Mkuu funguka utoe donge kifuani na usaidike humu utakuwa huru...nani anakujua humu?Mkuu yapo mengi sana ila kuna vitu nimeona as mwanaume nisimweke hadharani ila matukio yake ni mengi na yanatisha sana hapo nimeandika ili kusitiri na sijataka kuandika yote ila kusema kweli huyu mwenzangu ananitisha but najitahid sana kukaa nae with a hope atabadilika ila huku nikofikia sasa naona yanakuwa mazito zaidi
Hapo na mimi ndo niliposhangaa hizo drama zake zinaanzia wapi? [emoji848]Mkuu piga chini huyo. Watoto watoto wako watakuwa tu. Kwanza umeoa single mother, pili ni mkubwa kishinda wewe, tatu ni muongo. Mwache aende akapambane na Dunia. Sometimes ni Bora kufanya maamuzi magumu lakini ukabaki na amani ya moyo wako
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hili nalo nenoSiyo kwamba ni matokeo ya kurogwa na mchepuko?
Huko kutoelewana kulianza lini? Kabla ya kuwa na mchepuko au baada ya kuwa na mchepuko?
Ndio kitu nafkiria ila natafta njia ambayo haitamuathiri pia ila sina tena ham ya kuishi nae nataman nimpangie safar ya kwenda kwao nimpe hata M5 then akifika ndio nimwambie apambane na maisha yake asirud tenaHapo na mimi ndo niliposhangaa hizo drama zake zinaanzia wapi? [emoji848]
Mama lizima una misala kibao si unatuliza mshono tu angalau usitirike[emoji848]
Ngoja amwagwe ndo ataijua hii dunia vizuri
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Fuata nafsi yako inapenda nini hakuna mwalimu wa mapenzi duniani ila mbinguni tu....tena ni vizuri hukumtambulisha kwenu wala kilipa mahari.....maana hiyo pesa bora uweke heshima bar.....suala la huruma ya watoto muachie mama yao ikibidi uwaachie na nyumba anza upya never too late usije juta uzeeniHABARI wakuu, kwanza kabla ya yote niwatakieni mfungo mwema,
Umri wangu ni Miaka 33, Nipo katika ndoa pia nina Watoto Wawili na huyu mwanamke, naona nisiandike Mengi kuhusu maisha yangu na huyu Mwanamke ila kimsingi tu ni MTU ambae ninapitia changamoto nyingi sana katika mahusiano haya, yaani kiufupi tu hata sielewi mwelekeo wa ndoa hii, Tulikutana nae tukachukuana nae Tukaamua kuishi pamoja hadi Sasa Tuna watoto wawili, lakini sijamtolea mahali, lakini sio kwamba sina uwezo wa kutoa mahali ila kinachonichelewesha ni aina ya maisha ambayo tunaishi nae, Yaani siku za furaha ni za kuhesebakika kuliko siku za kununiana, ana vijisababu visivyokuwa na mashiko anajinunisha, Mara utastuka usiku unamkuta MTU amekaa kitandani analia bila sababu, Mara atoke akae jikoni usiku, Mara ajidai amepandisha presha nianze kumpepea usiku yaani ni mateso bila ya kifo, Kimaisha siko vibaya ninamtimizia kila hitaji pia ninakaa kwangu sijapanga na Mimi ni MTU wa kutoka asububi narudi jioni kutokana na aina ya harakati zangu zinazoniweka mjini, Sasa kulitokea kasumba Kikitokea kimgogoro kidogo ananinyima unyumba, hadi inafkia mda unazuka ugomvi ndo napewa huwa nawaza namna ya kuachana nae, ila nawaonea huruma sana wanangu, pia hata yy namuonea huruma, maana nishamzalisha watoto Wawili wote alafu nimuache huwa kimsingi naishi nae kwa sababu ya huruma, pia kwa sababu ya kuwaonea huruma wanangu nilitamani wanangu walelewe na wazazi wao ila mwelekeo wa Maisha haya sijajua hatima,
