Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kufanya matukio kama hayo ni involuntary actions ni hasira tu za ghafla kama vile ugomvi .Maisha ya watu ni kitu kingine ngoja upoteze mtu wako wa karibu halafu usikie mtu anauliza swali kama hilo