Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga picha vertical au oblique. Picha za Horizontal hazioneshi details.
Aibu imekujaa, naona unashinda na picha za asubuhi.Kama hujapiga picha na kuonesha jukwaa. Picha hiyo ni fake
![]()
Tukatubu kwa katili muuaji aliyetangulizwa yeyeMpaka watubu hao kenge ,laana ya Magufuli wanayo
Acha kutuletea picha ya Horizontal. Leta picha ya vertical kama hii.Aibu imekujaa, naona unashinda na picha za asubuhi.
Mimi Sina shida na CCM kutawala miaka 100, Tena Mimi mfuasi mzuri Sana wa Rais Samia na CCM ya SasaUtahangaika sana na CCM itatawala milele nilishasema upinzani labda baada ya miaka 100 ijayo.
Nilileta taarifa jana kuhusu kinachoendelea huko, Mimi nipo hapa na kusema ukweli hali ni Tete. Watu Hakuna kabisa. Nini kimetokea??
Picha nimepiga mwenyewe sasa hivi saa 9 kamili
View attachment 2490119
Lumumba lini mtakuwa na akiliView attachment 2490259
Punguza jazba kunywa fantaNadhani muda wa Mbowe kupumzika mambo wa siasa umewadia. Katika viwanja vya furahisha bwana Mbowe anamtukana Hayati Magufuli waziwazi. Hii inaonesha kabisa ndiye aliyekuwa anawatuma watu wake kuwaita watu wa kanda ya ziwa sukuma gang.
Hizi siasa za chuki kabisa.
Hivi ni kwanini huyu mbowe anawachukia sana watu wa kanda ya ziwa? Au kwa sababu wameacha kwenda kwenye mkutano wake?
Thubutu yakeMbowe ameanza kumtukana Magufuli Live
View attachment 2490270
Kwa kiongozi mwenye akili timamu hawezi kutetea madawa ya kulevya mbele ya hadhara hii ni fedheha aisee inasikitisha sana