Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Bar zipo daima na milele na tutakunywaaa tu ilimradi hela zipo.Zifutwe ili muende bar??
Nyie na hizo ndoa zenu mtajua wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bar zipo daima na milele na tutakunywaaa tu ilimradi hela zipo.Zifutwe ili muende bar??
MhhNdio kuiga wazungu,mambo ya rimjob
Na gono😂Wataumwa kipindupindu kikali...😁😁😁
Wasiopenda hawajui kuzitumia haya njoo nazo basi nizioneKwenye kikao cha juzi mmesema mnapenda shanga....tukazinunua...leo mnasema ni red flag...kuweni serious basi
Unajua Nini maana ya rimjob?
Gono la mdomo au !!!!,ptuuuuuu.Na gono😂
Hapana kwa kweli.. mi mshambaUnajua Nini maana ya rimjob?
Ndiooo…Gono la mdomo au !!!!,ptuuuuuu.
Kunyonywa JichoHapana kwa kweli.. mi mshamba
Red flagwhozaaaa
Ni kweli kabisa, ila kwa aina ya malezi yetu kibngo bongo ukichora tatoo wewe ni shindikanaa, umehasi malezi uliyopewa utotoni na wazazi wako.Tattoos? Kwel bongo nyoso😁
Kuna madem kibao hawana tattoos ila wanamaovu kibao kwny jamii,
Sema watanzania tuna ushamba wetu maana ukiona mtu anatattoo tayar tunamtizama kama mtu mwny maovu, kibaka,jambazi,muhuni,
Alf wakat huo huo tunasahau kama wabunge hawana tattoo na suti wanavaa kabisa
Lakin wana mambo meusi kinoma.
Yeah wewe ni malayaNina kipini na shanga kiunoni nnazo kwaiyo ndo nmeshindikana
DuuuuhYeah wewe ni malaya
Wenzio wamesema hawapendi...unawasaliti auWasiopenda hawajui kuzitumia haya njoo nazo basi nizione
Acha wao wasipende Wewe njoo nazo tushughulike mpaka zikatikeWenzio wamesema hawapendi...unawasaliti au