ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Usituchishe bwana,Mwanza ni Mji wa hovyo Kila mtu akienda huko lazima assume,why not Miji mingine? ๐คฃ๐Kwa mujibu wa watu wa uswekeni right ๐ nenda na Google ukabadilishe ety Arusha, Dodoma man be serious bas ๐
Natamani ingekuwa tuna majiji matatu nchi hii ambayo ndio atleast
Dar es Salaam
Mwanza
Arusha
Hao wengine warudishwe huko nyuma.
Mwanza ni Jiji linalondwa na Manispaa 2 ,Arusha 1 Dodoma 1.
That's means kama Shinyanga ingekuwa Karibu na Kahama leo hii ingekuwa ni Jiji la 3 kuzd hzo Arusha na Dodoma sababu Shy iko na Manispaa ya Shy na Kahama.
So ashamed with yuh mzee๐ ๐
RockCity iheshimiwe aseeh ๐คฉ๐
Ttzo linaanza Mwanza imezd miji yao halafu inaendelea licha ya kususiwa na gvt, ni wivu na chuki juu ya RockCity mzee.wasengre nyie Tanzania kunasehemu ipi imepangika?
Hakuna wa kujibu ukweliNasubiri wakujbu mkuu.
Sababu kubwa ni Jiji la pili mzee ๐ ๐ halafu ni Jiji linalotembelewa na wengi hvo lazima tu lizungumziwe, the Geography of Mwanza also wengi hawajawahi kuiona tangu wamezaliwa ๐ sasa mtu ataleta thread ya Tanga ,Mbeya au Arusha wakt hamna watu wa kwenda huko.Usituchishe bwana,Mwanza ni Mji wa hovyo Kila mtu akienda huko lazima assume,why not Miji mingine? ๐คฃ๐
Serikali yenyewe wanaishi kwa mikopo wataweza kuwalipa wakazi wote wanaoishj milimani?Sijui Mwanza City master plan 2015-2035 iliishia wapi....?
Mito ya Msuka na Mirongo iboreshwe ili kupunguza mafuriko na kuvutia Jiji kama ulivyo kwa Mto Msimbazi Dar,lakini baadhi ya maeneo yenye vilima wananchi wapewe fidia ili kupisha uwekezaji wa kulipendezesha Jiji la Mwanza/Ilemela Municipal.
Mwanza kuzuri especially hali ya hewa. Huko milimani ni hela tu! Panaweza kujengeka vizuri tu kama Capri point kukawa na mitaa iliyopangika vizuri na barabara nzuriDah kwa kweli watu tunapishana sana inamaana mm kupambana kote nitoke Dodoma niende Mwanza kuna watu wanapazimia Dodoma, I was in Mwanza two Months ago nikiri tu miundombinu hasa ya barabara za mitaa ni duni na zile nyumba za mabatin juu ya mawe ni mbovu haswa, Na ttzo ktk hilo ni hayo mawe juu ni ngumu kujenga nyumba kubwa ilhali mawe yamebana.
Miji mingo mnapenda kulinganisha na ile Mwanza sjui why, npo Makulu na ninachukia kuwa hapa sana.
Exactly...kwa East Africa hakuna Jiji lililopangiliwa mipangomiji na miundombinu kama DomDOM ni Best City in Tz kataeni mkubali japo ukwel unauma, kwa jiji lenye Hadhi ya Dodoma kwa Tz kwa sasa hamna. Na halitakaa litokee
cc Mikdde KitombileHabari wakuu,
Katika Pitapita zangu Juzi nilibahatika kupita Jiji la Mwanza baada ya miaka mingi kupita, Ni wazi kwamba niliwahi kuishi Mwanza miaka kadhaa nyumba baada ya kutoka mkoani, Kusema kwel kwa Umri ule na kipindi kile kwa kuwa nilikuwa sielewi lolote kuhusu Jiji nilitokea kupapenda sana,
Kwa kuwa ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kushuhudia Eneo lenye mpangilio wa makazi ya karibukaribu na changanyikeni ya watu nilipenda sana na niliamini Mjini kunapaswa kuwa namuonekano ule.
