Mwanaume wenzangu hii imekaje?

Mwanaume wenzangu hii imekaje?

Na hizo ndio purukushani na raha za Pingu za Maisha,,,hakuna kutulia,,,,utulie umekuwa au amekuwa Stuli!!!
 
Vijana wa miaka ya 1950+ walikuwa wanafikia kwanza kwenye bao halafu anaitwa mtoto anatumwa apeleke mfuko wenye mazaga zaga nyumbani jamaa hapo atakaa karibia lisaa kisha ndo ataenda kwake.

N.b
Si kwamba anapenda sana bao la hasha
 
Vijana wa miaka ya 1950+ walikuwa wanafikia kwanza kwenye bao halafu anaitwa mtoto anatumwa apeleke mfuko wenye mazaga zaga nyumbani jamaa hapo atakaa karibia lisaa kisha ndo ataenda kwake.

N.b
Si kwamba anapenda sana bao la hasha
Sasa kuna magonjwa mkuu ,wengne tuna wivu sio kwa sababu tunawapenda sna , nikwa sababu tunapenda afya zetu .
 
Vijana wa miaka ya 1950+ walikuwa wanafikia kwanza kwenye bao halafu anaitwa mtoto anatumwa apeleke mfuko wenye mazaga zaga nyumbani jamaa hapo atakaa karibia lisaa kisha ndo ataenda kwake.

N.b
Si kwamba anapenda sana bao la hasha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom