Mwanza: Mmiliki wa mabasi ya J4 aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa aachiwa huru

Mkome!!! si mlikua mnasema mwendazake ni dikteta, safi sana mahakama pesa mbele tu...mtanikumbuka!!!
Plea bargain ilikua kipindi Cha JPM? Mtu anafanya ufisadi weee akikamatwa kesi ya uhujumu uchumi analipa fine tu anaachiwa. Sasa unadhani kwa mtu masikini plea bargain angewezaje? Bado justice ya nchi yetu Ina favor wenye Hela tokea hata JPM yupo. Hata wakili tu mtu hawezi mlipa unadhani utashinda kesi? Mwenzako kaweka kibatala unadhani utashinda kwa wanasheria Hawa wa serikali?
 
Nimekuuliza sio ugomvi !! Wangapi wanaachiwa ? Kuna mengi mzee na kuwekwa jela kwa mda ni kama sheria hata ukiua jambazi unaweza kushikiliwa kwa muda then ndo unaachiwa.

Fuatilia sana hizo mambo wengine majambazi.

Mahakama ndio ingepaswa iseme aliua bila kukusudia kisa aliowaua ni majambazi.
Lakini mazingira ya tukio yataangaliwa zaidi.

Kuua MTU ni kosa kubwa Sana
 
Mahakama ndio ingepaswa iseme aliua bila kukusudia kisa aliowaua ni majambazi.
Lakini mazingira ya tukio yataangaliwa zaidi.

Kuua MTU ni kosa kubwa Sana
Kibadamu ni kosa kubwa hata kwa upande wa jamii zetu halina maana.

Tambua kesi nyingi za ivi Kuna maeneo zipo sana ..Binafsi hatujui ya nyuma ya pazia ila Nina uhakika jamaa aliyeua sio mwendewazimu Nina maana Kuna ishu imemfanya kutenda kosa.

Baadhi ya mambo hata kama ni wewe haya matukio Yanakuwa ni involuntary actions fasta tu umepata hasira labda ukute mtu kakutapeli, mtu umesikia katembea na mkeo ,au jamaa unakuta anampiga mamaako ujikuta unapiga mtu mpaka anakufa.

Tukifuatilia mauaji mengi wengi hawana dhumuni la kuua ila ndo ivyo unaweza chapa mtoto unashangaa kakata moto.

Hasira ni kitu cha kucontrol na kuepuka nafsi ya shetani ndo maana unaweza pigana na jamaa unashangaa umempiga ngumi moja kafa!!
 

Kinacholalamikiwa hapa ni kuwa Iweje DPP aondoe kesi Mahakamani Wakati tayari Muuaji ilishatibitika kuwa aliua Kwa kukusudia kwenye Hukumu ya Kwanza, alafu kakata Rufaa lakini majibu ya Rufaa hakuna.

Kuua Kwa hasiea au kukusudia kimahakama itatafsriwa kulingana na mazingira ya tukio. Kwani hasira na dhamiri ya mtu hatuna vipimo vyake
 
Acha kutisha watu wewe. Polisi hawawezi haribu ushahidi, vinginevyo kesi nyingi zingekosa ushahidi. Kinachotokea ni ushahidi hauna miunganiko.

Unaweza kuwa na simu ina kila kitu kuhusu mauaji, ila upatikanaji wa hiyo simu ndio haukuwa wa kisheria
 
Ndio walithibitisha kwa mara ya kwanza na hukumu ikatoka...Tatizo tuangalie kweny rufaa yao labda Kuna mambo mapya.
 
Wakati wa Magu heshima ilikuwepo acheni hizi porojo zenu za kimwananyamala
 
Hao ndugu zako inasemekana walikuwa matapeli haswa mwanza inawajua..
Hakuna mtu Ana haki ya kumuua mtu
Huyo J4 asinge waua Wao wangemuua ilikuwa ni kuviziana nani atamuwahi mwingine
Hata hasira za wengi humu ni sababu ya mihemuko tu.
 
UKISHAONA DPP HANA NIA KUENDELEA NA KESI... UJUE KESI IMESHAISHA NYUMA YA MLANGO...
 
Kuna kuua kwa kukusudia na kutokukusudia, kushiriki mauaji, kusaidia katika mauaji

Usisahau plea bargain nayo ipo
 
Wasambaaa htr, hata kama atatoka ila wata mstress sana,
Wasambaa,wapare, wahaya, warangi
Kwa kesi haoooo balaaa

Ova
Kama naye ni hatari?
Ujue hata kwa waganga hela zahitajika
 
Hatukubali, hii hukumu na mwenendo wote wa kesi uwekwe wazi,, waziri wa sheria fuatilia hii..
Mahakama haiingiliwi kwenye maamuzi yake.
DPP haingiliwi maamuzi na mtu, ana uwezo wa kuendelea au kutoendelea na kesi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…