Mi naomba hilo zoezi liendelee na makanisa mengine pia isiwe huko mwanza tuu kuna makanisa kuna raia wakigeni kibao wako kwenye kivuki cha "watumishi"kumbe ni njia ya kuishi nchini kinyume na sheria.Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia Diana Bundala maarufu kama Mfalme Zumaridi ambaye ni Mchungaji wa kanisa la Zumaridi, kwa tuhuma za usafirishaji haramu wa binadamu 149 wakiwemo watoto wenye umri kati ya miaka 4 hadi 17.
Pia soma
yule hana koro ana qum🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️🤦♂️Lipelekwe lupango kabisa likabivywe korodani kabisa, aaah grrrrh!;! kweli haina hizo ila walibivye tu.
hapana!Unajua sheria inayohusika hapo?
Vipo kwenye maombezi vinapewa huduma za kiroho.So vipo clinic ya kiroho kwa maombezi maalumu . Hakuna kesi hapo kuna majadilianoHawezi kufungwa wala kupewa adhabu.
Labda kuhodhi vitoto chini ya miaka 18 ndipo wanaweza kumtoa hatiani
Akina mtu wa kiroho hapo tafadhali tumia msamiati mwingine.Hawa watu wa kiroho ujui nguvu iliyo nyuma yake.
Baba godi yupo wakfu na huduma zake kama kawaida waumini wake wanaimani mungu wao atarejeaAkina mtu wa kiroho hapo tafadhali tumia msamiati mwingine.
Anaweza kufungwa vizuri tu fuatilieni baba God aliishia wapo mbona alipatikana na hatia.
Kanisa lilifungwa halikufungwaBaba godi yupo wakfu na huduma zake kama kawaida waumini wake wanaimani mungu wao atarejea
Juzi ya tarehe ngapiYan nipo na rafik angu hapa..juzi alitumwa kwenye mission ya kumkamata....cha ajabu jamaa kaweukaa kapelekwa bukumbi hosptal ya vichaa...ndo tupo nae hapa kumpa counceling kidogo arudi kweny hali ya kawaida maana bdo ana mawenge
Kanisa lilihama toka nata lipo kangae baada ya jengo la natta kuuzwa kwa zuberi.Kanisa lilifungwa halikufungwa
Acha uongo ni msukuma pure wa SHINYANGANi mmasai
Hajaunga juhudiDuuh Shikamoo Serekali kumbe Mfalme hakuwa na kibali Dunia hii aisee Mfalme noma sana
Nafikir tareh 22...mwenyew hapa hatambui hata ni lini...Juzi ya tarehe ngapi
Mungu wa mbingu na ardhi amsaidia mjumbe wake. Huyu ni kweli na hana shaka kwa maneno na vitendo vyake. Mashetani yanajaribu kumwangusha ila hawataishinda nguvu ya Mungu.
Halina korodani shidaLipelekwe lupango kabisa likabivywe korodani kabisa, aaah grrrrh!;! kweli haina hizo ila walibivye tu.
Hujajibu swali langu alifungiwa au hakufungiwa?Kanisa lilihama toka nata lipo kangae baada ya jengo la natta kuuzwa kwa zuberi.
Hapo kosa ni usafirishaji wa binadamu ama kuwaaminisha waumini yeye ni Mungu anaefufua wafu?
Maana naona kuna maelezo 2 tofauti.
Kama watu wanamuamini kama mfufua wafu na ni Mungu kuna ubaya gani? Mbona watu wanaamini miungu hawajawahi kuiona na wengine wanaenda kuitembelea ilipozikwa kila mwaka na hakuna ubaya.
Zamaridi aachwe aendelee ma huduma yake ya kufufua wafu.
[/QUOTE
Kufufua wafu ni imposible labda maiti. Maana wafu Ni wale waliokwisha zikwa. Na ili ufufue wafu inahitaji nguvu kubwa sana kuzidi mauti. Ndio maana Yesu alifufua wafu na akaishinda mauti.
Apigwe miti pale ButimbaHalina korodani shida
Dah waliminye hata clitors tu kama vpHalina korodani shida