Mwanza: Mwanamke amuua mama mkwe wake kwa sumu

Kuna mwingine alikuwa anafunga milango yote anamwacha mama mkwe anapata baridi,jua na mvua nje mpaka anaporudi jion
 
Mauaji meengi yanayotokea yanaonyesha Watanzania wengi wanaakili finyu sana,
kuua ni dhambi kwa mujibu wa imani za kidini na ni kinyume cha sheria lakini hawa wauaji wengi wanatoa taswira za akili zetu watanzania wengi.....wanaua kijinga kiasi kwamba wala huumizi kichwa kujua nani muuaji..
 
Kuna mwingine alikuwa anafunga milango yote anamwacha mama mkwe anapata baridi,jua na mvua nje mpaka anaporudi jion

Hiz ni roho mbaya sana ingekuwa mama ake yeye anafanyiwa hivyo ingekuwaje jmn
 
Wanawake wengi wakiingia kwenye ndoa na mtu mwenye mali wanaanza ushirikina hayo yote ili umsikilize kila anachokwambia anakufanya anavyotaka.
Wacha tuwagegede tuu na kutupa kule...hamna kiweka ndani hawa utakufa kwa presha bure
 
Hata kama hamuishi pamoja bado ni mkeo/mmeo, huwezi ukaoa/kuolewa bila idhini ya Serikali(Mahakama), short of that one part ana haki ya kukushitaki!
 
Kwahiyo angemfukuza mama yake sababu ya mwanamke?
 
nimeshangaa haswaa
 
Hata kama hamuishi pamoja bado ni mkeo/mmeo, huwezi ukaoa/kuolewa bila idhini ya Serikali(Mahakama), short of that one part ana haki ya kukushitaki!
Mkuu, haya maelezo yako yana basis ya Kisheria au ni just your opinion? Kwamba bila idhini ya serikali (mahakama) hakuna kuoa au kuolewa?
Naomba niendelee kujifunza kutoka kwako
 
Kumuuwa huyo mama ni sawa na kumuuwa bwana wake. Akumbuke bila huyo mama hangempata huyo bwana. Ni ushetani wa kutisha, sheria ichukuwe mkondo wake.
 


Kumchukia mamamkwe, kugombana na mamamkwe, kumtesa mamamkwe hadi kufikia kumuua ni ushetani mwingine ambao shetani mwenyewe anamtumia mke kumchukia mama ambaye bila yeye asingempata huyo mume.
Mungu tunusuru na vizazi vyetu

Lala salama mama Aneth
 
Ndiyo. Ndiyo maana unapoandikisha ndoa lazima upite muda kwanza ili kujiridhisha(pasiwepo malalamishi mmoja wenu ni mume/mke wa mtu mwingine) iwapo hiyo ndao ni halali au batili!
 
Kwa sisi tulio na umri mkubwa humu, na kwa wengine pia kwani panapo majaliwa pia watafikia uzee - tupate funzo hapa.

Mimi binafsi sipendi na sitapenda kuhamia kwa mtoto wangu yeyote. Nitabaki kwangu. Nafahamu zaweza kujitokeza changamoto za kiafya, lakini kuhamia kwa watoto labda iwe sina kauli. Wanihudumie watakavyoweza nikiwa kwangu au hospitali.

Sina mashaka na mkwe wangu yeyote - ila hayo ndio mapenzi yangu.
 
Dunia imevurugwa
Miaka 79 unamuua wa nini wakati hapo kabakiza masaa kadhaa tu??
Mwache akaozee jela ndiyo atajua hajui,Bibi wa umri huo kwanza hata hawasumbui kabisa zaidi ya kumwekea uangalizi mzuri tu,na inaonekana uwezo upo,basi angemwekea dada maalumu wa kumwangalia kama yeye Neema alikuwa anaona taabu.Butimba ndio yashakuwa makao yake ya kudumu,akibahatika kutoka si chini ya 10yrs,wakati huo unakuta na Mume alishaoa,ndoa hakuna unarudi kwenu Mbeya mikono mitupu.
 
Umuhamishie Mama Mzazi chumba cha uani kisa Mke wako hamtaki😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…