idadi ya watu au hata wapita njia alishuka akavua pembeni ya Noah akakojoa Mambo hadharani
 
Uhusiano upo haujataitiwa tu hujawahi kubanwa na mkojo/mavi ukiwa ndani ya chombo Cha usafiri yaan lazima uombe usaidiwe chombo kisimamishwe ili uvue nguo kisha alafu ujisaidie, ukitoka hapo mwepesiii hio ndio sawa na mwanamke mwenye uhitaji wa Pesa yupo tayari kuvua ili statue matatizo yake kwani kuvua Mara 1/2 Kuna hasara gani wakati unaingiza Pesa ?
Unatoa mifano isiyoendana na kinachojadiliwa hapa!! Pita vile bnaa achana na mimi.
 
Unatoa mifano isiyoendana na kinachojadiliwa hapa!! Pita vile bnaa achana na mimi.
Ninakupa mifano hai ili ujue kinachozungumziwa Kuna watu bila kupewa mifano hua hamuelewa kwanza twende PM tukakaguane km Mimi mwanaume au mwanamke ndio utaelewa vizuri maana hauelewi
 
Ninakupa mifano hai ili ujue kinachozungumziwa Kuna watu bila kupewa mifano hua hamuelewa kwanza twende PM tukakaguane km Mimi mwanaume au mwanamke ndio utaelewa vizuri maana hauelewi
Sasa hata jinsia yako huijui unataka ukaguliwe huoni ni tatizo hilo?
 
Hapa pana ukakasi kidogo. Sio kwamba wanawake ni very cheap kiasi kwamba wamkubali yeyote hata kama mchafumchafu kisa pesa. Wako very selective. Labda malaya wanaojiuza hao ndio wanakula kichwa chochote kinachokuja mbele yao ilimradi mkwanja upo. Ingawa na wao kuna sehemu hawaendi hata kama mpunga upo
Nakazia

Depal
 
Sasa hata jinsia yako huijui unataka ukaguliwe huoni ni tatizo hilo?
Wewe si umesema Mimi mwanamke ndio nataka uone km ukilala na mwanamke unapata ujauzito sawa tulale alafu baada ya hapo km hujapata mrejesho wowote ndani ya Mwezi hujapata kitumbo Niite mwanamke
 
Wewe si umesema Mimi mwanamke ndio nataka uone km ukilala na mwanamke unapata ujauzito sawa tulale alafu baada ya hapo km hujapata mrejesho wowote ndani ya Mwezi hujapata kitumbo Niite mwanamke
Eee bnaa usilazimishe mambo acha kuni Quote.
 
Kuna wanawake wameridhika na afu3 zao.
Wanaishi ndani ya bajeti… hao usitegemee kumfanya utakavyo eti kisa una M kadhaa kwa acc.

Na wapo wanaume ambao moyo ukimuelekea tu, hata free atapewa. Tena mapendo ya hapa yanakuwa mazuri haswa.


Tunapenda hela, ila hatuli za kila mtu. Mkibisha bisheni. Ila waulizeni mabro wenu, kama wanapataga kila wanachokitamani.
Natamani nimtag mtu hapa😂😂

Well said D, tatizo wanaume wengi wamekariri vibaya.
Wanakutana na wauzaji halafu wanaconclude kuwa kila mwanamke yupo hivyo.

Kuna wanaume wengi wameshaliwa nauli zao humu😅 wakapigwa block juu pamoja na hela zao na hata sura ya hiyo mbususu hawajaiona.

Pesa hamna mtu asiyezipenda, wao wenyewe wanazipenda sana tu.
 
Natamani nimtag mtu hapa😂😂

Well said D, tatizo wanaume wengi wamekariri vibaya.
Wanakutana na wauzaji halafu wanaconclude kuwa kila mwanamke yupo hivyo.

Kuna wanaume wengi wameshaliwa nauli zao humu😅 wakapigwa block juu pamoja na hela zao na hata sura ya hiyo mbususu hawajaiona.

Pesa hamna mtu asiyezipenda, wao wenyewe wanazipenda sana tu.
Wangi bado hawajakua,ngoja wakuekue kidogo watajitambua.
 
Uhusiano upo haujataitiwa tu hujawahi kubanwa na mkojo/mavi ukiwa ndani ya chombo Cha usafiri yaan lazima uombe usaidiwe chombo kisimamishwe ili uvue nguo kisha alafu ujisaidie, ukitoka hapo mwepesiii hio ndio sawa na mwanamke mwenye uhitaji wa Pesa yupo tayari kuvua ili atatue matatizo yake kwani kuvua Mara 1/2 Kuna hasara gani wakati unaingiza Pesa ?

Nishashuhudia mwanamke yupo kwenye usafiri wa Noah kabanwa na haja ndogo akaomba isimamishwe ilivyosimama hakujali idadi ya watu au hata wapita njia alishuka akavua pembeni ya Noah akakojoa Mambo hadharani
Wewe unaongelea muuzaji, jua kutofautisha.

Shida za hela ni kawaida sana na sijawahi kusikia mtu kafa sababu ya shida ya hela
 
sio pesa tu .ata kama unatembelea crown na umeazima kwa shaban
Hii umepigilia msumari. Mwanamke atatamba kwa wenzake mumewe ana gari wakati ni dereva wa lori la jeshi. Tena lori lenye mabaka mabaka.
 
Back
Top Bottom