Mwanume mwenye hizi sifa ndo anatafutwa kwa tochi hapatikani

KAMA UPO DAR SEMA NIKUTUMIE GUNIA LA SAMAKI SATO KUTOKA MWANZA ,..,...,.,,.,,.AKILI NYINGI SANA UNAZOO
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mambo apendazo totoo Leejay49
Mara kakatazwa kwenda mjini
Mara kakaguliwa simu
Ewaaa... hutakiw Mwanaume kumpiga Mwanamke. Ila tu kuna namna ya kumpa Amri na Maelekezo solid. Na kuwa na msimamo wa itikadi.

Wanawake mnapenda haya mambo.
 
Hapa ndo penyewe Sasa
 
Toka Dunia iumbwe wanawake hawajawahi kueleweka hata kidogo.

Wanaume went pesa zao bado wanagongewa wake zao na watu wa kawaida tu.
 
Unapatikana wapi kiongozi 😎
 
Hahahahahaha
 
Nani alikuambia wanawake wanajua wanachotaka
 
Ivi uyo mtu perfect ni yupi? naamini haijawahi kuwepo nawala mungu hawezi umba kitu cha namna hiyo atakuwa mtu au AI
 
Sifa zote hapa anazo yule mjinga wangu, ila ndio nampendaaaaa.
Juzi tu hapo katoka kunifanyia drama nimepata sleepless nights, ajabu nazidi tu kumpenda!
 
Sifa zote hapa anazo yule mjinga wangu, ila ndio nampendaaaaa.
Juzi tu hapo katoka kunifanyia drama nimepata sleepless nights, ajabu nazidi tu kumpenda!
Ahahahahaaaa eti mjinga,
UKOME kwa kufanyiziwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…