Pre GE2025 Mwenezi akiwa Makonda, Chadema na Lissu walipoteana, Masikio ya Watanzania yalielekezwa Kwa Makonda, kwasasa Lissu anajipigia tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Aliyemshauri Mama kumwondoa uenezi kijana alikosea saanaaaaaa!
Bora angeondoka huyo Machimbi abaki huyo kijana.
Lissu anajipigia tu kama vile CCM haipo! Inauma sana.
Mama ikikupendeza turudishie mwenezi wetu yule kijana ,kiboko ya wapinzani.
 
Endelea kushupaza fuvu,
 
Kama wenye siasa huwa hakuna adui wala rafiki wa kudumu basi ni vyema hawa watu wamalize tofauti zao na tuwaone wakipambania Nchi.

Lissu atoke Chadema na Makonda atoke CCM.

-Wote ni wazalendo

- Wote wana misimamo na wanayo yaamini

Wote wanapendwa na wananchi, nawaza.

Muwe na weekend Njema​
 
Siasa sio uadui !
Hapo zamani ilikuwa haiwezekani kabisa kabisa mchezaji wa Yanga akahamia Simba au mchezaji wa Simba akahamia Yanga !
Lakini kwa sasa hiyo kitu ni ya kawaida sana !
Kama Kibu Denis kuhamia Yanga ! πŸ˜…πŸ™
 
Hakuna hakika, changamoto ni Lisu ana hasira na CCM na Makonda ana tamaa ya madaraka nani atamfata mwenzie?
 
Hivi Mwamuona Mackonda ni Mwanasiasa ,achani utani
 
Unajua majukumu ya mwenezi au ndo nyie lengo ni kuonekana mmechangia tu..?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…