zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Plea bargain ilikua kipindi Cha JPM? Mtu anafanya ufisadi weee akikamatwa kesi ya uhujumu uchumi analipa fine tu anaachiwa. Sasa unadhani kwa mtu masikini plea bargain angewezaje? Bado justice ya nchi yetu Ina favor wenye Hela tokea hata JPM yupo. Hata wakili tu mtu hawezi mlipa unadhani utashinda kesi? Mwenzako kaweka kibatala unadhani utashinda kwa wanasheria Hawa wa serikali?Mkome!!! si mlikua mnasema mwendazake ni dikteta, safi sana mahakama pesa mbele tu...mtanikumbuka!!!
Nimekuuliza sio ugomvi !! Wangapi wanaachiwa ? Kuna mengi mzee na kuwekwa jela kwa mda ni kama sheria hata ukiua jambazi unaweza kushikiliwa kwa muda then ndo unaachiwa.
Fuatilia sana hizo mambo wengine majambazi.
Kibadamu ni kosa kubwa hata kwa upande wa jamii zetu halina maana.Mahakama ndio ingepaswa iseme aliua bila kukusudia kisa aliowaua ni majambazi.
Lakini mazingira ya tukio yataangaliwa zaidi.
Kuua MTU ni kosa kubwa Sana
Kibadamu ni kosa kubwa hata kwa upande wa jamii zetu halina maana.
Tambua kesi nyingi za ivi Kuna maeneo zipo sana ..Binafsi hatujui ya nyuma ya pazia ila Nina uhakika jamaa aliyeua sio mwendewazimu Nina maana Kuna ishu imemfanya kutenda kosa.
Baadhi ya mambo hata kama ni wewe haya matukio Yanakuwa ni involuntary actions fasta tu umepata hasira labda ukute mtu kakutapeli, mtu umesikia katembea na mkeo ,au jamaa unakuta anampiga mamaako ujikuta unapiga mtu mpaka anakufa.
Tukifuatilia mauaji mengi wengi hawana dhumuni la kuua ila ndo ivyo unaweza chapa mtoto unashangaa kakata moto.
Hasira ni kitu cha kucontrol na kuepuka nafsi ya shetani ndo maana unaweza pigana na jamaa unashangaa umempiga ngumi moja kafa!!
Baada ya kuitishwa rufaa, ndo dpp akajitoaFuatilia vizuri
Acha kutisha watu wewe. Polisi hawawezi haribu ushahidi, vinginevyo kesi nyingi zingekosa ushahidi. Kinachotokea ni ushahidi hauna miunganiko.Rushwa inaanzia polisi! Kwenye kesi hizi za mauaji wakishalamba rushwa wanavuruga sana ushahidi. Tangu wamevuruga kesi ya kuuawa kwa dadangu sina hamu kabisa! Ushahidi ulikuwa wazi kabisa mpaka simu waliikamata yenye mawasiliano ya kuua na mtuhumiwa walipomkamata alikiri kuua. Sasa jamaa amewekwa ndani muda wa miaka minne huku nyuma polisi wakavuruga ushahidi wote hata haya maelezo wameyaficha mpaka mtuhumiwa amekuja kuachiwa! IPO siku nitashughulika na mmoja mmoja! Kila nitakapommaliza mmoja nitasema bado mmoja mpaka waishe! Polisi pumbavu kabisa!
Ndio walithibitisha kwa mara ya kwanza na hukumu ikatoka...Tatizo tuangalie kweny rufaa yao labda Kuna mambo mapya.Kinacholalamikiwa hapa ni kuwa Iweje DPP aondoe kesi Mahakamani Wakati tayari Muuaji ilishatibitika kuwa aliua Kwa kukusudia kwenye Hukumu ya Kwanza, alafu kakata Rufaa lakini majibu ya Rufaa hakuna.
Kuua Kwa hasiea au kukusudia kimahakama itatafsriwa kulingana na mazingira ya tukio. Kwani hasira na dhamiri ya mtu hatuna vipimo vyake
Wakati wa Magu heshima ilikuwepo acheni hizi porojo zenu za kimwananyamalaUmeandika vizuri mwishoni umeharibu kabisa. Kipindi Cha JPM yule jangili mbunge wa Nchambi alikua tembo wangapi mbona hakufungwa jela??
Wangapi waliokua na kesi walilipa fine fu wakaachiwa huru licha ya kwamba ufisadi wao ulileta madhara kwa raia wengi.
JPM Yale Yale tu sijaona tofauti, mfumo wa mahakama haujawahi kuwa just hapa nchini kwa mtu maskini Cha kushangaza Kabudi kelele nyingi hakuna alilofanikisha mpaka anatoka.
Muda huo yeye hajui kuna hasira za wananchi?Dawa ni kumtsfuta na panga au kwa sangoma unamuua then ngoma droo
Hata hasira za wengi humu ni sababu ya mihemuko tu.Hao ndugu zako inasemekana walikuwa matapeli haswa mwanza inawajua..
Hakuna mtu Ana haki ya kumuua mtu
Huyo J4 asinge waua Wao wangemuua ilikuwa ni kuviziana nani atamuwahi mwingine
Plea bargain ipo hata ukiua na ukakiri bila isumbua mahakama, imradi ni manslaughter lazima utafungwa miaka chini ya 20Yes inawezekana Kuna Mambo nyuma ya pazia hatuyajui.
Mahakamani usiporekebisha maelezo na NPS, DPP jua inakulaliaMahakama ni sehemu ya kupata haki lkn ndio sehemu inaongoza kwa rushwa hatari[emoji114][emoji114]
Kuna kuua kwa kukusudia na kutokukusudia, kushiriki mauaji, kusaidia katika mauajiAcha masihara , Yaan weee Umeua na imethibitika umeua, ,, alafu kwakua Kuna vifungu Kadhaa Kadhaa, vya kisheria, basi uachiwe huru?.
Inawezekana Sasa, Tanzania ndio Nchi yenye mfumo wa Mahakama wa kijinga kupindukia .
Na ndio maana wanafel sana saana mitihan Yao.
Plea imefanyika kati ya pande zote 2Kama familia za wahuka hawatapaza sauti, basi waliitwa mezan mambo yakazungumzwa.
Ukishakuwa na kesi mahakamaniMajaji was bongo hovyo sana! Magufuri fufuka
Kama naye ni hatari?Wasambaaa htr, hata kama atatoka ila wata mstress sana,
Wasambaa,wapare, wahaya, warangi
Kwa kesi haoooo balaaa
Ova
Mahakama haiingiliwi kwenye maamuzi yake.Hatukubali, hii hukumu na mwenendo wote wa kesi uwekwe wazi,, waziri wa sheria fuatilia hii..