Tangu mwezi wa Pili kuna shida ilitokea nikawa nanyimwa unyumba hadi ikafikia hatua nikakosa namna ikabidi nianzishe uhusiano na mtu mwingine ila kibaya nilianzisha kama njia ya kumaliza haja zangu nikirudi nyumbani najilalia zangu maana sikutaka ugomvi wa kutaka mbususu kwa wife ila kibaya naona nimezama mazima yani huyu mtoto anajua kucare, anajali kiufupi ninapata kila kitu ambacho nilikuwa nakosa awali, lakini kibaya zaidi na bahati mbaya kwa sasa huyu Mtoto ana ujauzito wangu, hapa nipo njia panda, Kusema kweli ingekuwa uwezo wngu ningemuoa huyu mtoto maana kimsingi mke ninaekaa nae ameshindwa kutambua thaman yangu, lakini kila likija swala la wanangu huwa naishiwa nguvu maana siwezi kuruhusu wanangu kukaa mbali na Mimi pia sina imani kama mwanamke huyu ataishi na wanangu vizuri mda ambao Mimi sipo, kusema kweli najikuta naishi katika majuto niliingiaje 18 za huyu mwanamke! Na ni namna gani nitaepuka hili!
Pia kuhusu suala ya yeye Pengine ana mahusiano mengine siwezi jua na huwa sina asili ya kifuatilia maisha yake maana nipo bize sana na pia huwa sitaki kabisa kufanya kumfuatilia maana matokeo ya kumfuatilia MTU siku zote hayawi mazuri,
Kibaya zaidi ni kuwa jamii tunayoishi nayo inatuona tuko vzuri maana mchana tunaigiziana ila ikifika usiku hakuna MTU anamsogelea mwenzie.
USHAURI WENU MHIMU.
Ana miaka mingap?Sio kwel nadhan ndio maisha yake yaani she is too childish ikitokea akakwazika anampigia mama yake wanaanza kulia kweny sim yaani wananikera hadi nataman nimwambie akalilie nje ila huwa nahofia jamii itanichukulia kama Mimi ndio mkorofi but ukifuatilia chanzo unagundua kuwa alikuwa amekosea yy ila ukimwelekeza tayari anaamini ameonewa
Mpeni ujasiri wa kumuoa mchepuko, halafu baada ya miaka 3 atupe mrejesho πππLeo nakupinga mkuu, tatizo wanawake wa skuizi wanapenda kushindana na waume zao, na wengi wanapo amka wanaanza kuwasha sim badala ya kuwasha moto ili wamuandalie mume chochote kabla ya kwenda kazini.
39 Mimi 33Ana miaka mingap?
Binafsi simshauri aoe nani, lakini kwa hizo pigo za huo mshangazi wake... bora amkatie tu behewa..Mpeni ujasiri wa kumuoa mchepuko, halafu baada ya miaka 3 atupe mrejesho πππ
Ukiona huchemshiwi chai hupetiwi pengine wewe ndie tatizo jichunguze
Nyumba mnayoishi na mali ulizo nazo alivikuta?Kama mlichuma wote ujiandae kwa mgaoNdio kitu nafkiria ila natafta njia ambayo haitamuathiri pia ila sina tena ham ya kuishi nae nataman nimpangie safar ya kwenda kwao nimpe hata M5 then akifika ndio nimwambie apambane na maisha yake asirud tena
Yaani aepuke mateso ya ndoa kwa kuingia kwenye ndoa nyingine!Binafsi simshauri aoe nani, lakini kwa hizo pigo za huo mshangazi wake... bora amkatie tu behewa..
Saf ndugu yangu nashukuru maana umepatwa na uchungu kuona mwanaume mwenzio anapata shida shkran mkuuBinafsi simshauri aoe nani, lakini kwa hizo pigo za huo mshangazi wake... bora amkatie tu behewa..