Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
SecondedKuna mademu wengine ukiingia Kwa Gia ya pesa moja Kwa moja utachunwa Sana Mzee, uwe na Pesa Ila pia uwe na tactics....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SecondedKuna mademu wengine ukiingia Kwa Gia ya pesa moja Kwa moja utachunwa Sana Mzee, uwe na Pesa Ila pia uwe na tactics....
Kupenda pesa hakuna uhusiano wa kulala na kila boya like your.Hakuna mwanamke asiependa Pesa usijifanye kwanza ukikosa Pesa ya Taulo la kike tu kichwa kinakuuma hapo haujakosa Pesa ya kula
Shida mnajifanya mnawajua sana wanawake.Nimepitia baadhi comment za kina dada nimebaki najiuliza kumbe kuna watu huwa hawajielewi wanataka nini
Uhusiano upo haujataitiwa tu hujawahi kubanwa na mkojo/mavi ukiwa ndani ya chombo Cha usafiri yaan lazima uombe usaidiwe chombo kisimamishwe ili uvue nguo kisha alafu ujisaidie, ukitoka hapo mwepesiii hio ndio sawa na mwanamke mwenye uhitaji wa Pesa yupo tayari kuvua ili atatue matatizo yake kwani kuvua Mara 1/2 Kuna hasara gani wakati unaingiza Pesa ?Kupenda pesa hakuna uhusiano wa kulala na kila boya like your.
No comment.Shida mnajifanya mnawajua sana wanawake.
Unatoa mifano isiyoendana na kinachojadiliwa hapa!! Pita vile bnaa achana na mimi.Uhusiano upo haujataitiwa tu hujawahi kubanwa na mkojo/mavi ukiwa ndani ya chombo Cha usafiri yaan lazima uombe usaidiwe chombo kisimamishwe ili uvue nguo kisha alafu ujisaidie, ukitoka hapo mwepesiii hio ndio sawa na mwanamke mwenye uhitaji wa Pesa yupo tayari kuvua ili statue matatizo yake kwani kuvua Mara 1/2 Kuna hasara gani wakati unaingiza Pesa ?
Na iwe amen.No comment.
Ninakupa mifano hai ili ujue kinachozungumziwa Kuna watu bila kupewa mifano hua hamuelewa kwanza twende PM tukakaguane km Mimi mwanaume au mwanamke ndio utaelewa vizuri maana hauelewiUnatoa mifano isiyoendana na kinachojadiliwa hapa!! Pita vile bnaa achana na mimi.
Sasa hata jinsia yako huijui unataka ukaguliwe huoni ni tatizo hilo?Ninakupa mifano hai ili ujue kinachozungumziwa Kuna watu bila kupewa mifano hua hamuelewa kwanza twende PM tukakaguane km Mimi mwanaume au mwanamke ndio utaelewa vizuri maana hauelewi
NakaziaHapa pana ukakasi kidogo. Sio kwamba wanawake ni very cheap kiasi kwamba wamkubali yeyote hata kama mchafumchafu kisa pesa. Wako very selective. Labda malaya wanaojiuza hao ndio wanakula kichwa chochote kinachokuja mbele yao ilimradi mkwanja upo. Ingawa na wao kuna sehemu hawaendi hata kama mpunga upo
Wewe si umesema Mimi mwanamke ndio nataka uone km ukilala na mwanamke unapata ujauzito sawa tulale alafu baada ya hapo km hujapata mrejesho wowote ndani ya Mwezi hujapata kitumbo Niite mwanamkeSasa hata jinsia yako huijui unataka ukaguliwe huoni ni tatizo hilo?
NAKAZIA90% ya wanawake huwa wanakuwa single mwanaume akiwa na mtonyo.
Taarifa fupi ni hii.
Eee bnaa usilazimishe mambo acha kuni Quote.Wewe si umesema Mimi mwanamke ndio nataka uone km ukilala na mwanamke unapata ujauzito sawa tulale alafu baada ya hapo km hujapata mrejesho wowote ndani ya Mwezi hujapata kitumbo Niite mwanamke
Natamani nimtag mtu hapa😂😂Kuna wanawake wameridhika na afu3 zao.
Wanaishi ndani ya bajeti… hao usitegemee kumfanya utakavyo eti kisa una M kadhaa kwa acc.
Na wapo wanaume ambao moyo ukimuelekea tu, hata free atapewa. Tena mapendo ya hapa yanakuwa mazuri haswa.
Tunapenda hela, ila hatuli za kila mtu. Mkibisha bisheni. Ila waulizeni mabro wenu, kama wanapataga kila wanachokitamani.
Wangi bado hawajakua,ngoja wakuekue kidogo watajitambua.Natamani nimtag mtu hapa😂😂
Well said D, tatizo wanaume wengi wamekariri vibaya.
Wanakutana na wauzaji halafu wanaconclude kuwa kila mwanamke yupo hivyo.
Kuna wanaume wengi wameshaliwa nauli zao humu😅 wakapigwa block juu pamoja na hela zao na hata sura ya hiyo mbususu hawajaiona.
Pesa hamna mtu asiyezipenda, wao wenyewe wanazipenda sana tu.
Wewe unaongelea muuzaji, jua kutofautisha.Uhusiano upo haujataitiwa tu hujawahi kubanwa na mkojo/mavi ukiwa ndani ya chombo Cha usafiri yaan lazima uombe usaidiwe chombo kisimamishwe ili uvue nguo kisha alafu ujisaidie, ukitoka hapo mwepesiii hio ndio sawa na mwanamke mwenye uhitaji wa Pesa yupo tayari kuvua ili atatue matatizo yake kwani kuvua Mara 1/2 Kuna hasara gani wakati unaingiza Pesa ?
Nishashuhudia mwanamke yupo kwenye usafiri wa Noah kabanwa na haja ndogo akaomba isimamishwe ilivyosimama hakujali idadi ya watu au hata wapita njia alishuka akavua pembeni ya Noah akakojoa Mambo hadharani
Hii umepigilia msumari. Mwanamke atatamba kwa wenzake mumewe ana gari wakati ni dereva wa lori la jeshi. Tena lori lenye mabaka mabaka.sio pesa tu .ata kama unatembelea crown na umeazima kwa shaban
Hawajajua mambo yalivyoWangi bado hawajakua,ngoja wakuekue kidogo watajitambua.