Mwandishi wa habari wa Al Jazeera, Shireen Abu Akleh auawa akiwa katika majukumu yake ya kazi

Wa kuoana wanaume kwa wanaume wamefurahi kweli,

Yaani wanavyomkumbatia yahudi utadhani jamaa akiwainamisha anawasugua vizuri sanaaaaa,

Nyie endeleeni kuona tu wanaume kwa wanaume putin akifika ndio mutatia akili
 
Kuripoti watu wanarushiana mabomu siyo mchezo. R.I.P
 
lin umewai ona habari uwanja wa mtanange mbali na huko Ukraine ambapo baada ya mwandishi kufa , waandishi wamekoma kufanya hivyo
Mkuu ni jambo LA kawaida kwa waandishi kufanya live coverage popote pale. Unapohoji hivyo na kuwa na mashaka na umri wako lakini pia uelewa wa mambo.

Refer Taliban live footage
Refer al shabaab live footage
Pia waandishi wa habari hufanya mahojiano na magaidi,wauza madawa na kila aina ya MTU.

Usifikiri ni hawa waandishi wetu wanaopambana kuimba na kusifu wanasiasa.
 
Sijui hawa wa kufirana wamefurahi kwa kuwa huyu mama ni muislamu au ni mpalestina? Au kwa kuwa wauaji ni wale wanaomwita yesu mtoto wa zinaa?
Kweli hawa wanajitambua?
Au ndio mashetani wenyewe
 
Si walitaka Vita .....SASA huyu alipata nafasi baaadaya kushinda Vita.......
 
Kwahiyo mtu akija kwako wewe hapo akakwambia hilo eneo lako amepewa na Mungu wake kwa mujibu wa maandiko yake na mababu zake wamezikwa hapo, utaondoka umwachie? Na majirani zako watamuunga muunga mkono?
Hiyo ni kwa mujibu wa maandiko matakatifu.
 
Hiyo ni kwa mujibu wa maandiko matakatifu.
Matakatifu kwa mujibu wa nani? Maana unachokiona wewe kitakatifu mwingine anaweza kukiona sio kitakatifu. Mfano Wahindu, Mabudha, Waislamu, na madhehebu kibao yanayotofautiana kiimani. Kwahiyo na wew unaweza kukubali mtu akuondoe kwenye eneo kwa madai kwamba alipewa na Mungu wake akisimamia maandiko anayoyaamini yeye na kudai ni matakatifu?
 
Kuna mambo tunaona kama mazoea ila ukiangalia ni ajabu kidg
Unarusha vita live ili iweje sasa ni burudan hiyo watu kuangalia
 
una ushahidi mkuu?
 
Hizi ndudu haziwezi kujibu maswali kama haya, ukiwapiga quiz kama hizi wanabaki kuchachawa, ndio ujue wanaushabiki maandazi
Hilo eneo la Urusi alilopewa na mungu wenu alipokonywa lin ? mpk alipiganie ss hv
 
Hizo chuki zote za kidini wala hamna kingine,kila mtu anavutia kwake
waislamu tu , ila upande wa pili hautetei kwa misingi ya dini , ndio maana wapo wakristu wanasapoti Urusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…