mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
kwahiyo niache kutafuta 6 pack na hiki kitambi changu cha kichagaHaha
Vijana na nyash
I seee,, nyash is nyashing..
kuna mdada atanipenda kweli?😢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo niache kutafuta 6 pack na hiki kitambi changu cha kichagaHaha
Vijana na nyash
I seee,, nyash is nyashing..
KAMA UPO DAR SEMA NIKUTUMIE GUNIA LA SAMAKI SATO KUTOKA MWANZA ,..,...,.,,.,,.AKILI NYINGI SANA UNAZOOWanawake wanapenda Mwanume Intelligent mwenye AKILI (Acha hizi za Akili za shule).
Wanapenda Mwanaume anayenukia na kuvaa vizuri.
Wanapenda Good Game.
Kitu ambacho hawasemi mara nyingi wanapenda MWANAUME mwenye DRAMA.
DRAMA zipi.
Talkative kiasi.. haishiwi stories.
Mbunifu kitandani.
Mchokozi.. (Unpredictable) siku moja moja unakuwa rude yaani hupatikan kwa simu au hupokei calls.. hii inawapa sleepless nights. Na wanapenda sometimes kuwa stimulated.. kuchangamshwa..
Wanapenda mtu wa kuwapa maelekezo.
Swala la hela sidhani.
Ndio maana kuna Wanawake wanatoa wao PESA kulinda MWANAUME asiondoke maishani mwao.
Mwanaume kuwa na hela za kawaida tu na kazi ya kawaida. Utakula yeyote unayemtaka unless asiwe MFANYABIASHARA.
😂😂😂 mambo apendazo totoo Leejay49Mchokozi.. (Unpredictable) siku moja moja unakuwa rude yaani hupatikan kwa simu au hupokei calls.. hii inawapa sleepless nights. Na wanapenda sometimes kuwa stimulated.. kuchangamshwa
Yeah vijana wananunua Uturi wa buku 3.. unakuta mtu ananuka shida/umaskini.Muhimu muhimuuu
Mbona wauza uturi wa kupima wapo wengi
Wabheja... sana.KAMA UPO DAR SEMA NIKUTUMIE GUNIA LA SAMAKI SATO KUTOKA MWANZA ,..,...,.,,.,,.AKILI NYINGI SANA UNAZOO
Ewaaa... hutakiw Mwanaume kumpiga Mwanamke. Ila tu kuna namna ya kumpa Amri na Maelekezo solid. Na kuwa na msimamo wa itikadi.
Hapa ndo penyewe SasaWanawake wanapenda Mwanume Intelligent mwenye AKILI (Acha hizi za Akili za shule).
Wanapenda Mwanaume anayenukia na kuvaa vizuri.
Wanapenda Good Game.
Kitu ambacho hawasemi mara nyingi wanapenda MWANAUME mwenye DRAMA.
DRAMA zipi.
Talkative kiasi.. haishiwi stories.
Mbunifu kitandani.
Mchokozi.. (Unpredictable) siku moja moja unakuwa rude yaani hupatikan kwa simu au hupokei calls.. hii inawapa sleepless nights. Na wanapenda sometimes kuwa stimulated.. kuchangamshwa..
Wanapenda mtu wa kuwapa maelekezo.
Swala la hela sidhani.
Ndio maana kuna Wanawake wanatoa wao PESA kulinda MWANAUME asiondoke maishani mwao.
Mwanaume kuwa na hela za kawaida tu na kazi ya kawaida. Utakula yeyote unayemtaka unless asiwe MFANYABIASHARA.
Unapatikana wapi kiongozi 😎Wanawake wanapenda Mwanume Intelligent mwenye AKILI (Acha hizi za Akili za shule).
Wanapenda Mwanaume anayenukia na kuvaa vizuri.
Wanapenda Good Game.
Kitu ambacho hawasemi mara nyingi wanapenda MWANAUME mwenye DRAMA.
DRAMA zipi.
Talkative kiasi.. haishiwi stories.
Mbunifu kitandani.
