2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,718
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naomba kupigia mstari bossHuwa naamini uislamu ni dini ya shetani.
Naomba kufahamishwa maana ya neno Kafiri.Mbona kule Marekani kila leo utasikia kafiri mmoja kaua kafiri wenzake kwenye mall fulani Uislam unahusika vipi hapo.
Hapa vipi napoNdio Hawaue wa swidi bila hatia?........hili dini la shetani lina maudhi sana..........
Hapa vipi napo
Hapana kijana dunia in watu wa aina nyingi na mihemuko tofauti marekani hadi leo wazungu tena polisi wanaua weusi makusudi kila siku , sema akifanya muarabu inakuwa amplified kutokana na mvutano baina ya mzungu na muarabu , mzungu anamdemonize muarabu makusudi ili apate sababu ya kudestabilize kila siku, haya makundi ya isis kayatengeneza na anayafadhili mwenyewe mzungu , wale waliokuwa wanampinga gadafi utajiuliza wametokea wapi na nani aliwapa silaha, congo utajiuliza hawa mgambo miaka yote hii nani anawapa silaha na kuwalip hadi wanalishinda jeshi la congo , dunia ni very complex unatakiwa ufikirie sana ndio utajua ukweliInasikitisha sana,the hate you create ndio matokeo yake haya.
Right of hot pursuit.Israel’s actions have gone beyond self defence