Mwanaume wenzangu hii imekaje?

Mwanaume wenzangu hii imekaje?

Mkuu mimi sisapoti waliyokuwa wanafanya babu zetu ni ujinga wa hali ya juu yaani kwako mpaka utoe taarifa ?
Ujinga wao ndio ulisababisha ndoa zao zidumu na kutokuwepo na watoto wa mitaani wengi ingawaje walikuwepo lakini sio wengi kama sasa ambapo kila kukicha ndoa zinavunjika.
 
Ujinga wao ndio ulisababisha ndoa zao zidumu na kutokuwepo na watoto wa mitaani wengi ingawaje walikuwepo lakini sio wengi kama sasa ambapo kila kukicha ndoa zinavunjika.
Mkuu kiukweli mimi ni bora ndoa ivunjike kuliko kuiga mfumo wao immagine unakuta hapo mtaani mzee fulani ana mtoto kwenye familia ya fulani na wote wanajua ila unakuta wamesha solve chini kwa chini jamaa kapigwa fine na mtoto hupati analelewa katika familia ya Mume halali ila akikua sasa unaweza kumuona na akaamua yeye sasa .

Kwa sasa mioyo yetu imekuwa myepesi mnoo hakuna atakayeweza kuvumiliwa kuchapiwa eti akabaki kimya msolve kimya kimya au eti nikitaka kurudi kwangu nitoe taaarifa .
 
Inawezekana vp mimi nitoe taharifa za kurudi nyumbani kwagu!? Mbali na kutoa taharifa pia sina ratiba maalumu ya kurudi nyumbani kwangu na sio lazima huyo mwanamke afahamu hata kazi zangu, na hata akifahamu si lazima ajue nafanyaje kazi yenyewe, ina off au haina off haimuhusu, na wahi kutoka au nachelewa kutoka si jukumu lake, narudi au sirudi pia si swala la yeye kuliwaza, muhimu kila mtu azingatie majukumu yake na hamna mjadala[emoji276][emoji41]
 
Unanijua mm itakuwa unanisikia, yaani nianze kupiga simu mama Sasha nipo chalinze narudi kwakuwa namwogopa sana au
 
Mkuu kiukweli mimi ni bora ndoa ivunjike kuliko kuiga mfumo wao immagine unakuta hapo mtaani mzee fulani ana mtoto kwenye familia ya fulani na wote wanajua ila unakuta wamesha solve chini kwa chini jamaa kapigwa fine na mtoto hupati analelewa katika familia ya Mume halali ila akikua sasa unaweza kumuona na akaamua yeye sasa .

Kwa sasa mioyo yetu imekuwa myepesi mnoo hakuna atakayeweza kuvumiliwa kuchapiwa eti akabaki kimya msolve kimya kimya au eti nikitaka kurudi kwangu nitoe taaarifa .
Kwa sasa ni kweli watu hatuna uvumilivu waliokuwa nao wazee wetu wa zamani hilo silipingi
 
Back
Top Bottom