Ila baada ya kukaa na kubahatika kwenda Majiji mbalimbali ya Tanzania na baadae Kutia Nanga Dodoma na kuwa mkazi wa kudumu wa Jiji la Dodoma na kuzoea maandhari ya makazi ya watu na jinsi Jiji lilivyopangika,
Hakika jana baada ya kubahatika kupita Mwanza nilibaki kinywa wazi baada ya kuona majengo ya hovyo na vinyumba vya kizaman vilivyojengwa bila mpangilio maalumu kuonekana Maeneo ya Mjini kati tena makazi ya watu Duni na vinyumba vya hovyo sana.
Nilipita njia ya Kutoka Nyamongoro Stand mpya Mabus hadi Nyegezi Stend kuu ya mabasi Hakika mitaa niliyopita kwenye Gari ilikuwa inatisha kwa mwonekano, kuanzia Igoma, Nyakato, Buzuruga, Mabatini, Nata, Nyakabungo, Sahara, had Nyegezi ni vijumba vya hovyo sana vilivyoegeshwa pembeni ya mawe na kuezekwa kwa Bati kuukuu na Mawe Juu,
Hamna hata barabara za mitaa za kueleweka, na hakuna hata mpangilio wa makazi vinyumba vimekaa kutazama jirani anamwangalia Mwingine na choo cha jirani kipo mlangoni mwa Jrani kuna watu wanaishi Juu ya milima kiasi kwamba hata wamiliki wa maeneo yale hawana accessories ya kumiliki usafiri, Maana hawana njia za kupita,
Majengo ya kizaman yenye Bati za kizamani zilizojaa kutu na Kupambwa na vivyesi vya ndege, Aslimia kubwa ya Eneo ni majarubani wakazi na watu wote wanaokalia jiji wanaonekana ni watu hawana Nuru nyusoni mwao, Wanaonekana ni watu wenye maskitiko mda wote, asilimia kubwa ya Vijana wadogo wanaonekana ni watumiaji wa Mihadarati usela mavi na Usela Nya.
Kusema kweli nipongeze sana Dodoma ni Moja kati ya Majiji Bora yenye mpangilio wa mzuri wa makazi ya watu na hadhi ya kukalika na watu Kuanzia Mtumba, Ihumwa, Nzuguni, Swaswa, Kisasa, Meliwa, Ipagara, Area C, Area A, AreaD, Makulu, Ostabey, Mkalama, Mkonze, Ntuka, Nkuhungu, Mnada mpya hadi Nala, Dodoma haichoshi hata mgeni akizungushwa jiji halimchoshi anataman kuendelea kutaliii,
Changamoto Dodoma hakuna Refreshing Area za Maana kama Mwanza, ila katika upande wa Makazi Dodoma is the Best.
Mbona capri point ni milimani na kuna miamba kama yote lakini pamejengeka vizuri tu! Mi naona ni suala la serikali kuamua na kushirikisha wadau ...hapo mabatini panaweza kuwa pa kishua balaa kama serikali ikiamuaHuwa si reply coment za vilaza kama nyie lakini ngoja nikujibu, unaijua geographical location ya hayo maeneo? Sehemu kubwa ya jiji la Mwanza ni miamba pia ni milima unataka huko wajengo ma bangalow kwwnye mstari ulionyooka, au mpangilio wa mji nini? Ulishaona miji kama Busan, miji y scandinavia ilivyo n.k
Kwa Tanzania hii narudia tena hakuna mkoa au mji wenye mansions za kutisha kama Mwanza.
Unakaa tarafa ipi kwenye hicho kijiji kikubwaSasa ninyi mwatoka kijiji kdg mtaelewa nn kwenye kijiji kikubwa, jengeni vijiji venues na nyie viwe vikubwa alaaaah ๐
Huyo atakua mgeni wa Jiji la Dodoma....Makulu ni mojawapo ya mitaa michache Dom ambayo inapata maji karibia kila siku kutokana na ukaribu wa tanki la kusambazia maji lililopo pale juu mlimani karibu na eneo la kambi ndogo ya Jeshi.Pole sana Mkuu I feel your pain ni kitu gani kinakufanya unaichukia Makulu ili Mamlaka inapita hapa ikusaidie kufanya maboresho ya hapo Makulu, hakuna Maji?
