Mwanaume wa kiarabu mwenye silaha aua raia wawili wa Sweden mjini Brussels, Ubelgiji

Mwanaume wa kiarabu mwenye silaha aua raia wawili wa Sweden mjini Brussels, Ubelgiji

Ameua huku akisema Allah Akbar Allah Akbar huku akijigamba we Muslim we live and die defending our religion.
Nazani ni kutokana mambo ya mauzi yaliyofanyika huko Sweden kwa kuruhusu watu kunajisi holy book 📚 Quran kwa kuichoma

Sasa wafia dini na wenye misimamo mikali kama hawa na hasa wakimbizi wengi wanao kimbia toka ktk nchi za kiarab kama Iraq, Syria, Afghanistan nk


5D4DDBAC-FC7A-47AD-9E73-F63E356BBFD2.jpeg



E2A226C5-0005-476B-BF9E-58DE87F1BAA0.jpeg
 
Sasa kwanini akimbie,wafuasi wa alla ni changamoto.

Hii dini idhibitiwe ni kiwanda cha kutengeneza magaidi.
Nadhani ni hasira za kulipa kisasi cha yule Mwislamu wa Sweeden aliyechoma Kitabu cha Qurani.

Hapa ndio nabaki kushangaa.
Mwislamu anachoma Qurani, kisasi kinalipwa kwa wasiohusika.

Hii dini ifutwe tu la sivyo itasababisha madhila makubwa siku zijazo.
Popote penye wenye hii Dini lazima kutakuwa na mauaji ya kidini dhidi ya wasio husika na hiyo Dini.
 
Nadhani ni hasira za kulipa kisasi cha yule Mwislamu wa Sweeden aliyechoma Kitabu cha Qurani.

Hapa ndio nabaki kushangaa.
Mwislamu anachoma Qurani, kisasi kinalipwa kwa wasiohusika.

Hii dini ifutwe tu la sivyo itasababisha madhila makubwa siku zijazo.
Popote penye wenye hii Dini lazima kutakuwa na mauaji ya kidini dhidi ya wasio husika na hiyo Dini.
Mbona kule Marekani kila leo utasikia kafiri mmoja kaua kafiri wenzake kwenye mall fulani Uislam unahusika vipi hapo.
 
Mie ni mkatoliki,nimefundishwa kuheshimu dini za wengine,na hili linalofanyika Palestina,mie ninapinga kbs,halifai halifai na halikubaliki kbs, wapalestina wanafanyiwa undamaged na uhalifu mkubwa ambao binadamu hastahili kbs kufanyiwa.
hujui lolote wewe.
 
Unaambiwa Ulaya yote itakuja kuwa ya waislamu. Waulize Lebanon.
Sasa hivi wakristu wanaishi milimani tena wengi ni Mennonite na Orthodox ingawa Mennonite ni wengi. Walebanoni vijana wameikimbia nchi na wengi wanaishi ulaya, marekani na africa hasa west na central africa.
Hesbolah imetawala hasa south beirut na ndo wanashangilia kila siku. Waislam wameteka ukingo wa bahari kama alivyofanya Ottoman aliogopa kuwafata wakristu milimani waislam wanapenda kuishi mjini na tambarare hawapendi shida.
 
Mbona kule Marekani kila leo utasikia kafiri mmoja kafiri wenzake kwenye mall fulani Uislam unahusika vipi hapo.
India mnapigana na Wahindu na kuchinjana

Sudan, Somalia mnapigana wenyewe kwa wenyewe

Afrika ya Kati mnapigana na Wakristo. Mkijiita Seleka.

Nigeria mnaua wasio wa dini yenu kila kukicha.

China mnapigana na Wabudha

Tanzania mnalipua lipua ofisi za ubalozi na fujo za maeneo yenu ya Kibiti, Mkuranga, Rufiji, Tanga, Tindikali Zanzibar, kuchoma mabucha ya Nguruwe nk.

Kenya wanafunzi wa chuo cha Garisa waliambiwa wasome Surat Fatiha wakishindwa wanapigwa risasi.
Bila kuwa na hatia yoyote.

