mdima Jackson
Member
- Sep 22, 2020
- 99
- 88
Basi huyajuiMasihara gani?
Kwani wewe haupo miongoni mwao hao waliokamatwa?Basi huyajui
Kumbe mama hatukumuelewa pale aliposema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja, sasa anaanza kutuonyesha umaghfuli wake. Watanganyika tunatakiwa tushikamane kumpiga vita shetani mpyaView attachment 1861764
View attachment 1861766
View attachment 1861765
Usiku majira ya saa tisa, Polisi walivamia Hoteli aliyokuwa amefikia Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na wageni wengine pamoja na wenyeji wao.
Waliochukuliwa:
1. Freeman Mbowe
2. John Pambalu
3. John Heche
4. Rose Mayemba
5. Masenya(Mwenyekiti BAVICHA Ilemela)
6. Steven Odipo
7. Dr. Rwaitama
8. Seti (Dereva kanda ya Victoria)
9. Apollo (Afisa Habari Taifa)
10. Frank Novatus (CHASO)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benja (BAVICHA Kinondoni)
Mpaka sasa haijajulikana wamechukuliwa kwa kosa gani.
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
Nikafikiri na wewe ni miongoni mwa waliokamatwa kumbe wewe harakati zako ni hapa jf tu,Waliokuwa wanaiita takataka kuwa ni "Mama" shame on you all!Having a vagina is no proof that one cannot be a tyrant.
Niliwaonya mapena kabisa kuwa hamna rais mule lakini hamkusikia.
Yule "Mama" hawezi kuwa Rais mzuri kutokana na sababu kuu tatu:
1.Anatokea CCM:Hiki chama kilishaishiwa pumzi na pozi,bila kutumia damu za watu kama fuel ya kuendeshea serikali hakiwezi kuongoza tena watu.
2.Laana za Magufuli:Mama alikuwa msaidizi wa Magufuli na alimsaidia Magufuli kutekeleza maovu yote ambayo Magufuli alifanya kama vile kuteka,kutesa,kuua,ukabila,udini,ukanda,ubaguzi wa rangi kwa mtu mweusi mwenzake,kunyaga kanyaga katiba na kadhalika na laana hizi lazima zimwandame "Mama".Ukishaonja nyama ya mtu huwezi acha kuendelea kula watu.
3.Mtu mweusi ni Kima aliechangamka:Ni mwehu peke yake ndiye anaweza kutegemea la maana kutoka kwa binadamu mweusi."Mama" ni binadamu mweusi kwa hiyo kama kawaida ni Kima aliechangamka kwa hiyo usitegemee la maana kutoka kwake.
Ningeuliza kosa?Kwani wewe haupo miongoni mwao hao waliokamatwa?
Mama kagundua kuwa ni kwanini Magufuli hakuwa na namna nyingine ya kuiendesha hii nchi zaidi ya kuwa mbogo, hivyo kaanza kuingia kwenye reli.Tuliwaonya humu lakini wakashupaza shingo wacha yawakute
Wewe unasumbuliwa ujinga. Hasara si ya Cdm bali ni taifa kwa ujumla. Kuwa na nchi na viongozi wasiojulikana sheria bali matamko ni uhayawani .Wananchiiiiiiiiíiiiii.
Hivi mnasema mnao wananchi wa kushinikiza katiba mpya, hao wananchi wako wapi ?
Acha masihara usinitafutie Ban hunijui sikujuiKwa hiyo wewe uko wapi sasa kama hujakamatwa?
Ni kweli kabisa mwanzoni Samia alikuwa kipenzi lakini sasa ameanza kukengeuka na kuvurunda mambo, na hatafika mbali kama ilivyokuwa kwa mtangulizi wake.Leo hii unamwita kipenzi chako Samia genge?
Si ulikuwa unamdemkia kwamba anaupiga mwingi?
Ubabe upi ?!. Kwani kawa Mungu atukuzwe kwanza ?! Mbona mnaogopa katiba inayotoa haki kwa wote ?!Acha sheria ifuate mkondo, kutaka katiba mpya sio mjifanye wababe.
Hahahahah..Mama kagundua kuwa ni kwanini Magufuli hakuwa na namna nyingine ya kuiendesha hii nchi zaidi ya kuwa mbogo, hivyo kaanza kuingia kwenye reli.