Kwa hio kumbe Maji yapo Ila anasema ya kuotea yaan sio ya uhakika ni yanatoka saa 1 au Nusu saa yanakata ni ujanja kuwahi ukiwa mbali na bomba umekula kwakoHuyo atakua mgeni wa Jiji la Dodoma....Makulu ni mojawapo ya mitaa michache Dom ambayo inapata maji karibia kila siku kutokana na ukaribu wa tanki la kusambazia maji lililopo pale juu mlimani karibu na eneo la kambi ndogo ya Jeshi.
Kiufupi Dodoma hakuna "shida" ya maji ila kuna "mgao" wa maji kuna mitaa maji yanatoka marambili kwa wiki ,mingine mara tatu kwa wiki,mingine maranne kwa wiki n.k. Tanzania hii hakuna mji wowote ambao maji yanatoka 24/7 mwakamzima๐๐. Mwanza penyewe licha ya kuzungukwa na Ziwa Victoria bado kuna changamoto ya majiKwa hio kumbe Maji yapo Ila anasema ya kuotea yaan sio ya uhakika ni yanatoka saa 1 au Nusu saa yanakata ni ujanja kuwahi ukiwa mbali na bomba umekula kwako
Hapo umesema kweli Mkuu kwa hio unataka kusema Makulu maji yanatoka mara ngapi kwa Wiki?Kiufupi Dodoma hakuna "shida" ya maji ila kuna "mgao" wa maji kuna mitaa maji yanatoka marambili kwa wiki ,mingine mara tatu kwa wiki,mingine maranne kwa wiki n.k. Tanzania hii hakuna mji wowote ambao maji yanatoka 24/7 mwakamzima๐๐. Mwanza penyewe licha ya kuzungukwa na Ziwa Victoria bado kuna changamoto ya maji
Dom ndio Jiji lenye mtandao mpana wa barabara za lami hapa Tanzania....ukiingia city center barabara za vumbi ni za kuhesabu kamwe usilinganishe na Mwanza aisee kwenye upande wa barabara za lami Dom wanapendelewa sana just imagine barabara ya Ring Road zaidi ya kilometer 100 zinajengwa .Man it's totally a mess to be here kuanzia maji ni tatzo ,vumbi la kwenda hadi inalazimu mtu uwe na glass kwa macho sasa, nashangaa kumbe kuna watu wanafurahia haya mazingira oiiih eeeh
Eneo la Makulu/Mkalama maji yanatoka almost kila siku kwasababu kijiografia lipo mlimani karibu na tanki kubwa la kusambazia maji.Yaani pamoja na kuwa Makulu/Mkalama ni kama uswahilini lakini wanapata maji maranyingi kwa wiki kuzidi hata mitaa ya kishua pale Dom kwamfano Ilazo,Kisasa,Uzunguni,Area E,Area D,Magereza,Miyuji Proper n.kHapo umesema kweli Mkuu kwa hio unataka kusema Makulu maji yanatoka mara ngapi kwa Wiki?
Hapo sasa naanza kuelewa kwa hio maji wanapata Ila sio kwamba maji mfululizo Ila wanapata kwa kiasi fulani tu kwa siku Mkuu si ndio hivyo au nimeelewa vibaya?Eneo la Makulu/Mkalama maji yanatoka almost kila siku kwasababu kijiografia lipo mlimani karibu na tanki kubwa la kusambazia maji.Yaani pamoja na kuwa Makulu/Mkalama ni kama uswahilini lakini wanapata maji maranyingi kwa wiki kuzidi hata mitaa ya kishua pale Dom kwamfano Ilazo,Kisasa,Uzunguni,Area E,Area D,Magereza,Miyuji Proper n.k
Acha kuniita kwenye nyuzi za wajinga kama hawa.