Irani mwanamke asipovaa Hijabu anauliwa.

Duniani kote mnajilipua mabomu na kuuwa watu
Nk.

Hivi mkitulia na kujitafakari hamuoni Kuna shida mahali kwenye hiyo Imani?

Au hamfanyagi tathmini yoyote kuhusu maisha ya Dini yenu?

Shida hasa ninini ?
Hebu tupe Somo Ustadh

Nipo nakusubiri.

Au hao wote ni Mazayuni ? Yaani Waisraeli...!
Au ndio kutimiza Aya,

"Asiyetaka Dini ya Kiislamu Haitakubalika Kwake"
 
Imerokea usiku huu huko Brussels. Mwanaume huyo wa kiarabu kaua raia wawili wa Sweden huku akiita Allah Akbar, Allah Akbar. Kakimbia anasakwa, habari zinakuja
"Akbar Alla, Akbar ..." kijana Kaisha jipatia mabikra 72 atakapokwenda peponi au nasema uongo FaizaFoxy
 
Imerokea usiku huu huko Brussels. Mwanaume huyo wa kiarabu kaua raia wawili wa Sweden huku akiita Allah Akbar, Allah Akbar. Kakimbia anasakwa, habari zinakuja
Andika kwa utaratibu, una haraka yanini? Hakuna jipya hapo.
 
Dini imehusikaje na Palestine?
Palestine imehusikaje na sisi?

Palestine imehusikaje na Sweden Hadi huyo mtu ameua watu hovyo?

Juzi tarehe 7, Alieanzisha Vita vya Gaza na kuteka wanawake na watoto wa Kiyahudi ni Nani? Ni Myahudi au Mpalestina?

Huwa sielewi uwezo wenu wa kufikiri unazuiliwa na nini? Mnakuwa kama watoto bhana?
Proffesional complainers
 
India mnapigana na Wahindu na kuchinjana

Sudan, Somalia mnapigana wenyewe kwa wenyewe

Afrika ya Kati mnapigana na Wakristo. Mkijiita Seleka.

Nigeria mnaua wasio wa dini yenu kila kukicha.

China mnapigana na Wabudha

Tanzania mnalipua lipua ofisi za ubalozi na fujo za maeneo yenu ya Kibiti, Mkuranga, Rufiji, Tanga, Tindikali Zanzibar, kuchoma mabucha ya Nguruwe nk.

Kenya wanafunzi wa chuo cha Garisa waliambiwa wasome Surat Fatiha wakishindwa wanapigwa risasi.
Bila kuwa na hatia yoyote.

Irani mwanamke asipovaa Hijabu anauliwa.

Duniani kote mnajilipua mabomu na kuuwa watu
Nk.
Hivi mkitulia na kujitafakari hamuoni Kuna shida mahali kwenye hiyo Imani?

Au hamfanyagi tathmini yoyote kuhusu maisha ya Dini yenu?
Shida hasa ninini ?
Hebu tupe Somo Ustadh

Nipo nakusubiri.

Au hao wote ni Mazayuni ? Yaani Waisraeli...!
Au ndio kutimiza Aya,

"Asiyetaka Dini ya Kiislamu Haitakubalika Kwake"
FaizaFoxy
 
Ni ngumu kutofautisha Ugaidi na hii dini, ni vitu viwili vinakwenda pamoja.
Kauli hizi huwa ndo zinazidisha chuki wa waislam.Ukituhumiwa mara nyingi kuwa unafanya hicho kitu na hukifanyi mwishowe unaona Bora nifanye kweli Sasa.
 
Kauli hizi huwa ndo zinazidisha chuki wa waislam.Ukituhumiwa mara nyingi kuwa unafanya hicho kitu na hukifanyi mwishowe unaona Bora nifanye kweli Sasa.
Kwahiyo huyo aliyefanya hi hivyo huku anahanikiza na maneno ya kuwa proud na alichokifanya ni mjinga?
 
Back
Top Bottom