Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Habari za siasa hakuna muandishi wa kuchambua makala za siasa,technology. Ukisikiliza wanapojadili machafuko ya DRC unaona wamesoma mtandaoni na wanakosea mpaka kutafsiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii angle sijawahi ifikiria kabisa, usikute agenda za watu za social engineering zinaingizwa humo humo ; Moira it has become too muchHiyo yote inatokana na ushindani lakini pia Kuna jamaa wanaitwa Ipsosy Hawa wanatoa taarifa zao ndio hupelekea hizo redio kuigana na kuwa na vipindi km hivyo
Aache mambo ya kizee au mnasemaje vijana?Mwandishi wa habari mkongwe nchini Tanzania, Abdallah Majura amehoji kuhusu radio kuwa na vipindi vya michezo asubuhi na kujadili mambo ya Simba na Yanga.
“Tangu asubuhi watu wanatangaza michezo tu, lakini siamini kwamba Watanzania wote wanapenda michezo tu”
Nafikiri Majura atakuwa anawalenga, Crown FM, Wasafi FM, Clouds Fm na Efm
Mpira sio vitu vya maana ?Sure utazani wanajadili vitu vya maana
Ya kwamba michezo ni uhovyo?Tumekuwa wa hovyo sana.
Kwani mkuu kabla ya kushamili kwa vipindi vya michezo kwenye maredio nchi ilikuwa na maendeleo gani?Asubuhi mtu anaanza kusikiliza michezo ukianza na Wasafi, Crown, Clouds, EA Radio, Bongo FM, EFM vipindi vinaisha saa 6 mchana. Halafu hao EFM wanahamia kwenye TV yao sijui kuna yule Dada anaitwa Maongezi kipindi hadi saa 9 mchana. Then kuanzia saa 8 mchana zinaanza mechi za ligi kuu hadi 3 usiku. Baadae unakutana na ligi za Ulaya, EPL, La Liga, UCL, sijui Europa... aiseeh hili taifa sijui kama tutapata maendeleo maana vijana wengi wameangukia huko afu hapo jumlisha na kubeti sasa, bado hawajaanza kubishana kwenye vijiwe na mitandaoni, bado hawajacomment kwenye page za CAF hahahaaaa 😀 😀 😀, hatutoboi!!
Shida IPO Kwa wasikilizaji sio watangazajiBinafsi sijawahi kusikiliza hivyo vipindi kwa sababu mimi sio shabiki wa mpira wa bongo, ila sijaona tatizo mana ndio kazi yao inayowaweka mjini.
Kukaa siku nzima mnaitana Kolo, utopolo, dunduka au chura ni uhovyo tu.Ya kwamba michezo ni uhovyo?
Radio za kimkakati hizo kuwapumbaza wajinga wasiizungumzie SerikaliSiku hizi ni kutwa yote wanajadili michezo.
Yah watangazaji wapo kazini, ila wasikilizaji ambao wanashindwa kufanya kazi zao kisa kusikiliza hvy vipindi ndio wapumbavuShida IPO Kwa wasikilizaji sio watangazaji
Unaongelea wamachinga wa kariakoo wanaouza jezi kutokana China?Mpira sio vitu vya maana ?
Unajua ni maelfu ya watz wangapi wanajipatia kipato kutokana na huo mpira?
hii ni hoja mfu kabisa haina weledi ndani yakeNina maoni tofauti, Hizo redio zipo kibiashara zaidi kwa hiyo zinaangalia kwenye maslahi na wapi wanapata matangazo
Kama wewe hupendi kusikiliza michezo zipo redio asubuhi tu huzungumzia siasa,dini,kilimo nakadhalika
Kwa hiyo chaguo ni lako
UJAINGIZWA KWENYE MFUMO WA MLETA MADA,,,,UPO VIZURI🤝Nina maoni tofauti, Hizo redio zipo kibiashara zaidi kwa hiyo zinaangalia kwenye maslahi na wapi wanapata matangazo
Kama wewe hupendi kusikiliza michezo zipo redio asubuhi tu huzungumzia siasa,dini,kilimo nakadhalika
Kwa hiyo chaguo ni lako