Mchokozi.. (Unpredictable) siku moja moja unakuwa rude yaani hupatikan kwa simu au hupokei calls.. hii inawapa sleepless nights. Na wanapenda sometimes kuwa stimulated.. kuchangamshwa..
Wanapenda mtu wa kuwapa maelekezo.
Swala la hela sidhani.
Ndio maana kuna Wanawake wanatoa wao PESA kulinda MWANAUME asiondoke maishani mwao.
Mwanaume kuwa na hela za kawaida tu na kazi ya kawaida. Utakula yeyote unayemtaka unless asiwe MFANYABIASHARA.
Yeah😋😋😉... sijui anapatikana wapi huyu kijana🤣🤣🤭
Uzi ufungwe 👏👏Ewaaa... hutakiw Mwanaume kumpiga Mwanamke. Ila tu kuna namna ya kumpa Amri na Maelekezo solid. Na kuwa na msimamo wa itikadi.
Wanawake mnapenda haya mambo.
HahahahahahaHawa viumbe wao wenyewe hawajui wanachotaka.
Mwanamke hana formula maalum juu ya nini hasa kinachomfanya ampende mwanaume.
Unaweza jipiga ukamfungulia duka na akaja kumpenda na kugongwa na mtu anaekuja kununua mkate wa 1700 kila siku kwenye hilo duka.
Kwa kifupi ukihisi umempata anaekupenda wewe enjoy hayo mapenzi kwa kadri utakavyoyapata ila kaa ukijua ni swala la muda yataisha tu.
Ogopa mtu anaenyoa nyusi zote halafu anachora mbadala kwa wanja.
Tayariiii 😂😂💦💦Unapatikana wapi kiongozi 😎
Tulia wewe 🤨🤨🤭😂😂😂😂😂🙌Tayariiii 😂😂💦💦
Nani alikuambia wanawake wanajua wanachotakaWanawake haijalishi awe kicheche au awe wife materials Hawa wote jicho lao moyo na nafsi wanaomba kwa Mungu na Shetani ili wampate mwanume mwenye vigezo hivi
Mpole ambaye haongei Sana
Msafi wa Mwili roho na Matendo
Mwenye haiba ya uanaume (masculinite )
Mwenye Akili za kujiongoza yeye na kujua thamani yake Mbele ya jamii yake na Familia
Mtu akishakuwa na hizo sifa hawezi kukosa maokoto yakumtosha kuishi vizuri
Kwakuwa wanaume wa hivi wapo wachache Sana hivyo wanawake wamebaki na zile za sizitaki mbichi
Value Man and Good man are rare
Sifa zote hapa anazo yule mjinga wangu, ila ndio nampendaaaaa.Wanawake wanapenda Mwanume Intelligent mwenye AKILI (Acha hizi za Akili za shule).
Wanapenda Mwanaume anayenukia na kuvaa vizuri.
Wanapenda Good Game.
Kitu ambacho hawasemi mara nyingi wanapenda MWANAUME mwenye DRAMA.
DRAMA zipi.
Talkative kiasi.. haishiwi stories.
Mbunifu kitandani.
Mchokozi.. (Unpredictable) siku moja moja unakuwa rude yaani hupatikan kwa simu au hupokei calls.. hii inawapa sleepless nights. Na wanapenda sometimes kuwa stimulated.. kuchangamshwa..
Wanapenda mtu wa kuwapa maelekezo.
Swala la hela sidhani.
Ndio maana kuna Wanawake wanatoa wao PESA kulinda MWANAUME asiondoke maishani mwao.
Mwanaume kuwa na hela za kawaida tu na kazi ya kawaida. Utakula yeyote unayemtaka unless asiwe MFANYABIASHARA.
Ahahahahaaaa eti mjinga,Sifa zote hapa anazo yule mjinga wangu, ila ndio nampendaaaaa.
Juzi tu hapo katoka kunifanyia drama nimepata sleepless nights, ajabu nazidi tu kumpenda!
Mjinga flani hivi ila ndio nampenda sihemi!Ahahahahaaaa eti mjinga,
UKOME kwa kufanyiziwa