Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Kwa tusiojua vizuri kiingereza tunadhani rally ni maandamano tu, rall ni mkutano wa hadhara pia.Sasa Rally iko wapi au unajitekenya na kucheka mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa tusiojua vizuri kiingereza tunadhani rally ni maandamano tu, rall ni mkutano wa hadhara pia.Sasa Rally iko wapi au unajitekenya na kucheka mwenyewe.
KwaUnapiga upande wa kulia. Piga Vertical kama hii
![]()
Jibu hao ni watu au sii watu na hao utasema umehudhuriwa na wengi akuna kiwango Cha idadi itakayohitajika na tambua na mkutano mwingine wataingezeka kwa maana tambua kuwa watu walishatishwa hawana uhuruUnapiga upande wa kulia. Piga Vertical kama hii
![]()
Mbona unaumia Bure ndugu wewe unashabikia ccm sidhani kama 1977 wakati ccm inazaliwa wewe ulikuwa umezaliwa au kama ulikuwa umezaliwa basi ulikuwa mchanga ukiona mtu haipendi CCM ni kwamba matendo yaliyoko ccm ni rushwa ufisadi roho mbaya na wanafiki ila opposition no full clean ukiwa mchafu huwezi kuoppose na usikute wewe unajikomba CCM ili upate teuzi kama akina sabaaya na akina makonda na jamii kama ya Jerry muroAcha kutuletea picha ya Horizontal. Leta picha ya vertical kama hii.
Siku hizi hamna drone?
![]()
Ni kweli inasikitisha, tena wengi wao wamo ndani ya CCM. walitamani Police wapige mabomu na Mbowe na viongozi waandamizi wadhalilishwe na kuswekwa ndani maana bado wanadhani nchi ya Tanzania ni mali ya CCM.wapo watu wanatamani maridhiano yasifanikiwe.
Yaani walitaka mbowe atowe matusi Kwa rais mkivu kama samia ni mweelewa mlitarajia afanye maovu kama mtangulizi wake mama kakubali maridhiano karuhusu uhuru wa mikutano ulitaka asipongezwe Mimi siyo ccm ila mwenyekiti anajitahidi kuondoa madoadoa kati ya watanzania she is our mother na mbowe ni kati ya wenyeviti waliojaliwa hekima na busara yeye na viongozi wake wamesimama vema Hadi tumepewa uhuru wa mikutanoMnataka siasa za vita?
Mkuu Proved , Mbowe ni muungwana na hivyo ndivyo wafanyavyo waungwana wote, ukipendwa, pendeka!, ukibebwa, bebeka!, ukishikwa shikamana!, ukiaminiwa jiaminishe!, ukipewa, toa!, ukijua kupokea, ujue na kutoa!.Una macho makali Sana mzee....
Ujumbe ulio katikati ya bandiko lako. Uki capture ujumbe lazima ucheke [emoji28]Mkuu MTAZAMO , hiyo "ila Paskali", ila nini?.
P
Mkuu MTAZAMO , humu JF, watu wenye uwezo to read in between the lines ni wachache, hivyo ukiandika kitu, hata akitokea mtu mmoja tuu akaelewa ulichoandika, hiyo ni faraja tosha na motivation to keep writing.Ujumbe ulio katikati ya bandiko lako. Uki capture ujumbe lazima ucheke [emoji28]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kabisa....hata chama chake atakipeleka huko huko, Cdm waandae mrithi wa Mbowe mapema na wakati ndio huu.
Tindo
Nadhani mgewea aiba ya Maneno kidògo juu ya hotuba ya ĺeo ya mwenyekiti Mbowe. Mngesubiri mfanye tafakuri ya kina ya siasa za majukwaani zinavyokuja namna nyingine baada ya miaka saba za kusitishwa kwake.
Wengi wenu wanasiasa mmepitia nyakati ngumu ngumu sana hasa ninyi wa upinzani mpaka badhi yenu mkaacha siasa na wengine kuwasaliti na kuunga juhudi. Umekuwa muda mgumu sana kwenu na mna mengi ya kuyasema katika majukwaa kiasi kwamba inawawia vigumu muanze na lipi.
Mkutano wa Leo abadani ulikuwa ni kuamsha na kupima nguvu yenu katika siasa za mikutano ya hadhara. Liikuwa ni jukwaa la kusemea hasa mambo makubwa mliopitia na kujaribu kuweka mambo "sawa" juu ya tuhuma za ulambishwaji asali na pia sehemu ya Mwenyekiti kama kiongozi wa hama kucheua nyongo ya kadhia aliyopitia mpaka kufikia mikutano ya hadhara kuruhusiwa tena. Nilidhani mgempa nafasi ya kusikiliza na kuyaweka katika vitendo aliysema mwenyekiti na si kumshambulia kiasi kwamba mnaona kwa kihotuba cha Leo eti amechoka na aachie nafasi kwa wengine!...yani kweli kwa hatuba ya leo mnafika amazing kubwa kama hili?
Lazima mjue kuogelea kuendana na mkono wa maji na si kupingana nao. Mueleweni mshindani wenu (ccm) na muone namna bora ya kushinda huku mkiheshimu nguvu alizonazo. Mnataka kuendelea na siasa za awamu zilizopita ambazo ziliwasambaratisha na mkaishia kuumizwa na kutendewa visivyo na hata kuporwa chaguzi na hamkuwa na kufanya?...ndio siasa hizo mnataka muendelee nazo awamu hii?
Tambueni miaka saba iezalisha wapiga kura wapya wengi tu ambao wanahitaji hoja na maridhiano.
Mbowe toka anaanza mchakato wa maridhiano miongoni mwenu Waachadema mlimpinga tena hadhaani na hata vikao vyake mlichukizwa navyo. Leo vimeleta matunda na mikutano ya hadhara kuruhusiwa mnamuona tena hafai lakini matokeo ya kazi zake mnaona zinfandel!
Jipeni muda. Mikutano ya hadhara minne hadi mitano itawapa picha ya kwa nn Mbowe amesema aliyosema leo. Na matunda yake yataonekana.
CHADEMA IMARA NI CCM Mathubuti!
Kabisa....hata chama chake atakipeleka huko huko, Cdm waandae mrithi wa Mbowe mapema na wakati ndio huu.
Pascal Mayalla Tindo
Chadema wamehalalisha watawala kuamua hatma ya namna ya kufanya siasa nchi hii kuwa hisani. Kwamba Mbowe anasema kuongea na CCM ni kama kutongoza demu! Seriously? Dah!
Nimeona sehemu hata mzee Mtei alimshtua anapitiliza! Seems chairman kuna mtu kashika remote ya kichwa chake.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Yes!, and he is not alone!. Kuna wengi ndio sasa wataanza kufunguka macho!, sisi watazamaji wa hii game ya siasa za Bongo, hili tuliliona siku nyingi na tukakalisema!, https://www.jamiiforums.com/threads...ani-na-the-motive-behind.429657/#post-6075309