[emoji1542]Alivyoingia madarakani akataka kujifanya yeye atakuwa kinyume na Magufuli bila kuathirika kwa chochote, alipoanza tu kubembeleza walipa kodi hela zikaisha na kukawa na hatari ya miradi mbalimbali kukomea njiani Sasa kaona aje na Tozo Ili awakamue kabisa raia kuliko hata Magufuli.
[emoji1542]Akajifanya kutaka kuwa karibu na vyama vya upinzani, matokeo yake wakazoe na wengine wanadai watamnyoa na mwingine akasema waziwazi kabisa kuwa hawezi kumpa muda rais[emoji23], Sasa kashtuka kaanza kuwaburuza kama Magufuli.
Kiufupi mama kagundua kuwa Magufuli alikuwa sawa,na sasa kaingia kwenye reli. Kibaya zaidi anakuja kwa kasi kuliko hata mtangulizi wake.
Kumnmbe ndio huyuHuyo ni jamaa fulani hivi wa twitter, anajiita Martin M ni mfuasi mkubwa sana wa kigogo.
Hujui hata kwamba unatetewa usiku ukiwa umelala na wanaume kama akina Mbowe?Wewe utakuwa umekunywa mbege iliyochacha.
Mbowe anitetee mimi ?
Haki gani umeikosa kwa katiba hii iliyopo?Ubabe upi ?!. Kwani kawa Mungu atukuzwe kwanza ?! Mbona mnaogopa katiba inayotoa haki kwa wote ?!
Ule tulipigwA..Naomba anaeweza kufufua ule uzi wa mahakama kurudisha zile fine walizopigwa kina Mbowe afanye hivyo tafadhali!
Kuna kima za kuwazibua akili kwenye ule uzi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Magu alikuwa anaondoka na mmoja mmoja!!!View attachment 1861764
View attachment 1861765
View attachment 1861766
Usiku majira ya saa tisa, Polisi walivamia Hoteli aliyokuwa amefikia Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa na wageni wengine pamoja na wenyeji wao.
Waliochukuliwa:
1. Freeman Mbowe
2. John Pambalu
3. John Heche
4. Rose Mayemba
5. Masenya(Mwenyekiti BAVICHA Ilemela)
6. Steven Odipo
7. Dr. Rwaitama
8. Seti (Dereva kanda ya Victoria)
9. Apollo (Afisa Habari Taifa)
10. Frank Novatus (CHASO)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benja (BAVICHA Kinondoni)
Mpaka sasa haijajulikana wamechukuliwa kwa kosa gani.
=====
My Take.
Uonevu, uvunjifu wa haki za kiraia, kutoheshimu katiba ya nchi unaendelea kwa kasi katika serikali ya Samia Suluhu Hassan.
Anyway, Aluta continua, uonevu huu utaisha oneday, dawa tutaipata tu.
Nimkumbusha Samia kuwa alikuwepo mtu katika nchi hii anaitwa Magufuli, tulimuita Chuma, Jiwe—Leo yuko wapi?
====
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)
Taarifa Kwa UMMA
Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe..Freeman Mbowe alivamiwa na Jeshi la Polisi hotelini alipokuwa ( Kingdom Hotel) majira ya saa nane na nusu usiku na kumkamata pamoja na viongozi wengine waliokuwa naye.
Viongozi wengine walipelekwa Kituo cha Kati cha Polisi Mwanza,Ila Mwenyekiti Mbowe haijulikani alipelekwa wapi na mpaka Muda huu hakuna taarifa zozote za mahali alipo.
Waliokamatwa ni wafuatao;
1. Mhe .Freeman Mbow
2. Mhe.John Pambalu
3. Mhe. John Heche
4.Mhe. Rose mayemba
5. Masenya( Mwenyekiti Bavicha ilemela)
6. Steven Odipo
7.Dr. Azavel Lwaitama
8. Seti ( Dereva Kanda ya Victoria)
9. Apolinary Appolo (Afisa habari Taifa)
10. Frank Novatus (Chaso Mwanza)
11. Mwakiaba (Mwenyekiti Nyamagana)
12. Benjamin Kambarage ( M.kiti Bavicha kinondoni)
Tunalitaka Jeshi la Polisi kujitokeza na kusema alipo Mwenyekiti wa Taifa na sababu za kumkamata zilikuwa nini.
Tunalaani ukandamizaji huu wa Haki za Watanzania Kwa nguvu zote , na hizi NI dalili za wazi kuwa Udikteta uliokuwepo enzi za utawala wa Rais Magufuli bado unaendelea .
Tutatoa taarifa kadiri ya Muda na jinsi tutakavyozipokea .