Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji kodi

Hili lina mkono wa DiPiWeldi....

Mark my words...
 
Hata Bar wamewekeza wageni? Hii ni nchi au jalala?

Labda iwe kama sijakuelewa, maana uandishi wako ni wa shida kidogo. Unazunguka zunguka na jambo lililo rahisi kueleza, sijui kwa sababu zipi!
 
OKOA BANDARI DPWORLD
Dah!

Kumbe?

Sasa watu humu wanazungukazunguka na visababu, kumbe sababu yenyewe ipo wazi hapa!

Sasa sijui CHADEMA hili limewaingia vipi, maanake ni wahusika wakubwa wa mkasa huu.

Kunyamazia tu haitoshi. Haya ni baadhi ya mambo yasiyofaa kabisa kutokea ndani ya nchi.
 
Mkurugenzi wa Ilemela amejitoa kafara kwa kukiuka maelekezo ya Rais kwamba biashara zisifungwe; huyu mkurugenzi ni moja ya watu wanaoishi katika utawala uliopita. Kukiuka kauli ya mwenye nchi ni dharau na natabiri soon anatumbuliwa.
Huyu Mama sio tumbua tumbua ovyo!, utasubiri sana!. Sasa tuko kwenye era ya reasoning and logic!
P
 
Huyo mwenye hiyo bar hana akili au anajuwa anachokifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…