Mwanume mwenye hizi sifa ndo anatafutwa kwa tochi hapatikani

Ok
 
Unajidanganya kijana.
 
Chai
 
Hapa umemaliza kila kitu [emoji122][emoji122]
 
Yaani ukitaka ufeli katika maisha utake kumridhisha mwanamke.. ndugu yangu utaishia pabaya yaan inabidi uwe nusunusu tu yaani hata ye mwenyew asiweze kukutafsiri Kama unampenda au laa hapo utaishi nae kwa miaka mingi na utamwendesha unavotaka ww ila ukijifanya kumridhisha ujitutumue, ubembeleze nyokooo utaenda na maji
 
B… kwani kuna mtoto wa watu ulimletea drama ukamfanya akeshe? Lol
Ilitokea kwa bahati mbaya tu bila hata kutarajia nashtukia mtoto wa watu analalamika nimefanya akeshe siku mbili, wala sikuwa na habari.

Iliniuma mno kusikia hivyo kwa jinsi ninavyompenda. Nilivyo nikiona hata picha ya mkono wake tu, moyo wangu unafurahi, halafu ndiyo nimfanyie hivyo kusudi?

Ova
 
Wewe umepiga Kwenye mshono.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…