Mwanza hapajabadilika kwa miaka 13, bado nyumba zinachungulia kutoka milimani

Mwanza hapajabadilika kwa miaka 13, bado nyumba zinachungulia kutoka milimani

Na kwa habar za ndani zaidi uchumi wa mwanza umeporomoka sana tangu mwenda zake afukiwe! Yaani hakuna mzunguko wwt wa pesa kwa muda wa 2years now ni kama dead city now
Utaonaje mzunguko wa pesa na wewe biashara yako kuu ni ya kuuza matobolwa na bahati mbaya sana kwa Mwanza matobolwa kila mtu ana stock ya kutosha nyumbani kwake.Fanya biashara ya kueleweka uone kama hakuna mzunguko wa pesa
 
Mkuu mzee alisaidia sana mzunguko na uchumi wa mwanza kuwa juu haswa kwa miradi yake, kwa kipindi cha miaka 6 mwanza iliinuka sana kiuchumi haswa mzunguko wa fedha, mirad mikubwa ilifanyikia kanda hii na pembezon mwa ziwa so matumiz yalikuwa mwanza kwa ukanda wote so nachokiandika nimekiona na nimekiishi so acha kutukana watu, binafsi na declaire interest kwamba mzee alisaidia uchum wangu kukua mara dufu… now mwnz n kama dead city mzunguko uko chini sana
Kama miradi gani hiyo mikubwa ambayo haifanyiki Sasa hivi 😁😁😁😁
Nitajie hapa hiyo miradi mikubwa Ili twende sawa
 
Mkuu mzee alisaidia sana mzunguko na uchumi wa mwanza kuwa juu haswa kwa miradi yake, kwa kipindi cha miaka 6 mwanza iliinuka sana kiuchumi haswa mzunguko wa fedha, mirad mikubwa ilifanyikia kanda hii na pembezon mwa ziwa so matumiz yalikuwa mwanza kwa ukanda wote so nachokiandika nimekiona na nimekiishi so acha kutukana watu, binafsi na declaire interest kwamba mzee alisaidia uchum wangu kukua mara dufu… now mwnz n kama dead city mzunguko uko chini sana
UONGO MTUPU,HAYA NI MAWAZO YAKO MFU
 
Nyumba za milimani haziwezi kubadilika labda mpaka huo mradi wa wawekezaji wa Brazil ufike. Pia maeneo uliyoyataja yote ni makazi ya zamani hatutegemei yabadilike maana wamiliki ni either wastaafu au marehemu.
Ukitaka kuona mabadiliko mkoa wa Mwanza nenda mji unako expand kama Ilemela wilayani, Ilemela ya Malaika, Kiseke , Buhongwa majengo mapya, usagara, Fela, nk. Kiukweli Mwanza imeendelea sana hasa kipindi cha mwendazake. Imeipita mikoa mingine mingi tu
Si mliwakataa wawekezaji nyie?
 
Mwaka 2010 nilikaa mwanza kwa mwezi mmoja nikifanya kazi pale TPA. Niliwahi kuja mara kadhaa kwenye mikutano ya siku moja moja hivyo sikuwa nazunguka sana.

Sasa nimeingia jana napita mjini pako vilevile, nyakato, miti mirefu, nyegezi, kirumba, capripoint, airport hamna chochote kipya. Gold crest ipo vilevile.

Ina maana miaka yote hii hakuna maendeleo yoyote mji huu? Rock city mall ipo kama vi-mall vya kawaida kule nyerere road Dar es Salaam.

Nyumba bado zinachungulia milimani kusikokuwa na miundombinu ya barabara.

View attachment 2795776
2010 mpaka leo mza haijabadirika? una chuki binafsi.. the cask ilikuwepo?
 
Mfn soko kuu la mwanza rwagasole limesimama na njia kuu imefungwa ikapelekea masoko na maduka kugawanywa na pasionekane sehem ya biashara na soko limekuwa kiungo muhimu kwa watu wa mwanza kwa wafanyabiashara lkn mpaka sasa hv hali n tete na ujenzi wake uko slow sana
Ujenzi wa soko ndio unaleta pesa Mwanza? Mwanza mtaendelea kupauka hivyo hivyo
 
Sema umefika kwenu bado hovyo peleka hela pakajengwe kumbuka kuna stendi mbili kali mpya za juzi kati tu hapa ,kuna daraja kubwa linaleta madhari nzuri inaleta picha fulani ya mji kuwa safi.

Zile vipanya buku ndio kila kona vipo isipokuwa Dar tu.
 
Mkuu mzee alisaidia sana mzunguko na uchumi wa mwanza kuwa juu haswa kwa miradi yake, kwa kipindi cha miaka 6 mwanza iliinuka sana kiuchumi haswa mzunguko wa fedha, mirad mikubwa ilifanyikia kanda hii na pembezon mwa ziwa so matumiz yalikuwa mwanza kwa ukanda wote so nachokiandika nimekiona na nimekiishi so acha kutukana watu, binafsi na declaire interest kwamba mzee alisaidia uchum wangu kukua mara dufu… now mwnz n kama dead city mzunguko uko chini sana
Haka kajamaa kanajiona kana akili Sana kumbe zombi , alikuwa na sababu gani ya kukuita mjinga.
 
Back
Top Bottom