Mwanume mwenye hizi sifa ndo anatafutwa kwa tochi hapatikani

Mwanume mwenye hizi sifa ndo anatafutwa kwa tochi hapatikani

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Wanawake haijalishi awe kicheche au awe wife materials Hawa wote jicho lao moyo na nafsi wanaomba kwa Mungu na Shetani ili wampate mwanume mwenye vigezo hivi

Mpole ambaye haongei Sana
Msafi wa Mwili roho na Matendo
Mwenye haiba ya uanaume (masculinite )


Mwenye Akili za kujiongoza yeye na kujua thamani yake Mbele ya jamii yake na Familia


Mtu akishakuwa na hizo sifa hawezi kukosa maokoto yakumtosha kuishi vizuri

Kwakuwa wanaume wa hivi wapo wachache Sana hivyo wanawake wamebaki na zile za sizitaki mbichi

Value Man and Good man are rare
 
Mwanaume uwe na uchumi usioyumba, ukiwa na biashara zinajiendesha wewe ni kuangalia salio siku inapoisha. Ikiwezekana wife/mchumba asifanye kazi yeye ni ku enjoy maisha tu. Ikibidi mnatumia muda mwingi kufanya utalii nchi tofauti. Hapo utampata mwanamke yeyote. Hata spika wa bunge anaweza kuacha kazi yake ilimradi aongozane na wewe. Wanawake wa Sasa hivi hawaangalii upole, utanashati n.k, wanaangalia msimamo wa kiuchumi wa mwanaume. Future imekaaje.. BASI.
 
Hawa viumbe wao wenyewe hawajui wanachotaka.

Mwanamke hana formula maalum juu ya nini hasa kinachomfanya ampende mwanaume.
Unaweza jipiga ukamfungulia duka na akaja kumpenda na kugongwa na mtu anaekuja kununua mkate wa 1700 kila siku kwenye hilo duka.

Kwa kifupi ukihisi umempata anaekupenda wewe enjoy hayo mapenzi kwa kadri utakavyoyapata ila kaa ukijua ni swala la muda yataisha tu.
Ogopa mtu anaenyoa nyusi zote halafu anachora mbadala kwa wanja.
 
Mwanaume uwe na uchumi usioyumba, ukiwa na biashara zinajiendesha wewe ni kuangalia salio siku inapoisha. Ikiwezekana wife/mchumba asifanye kazi yeye ni ku enjoy maisha tu. Ikibidi mnatumia muda mwingi kufanya utalii nchi tofauti. Hapo utampata mwanamke yeyote. Hata spika wa bunge anaweza kuacha kazi yake ilimradi aongozane na wewe. Wanawake wa Sasa hivi hawaangalii upole, utanashati n.k, wanaangalia msimamo wa kiuchumi wa mwanaume. Future imekaaje.. BASI.
sikupingi
 
Wanawake haijalishi awe kicheche au awe wife materials Hawa wote jicho lao moyo na nafsi wanaomba kwa Mungu na Shetani ili wampate mwanume mwenye vigezo hivi

Mpole ambaye haongei Sana
Msafi wa Mwili roho na Matendo
Mwenye haiba ya uanaume (masculinite )


Mwenye Akili za kujiongoza yeye na kujua thamani yake Mbele ya jamii yake na Familia


Mtu akishakuwa na hizo sifa hawezi kukosa maokoto yakumtosha kuishi vizuri

Kwakuwa wanaume wa hivi wapo wachache Sana hivyo wanawake wamebaki na zile za sizitaki mbichi

Value Man and Good man are rare

Tulibaki wachache sana dunia nzima tulikua wanne tu kama sikosei
 
Hawa viumbe wao wenyewe hawajui wanachotaka.

Mwanamke hana formula maalum juu ya nini hasa kinachomfanya ampende mwanaume.
Unaweza jipiga ukamfungulia duka na akaja kumpenda na kugongwa na mtu anaekuja kununua mkate wa 1700 kila siku kwenye hilo duka.

Kwa kifupi ukihisi umempata anaekupenda wewe enjoy hayo mapenzi kwa kadri utakavyoyapata ila kaa ukijua ni swala la muda yataisha tu.
Ogopa mtu anaenyoa nyusi zote halafu anachora mbadala kwa wanja.
Uzi ulifaa uishie hapa Umemaliza kila kitu
 
Wanawake wanapenda Mwanume Intelligent mwenye AKILI (Acha hizi za Akili za shule).

Wanapenda Mwanaume anayenukia na kuvaa vizuri.

Wanapenda Good Game.

Kitu ambacho hawasemi mara nyingi wanapenda MWANAUME mwenye DRAMA.

DRAMA zipi.
Talkative kiasi.. haishiwi stories.
Mbunifu kitandani.
Mchokozi.. (Unpredictable) siku moja moja unakuwa rude yaani hupatikan kwa simu au hupokei calls.. hii inawapa sleepless nights. Na wanapenda sometimes kuwa stimulated.. kuchangamshwa..

Wanapenda mtu wa kuwapa maelekezo.

Swala la hela sidhani.

Ndio maana kuna Wanawake wanatoa wao PESA kulinda MWANAUME asiondoke maishani mwao.

Mwanaume kuwa na hela za kawaida tu na kazi ya kawaida. Utakula yeyote unayemtaka unless asiwe MFANYABIASHARA.
 
Back
Top Bottom